Cha kwanza ni kuacha kuwasiliana na mdogo wake amabae anakupa taarifa zake, songa mbele mzee acha yeye aje kukutafuta, ukimtafuta wewe utateseka zaidi, yeye akianza inakua nzuri na rahisi kumsaidia, wanawake hawaeleweki, pia weka nguvu nyingi kumpenda ulienae sahiviUko sahihi sana.Nakubali mimi ndio mwenye matatizo so how do you FIX that.How do I get over her?
Jifunze kusahau mambo ya kale mzee, sio lazima umsaidie kwani ukimsaidie itakuaje labdaNiliye naye tuko sawa.I am doing my best BUT how do I get over this?
What ua felling is it the same fellings she is going through? Unajibebesha mizigo isiyo ya lazimaThe truth is sitaki kujihusisha but the battle within me is getting serious and it is affecting me.SO How do I get over that?
Ni wanaume wachache sana baada ya ndoa kuvunjika huwa wakisikia Ex wake anataabika au ana maradhi mabaya na anateseka kwa namna yoyote ataweza kujikausha na asipatwe na uchungu.Sababu kubwa ni kuwa,ni mtu ambaye mlizoeana sana,mliishi kama ndugu ila tu ushetani flani unaingia hapo kati unasababisha ndoa kuvunjika.Kuingilia kati hutaweza,kujikausha hutaweza,na kama atapata jambo baya zaidi bado itakusumbua sana.Ushauri wangu kama utaweza kupata nafasi ya kuongea naye,msikilize na umpe matumaini na si kuwa tenganisha,hii itamfanya ajione kuwa unampenda na kumjali,ingawa huwezi kutatua tatizo lake zaidi ya kumppa faraja,na kama ni swala la kuachana na huyo mwanaume iwe ni maamuzi yake binafsi na isiwe ni kutokana na ushawishi wako,na ndio maana hata Mungu katika neno lake Malaki 2:16 anasema kuwa anachukia kuachana...Kwa miaka kadhaa iliyopita nilikuwa na mahusiana na mwanamke ambaye tulitokea kupata mtoto mmoja.Kutokana na saabu mbalimbali ikiwamo hali ngumu ya kiuchumi na changamoto nyingine za kimahusiano.Uhusiano wetu ulivunjika na Mwanamke akampeleka mtoto kwa BIBI yake na kisha akaolewa na yule bwana ambaye alikuwa sababu ya uhusiano wetu kuvunjika pamoja na madhaifu yetu.
Hata hivyo watu waliokuwa wanafahamu kuhusu uhusiano wetu walijaribu kuturudisha pamoja lakini mwanamke huyu alikataa kata kata kwa sababu mbalimbali.
Sababu ya kuandika uzi na kutaka ushauri wenu.NIFANYE NINI?
Kwa mujibu wa taarifa nilizopata huyu EX wife anapitia kipindi kigumu sana kwani uhusiano aliopo sasa ni very abusive(KIPIGO,MANYANYASO etc) Mateso anayopata ni ma,kubwa ila pamoja na hayo bado hatoki katika uhusiano(Binafsi nafikiri ni kwa sababu ya Majuto na kufikiri kwamba anastahili adhabu anayopata kwa sababu ya aliyofanya nyuma)
Pamoja na hayo yote nimejisikia kuumia sana baada ya kupata taarifa hizo ingawa sina ushahidi.Kuna uwezekano wa kumuona na kuzungumza naye ingawa binafsi nachelea kufanya hivyo hasa kutokana na mamao aliyonifanyia na pia kuepuka kuvuruga uhusiano wangu wa sasa.Baada ya kuachana naye alininyima access ya mtoto na hivyo taarifa za Mtoto nazipata kupitia kwa mdogo wake ambaye huwa ana namba yangu.
Tangu nipate habari hii nimeumia sana,nimetumia muda mwingi kusali ni kumuoma Mungu amsaidi lakini bado nakuwa na msongo wa mawazo kwa sababu yake.Hali imeathiri sana mambo yangu mengine.Nashindwa kuelewa ni kwa nini inakuwa hivi.JE NIFANYEJE ILI NIMTOE KATIKA UHUSIANO HUU IWAPO NI ABUSIVE.Je kwa nini nimekuwa na maumivu makali kwa sababu ya mateso yake?Je ni kwamba ninampenda au ni mimi tu nina matatizo yangu.
Tupeane ushauri juu ya nini naweza kufanya ili kuepuka msongo na mambo mengine ambyo naweza fanya katika hali kama hii.
