My confession: Justin Bieber kuhusu P-Diddy

My confession: Justin Bieber kuhusu P-Diddy

Ila p didy angekuja bongo angekufa na ukimwi miksa yutiyai sugu........maana kuna jamaa mmoja ni mshehereshaji alikataa ofa ya dolla mil 50 ili atoe marinda kwa did.......jamaa bado kidogo apigane .........sasa hiyo pesa iweke kwenye madafu yetu harafu apewee gigy money au staa yeyote wa kike au wa kiume .........mamaeeee utafi@%@ ra mpaka ubongo wake..........maana wanaojitahidi tu kuhongq vitz au ist huwa wanawala mpaka wazazi wa watoto wanao date nao sembuse hicho kibunda.........yaani sijui nicole,sanchi ,biriani ,shish na mapapa yote ya mjini hapa aggy sijui ..............yaani wote
Wewe angeku offer hiyo pesa, ungekubali au ungekataa?
 
Leo nimesikia kisauti cha burner boy sijui .......anaulilia gobore la p didy liko kunako........yule jamaa na matendo ya kishoga wala haendani kabisa ........maana giant alitakiwa awe mgumu mgumu sana kama sura yake , hivi mtoto wa kiume uliyekomaa kiafrika kabisa unapata wapi muda wa kuwashiwa moto ?? Kum@%@%##&#&#&#&@^@^ zake puff dady
P Diddy alikuwa mbaya.
Aliwalainisha wagumu kuwa walaini kwa vilainishi, baby oil na kwa mshedede.
Marapa kibao waliovimba ki-gangster waliinama kwake sembuse huyo mbana pua Burns Boy?!!
 
Leo nimesikia kisauti cha burner boy sijui .......anaulilia gobore la p didy liko kunako........yule jamaa na matendo ya kishoga wala haendani kabisa ........maana giant alitakiwa awe mgumu mgumu sana kama sura yake , hivi mtoto wa kiume uliyekomaa kiafrika kabisa unapata wapi muda wa kuwashiwa moto ?? Kum@%@%##&#&#&#&@^@^ zake puff dady
Wanataka Pesa na Umaarufu wa haraka ndio tatizo, Tamaa!!!
 
Orodha ya wasanii na watu maarufu waliopita kwa Diddy imezidi kuwa ndefu sana, lakini katika wote hao bwana Mdogo Justine Bieber hadithi yake inasikitisha zaidi, na inaumiza pia.

Justin Bieber anadaiwa kuzungumzia wakati wake na Diddy, akisema, “Kabla ya kutembelea au kwenda kwenye sherehe yake, unasaini karatasi inayosema hutajadili chochote unachokiona. Maisha yangu yalibadilika kabisa baada ya ziara hiyo.”

Akiwa na umri wa miaka 15, Justin alikuwa chini ya ushawishi wa Diddy, na video ya mtandaoni inamuonyesha Diddy akisisitiza kwamba kinachotokea kwenye mikusanyiko yao lazima kiwe siri. Justin hakuwa na hatia wakati huo( hajui lolote, bado mtoto), jambo ambalo linatufanya tuwe na wasiwasi kuhusu changamoto alizokabiliana nazo baadaye.

Justine Bieber mwenyewe aliandika haya kuhusu uzoefu wake wa miaka 16 na Diddy 😴

"Mimi hutokwa na machozi kila siku nikifikiria kuwa siwezi kurudisha hatia yangu" - Justin Bieber

Soma Pia: Waendesha Mashtaka wadai nyumba ya Diddy ilikutwa na Vilainishi, Silaha, Dawa za Kulevya, Mafuta ya Watoto Chupa zaidi ya 1000

"Karibu ninyi nyote mnajua hadithi yangu ya jinsi umaarufu ulivyonipata kutoka kwa umri mdogo hadi utu uzima, na wengi wenu mnavutiwa na kutamani kuwa na maisha ya kifahari ambayo yalikuwa juu yangu, yah namanisha haingenigharimu chochote kununua Rolls Royce 3 kwa usafiri na washkaji zangu, huku tukipiga barafu na wanawake wazuri wenye shape za kuvutia .

Niliishi maisha, lakini kilichoniumiza zaidi ni maisha ya kamera, wengine mnalaumu umaarufu kwamba niliamka asubuhi moja tu na kuanza kutumia M0lly(aina ya madawa) na vidonge ili niweze kujisikia vizuri, lakini hamjui chochote kuhusu Bieber. Ilikuwa ni njia ya kutoroka kwa maumivu ya kisaikolojia ambayo nisingeweza kuyapata kila ninapokumbuka saa 48 nilizokaa na Diddy, inagonga kichwa changu na kama boomerang nahisi kila mwanaume anayekuja katika maisha yangu anataka kurudia masaa 48 ya Diddy.

Nilimpata Yesu, niliacha kila kitu lakini naomba maumivu haya yaondolewe. kwa maana malaika aliyepotea ndani yangu kwa utukufu na matarajio ya ulimwengu, naomba kuzimu isinipe sehemu ya VIP.

Naomba sote tupate amani".
My name
 
SODIMA NA GOMORQ HAIJAWAHI MWACHA MTU SALAMA
 
Kuna mwingine alisema waliyofanyiwa kule hayafai ku post mitandaoni, ila meneja wake akatoa hint kwamba walienda chumbani kwa diddy wakamkuta anafanyiwa massage na baadaye akamfukuza yule bint aliyekuwa akimfanyia massage.
EEEH

NA BAADAAE

HAHAHAAA HAWEXI KUWEKA.MBELE YA JAMII
 
mwanangu Infro mimi huwa nakuafiki vingi lakini tunatofautiana pointi ya uchawi.
babu believe me uchawi upo.

nimefanya kazi za kitumwa kwa mabosi. bro acha tu. nimeshuhudia mambo machafu sana ya wenye pesa. acha kaka. hii dunia ni ya kipuuzi sana.

ambayo sitasahau ni mtoto mchanga alifukiwa akiwa hai nashuhudia. nazi inapasuliwa anatoka mbuzi. babu hii dunia ina mazito. ukiwa kwenye harakati zisizo rasmi unapata kuona mambo ya ajabu sana ya dunia.
Kuna ambungemmmoja imenaki miezi 5 kuteua wagonbea wa chama chao

Mwanae wa miaka 7 katoka kaenda kisimabini akazama huko

Kisima kiko toka amezaliwa

Hivi sasa n Mb

Tulichoka na kuchokeka achatyu

Mengine wacha tuishi aliyopanga Mungu haya ya kufosi yana masharti mengi sana

Msikilize Kenya West anasema karibia kila mwanamziki wa freemason hana mzazi mmoja ama wote

Ama kafiwa na mwanae ama wanae woiiiotendaoo
 
Kakayenuu kaumeza hao wanabakije nenden fb anasema mambo mengine hawezi sema hadharani saliyofanya na pdidy
Hivi km haya mambo yalikuwa siri miaka yote hii
Sasa nani kayatoa nje mkp did kukamatwa?
 
Imebainika kwamba wasanii waliohudhuria sherehe za Diddy Frèàk Off, hivi karibuni wataitwa na Usalama FBI kuhojiwa.
Haya ni baadhi tu ya majina:
Hii hadi sasa inajumuisha -Steve Stoute
  • Russell Simmons
  • EVE
  • Aaron Hall
  • Jay-Z
  • Beyonce
  • Rick Ross
  • Steve J
  • Dr. Dre
  • Usher
  • Meek Mill (VIP)
  • Drake
  • LeBron James
  • The Game
-Justin Bieber
-lil Rod
- Cuba Gooding JR
-Stevie J
-Usher
-Yung Miami
-Daphne Joy
-Bishop T.D. Jakes
-Chris Brown
-Jade Ramey
 
Masaa 48 wamekaa tu,au walikuwa wanafanya kazi
Mhh! Bwana mdogo anatia huruma sana
Bora hawa wakina burna boy maana walishakuwa watu wazima
 
Rapa Kanye West Anasema kwamba Yanayofichuka Kwasasa kuhusu Rapa Diddy alishawahi kuyasema miaka miwili iliyopita ila Akaitwa Kichaa. Anasema aliyokua anafanya P. Diddy yanatokana Masharti Ya Jamii Ya Siri (Illuminati) Inayomuongoza.

“Mfumo Wao Ni Rahisi Tu, Kwanza Wanakupa Nguvu Ili Waweze Kuku-Control Na Pale Watakaposhindwa Kuku-Control Wanakupoteza Na kukunyang’anya Kila Kitu”

West Ametaja Pia Baadhi Ya Mastaa Wanaongozwa Na Illuminatai Akiwemo Meekmill, Diddy, Jayz, Beyonce, Dr. Dre N.k

“(Illuminat) Wana Hasira Juu Yangu Kwasababu Wameshindwa Kuni-Control. Wanawaweza Kum-Control Jay-Z Na Beyonce, Diddy Na Kila Mtu Lakini Sio Mimi. Wanataka Mimi Niwe Kanye West Lakini Mimi Ni #YE. Mtu Pekee Anayeweza Kuni-Control Na Kunivunjia Heshima Kama Akitaka Ni Mungu Tu”

“Mama Yangu Leo Hii Hayupo Kwasababu Walimtoa Kafara, Michael Jordan Alimtoa Kafara Baba Yake, Dr. Dre Alimtoa Kafara Mtoto Wake Wa Kiume”

“Kama Ukiwa Hollywood, Unatoa Kafara Nyingi Ili Tu Wakupe Nguvu, Umaarufu Na Pesa Halafu Wanaku-Control Unakuwa Chini Yao. Mungu Ananipenda Na Ndiyo Maana Nilimrudia Na Kuwa Mkristo”.

“Nilipokataa Kuwa Chini Yao Hawakuwa Na Chochote Cha Kutumia Dhidi Yangu Na Badala Yake walichukua Kila Kitu Nilichonacho Ikiwemo Dili La Adidas. Baada Ya Kuchukua Kila Kitu, Jarida La Forbes Lenye Chuki Dhidi Yangu Lilikuwa La Kwanza Kuchapisha Taarifa Kuwa (Utajiri Wa Kanye Ni Dola Mil 400), Na Niliishia Kucheka Tu Kwasababu Mimi Bado Ni Bilionea. Yesu Ni Mfalme Na Mungu Ananipenda, Hivyo Nasema Ukweli Huu Ikiwa Mungu Yupo Upande Wangu Basi Hakuna Kitu Kitanitokea” - Kanye

Kwasasa Diddy Anaandamwa Na Kesi Za Kingono Mahakamani Ambapo Amefikia Hatua Ya Kuuza Mali Na Nyumba Zake Ili Kumaliza Misala Hiyo Inayomkabili.

wabongo watakwambia ni story za vijiwe vya temeke na manzese
 
Kwahiyo wasafi wameenda Marekani wamerudi bila Diara golini? Jamaa karudi na ndoto ya kuwa tajiri namba 1 baada ya kutolewa marinda
 
Back
Top Bottom