Thanks for this.It is healthy.Ni wanaume wachache sana baada ya ndoa kuvunjika huwa wakisikia Ex wake anataabika au ana maradhi mabaya na anateseka kwa namna yoyote ataweza kujikausha na asipatwe na uchungu.Sababu kubwa ni kuwa,ni mtu ambaye mlizoeana sana,mliishi kama ndugu ila tu ushetani flani unaingia hapo kati unasababisha ndoa kuvunjika.Kuingilia kati hutaweza,kujikausha hutaweza,na kama atapata jambo baya zaidi bado itakusumbua sana.Ushauri wangu kama utaweza kupata nafasi ya kuongea naye,msikilize na umpe matumaini na si kuwa tenganisha,hii itamfanya ajione kuwa unampenda na kumjali,ingawa huwezi kutatua tatizo lake zaidi ya kumppa faraja.na kama ni swala lakuachana na huyo mwanaume iwe ni maamuzi yake binafsi na isiwe kutokana na ushawishi wako...
Napata taabu sana jinsi unavyoteseka kwenye ndoa yako huko,nataka nije kukukomboaUtajiju
This is healthy.Napanga Family Holiday sasa hivi.Cha kwanza ni kuacha kuwasiliana na mdogo wake amabae anakupa taarifa zake, songa mbele mzee acha yeye aje kukutafuta, ukimtafuta wewe utateseka zaidi, yeye akianza inakua nzuri na rahisi kumsaidia, wanawake hawaeleweki, pia weka nguvu nyingi kumpenda ulienae sahivi
Apo ni matukio ya nyuma ndo yanayokusumbua tuu...na hayo huwa yanahifadhiwa ktk subconscious mind yako...na kitu chochote kkiwa kimehifadhiwa ktk subconscious mind hakifutika kwa wepesi ni lazima ucheze sna na conscious mind...Sure man,Najizuiaje nisimfikirie?Kuna namna ya kujizuia.Nipe mbinu hapa?
Kunywa pombe whisk [emoji1634] utamsahauNautuaje Mkuu?
Utanipa mrejesho furaha ambayo utakua nayo ukifanya nilichokuambia, fanya hilo niliokuambia you will be the happiest man in the worldThis is healthy.Napanga Family Holiday sasa hivi.
Tatizo hutaki kumtoa kichwani hilo nalo ni shida, mbona wanatoka tu kichwani hawa watu ni kuamua tu.That route has failed.Nilishajaribu.
NLP.Hio nimeanza kufanya but will keep adding more practiceApo ni matukio ya nyuma ndo yanayokusumbua tuu...na hayo huwa yanahifadhiwa ktk subconscious mind yako...na kitu chochote kkiwa kimehifadhiwa ktk subconscious mind hakifutika kwa wepesi ni lazima ucheze sna na conscious mind...
Kwanza relax ona hilo jambo ni la kawaida tuu...tenga muda wa kuconcetrate/meditate ktk mahusiano yako mapya na kusahau yaliyopta....ufundshe ubongo wako kushukuru kwa lililotokea na kufurahi kwa kilichotokea....jitahidi kila sku kujiambia maneno haya...
ninafuraha kuwa na mke wangu mpya..
Nina furaha kuishi maisha haya ya Sasa .
Nashukuru Mungu kwa kunpatia familia bora..
Nashukuru Mungu kwa kunipatia afya njema Mimi na familia yngu..
Nashukuru Mungu kwa mafanikio unayonipa..
Nafurahi kuona X wife wangu anaishi maisha yenye furaha na Amani na Mungu anambaridi...sema hivyo ata Kama x wife wako anachezea kichapo kila siku..
Utaongezea na maneno mengine positive yawe katka present tense
Fanya hv kila sku usku na asubuhi...baada ya mwez utaona mabadiliko.
Kumbe unabishana tena? usiingilie ndoa ya watu wewe...akitoka kupata kipigo ana kazwa π πEAsily said than done.How can Let it go if it keeps poping up like a pending business
?
Litakuwa lijamaa linamkuna vzr kunako 6*6 ndo maana hatoki pamoja na vipigo! Mkuu tar 28 hakikisha kura zote kwa magufuliKwa miaka kadhaa iliyopita nilikuwa na mahusiana na mwanamke ambaye tulitokea kupata mtoto mmoja.Kutokana na saabu mbalimbali ikiwamo hali ngumu ya kiuchumi na changamoto nyingine za kimahusiano.Uhusiano wetu ulivunjika na Mwanamke akampeleka mtoto kwa BIBI yake na kisha akaolewa na yule bwana ambaye alikuwa sababu ya uhusiano wetu kuvunjika pamoja na madhaifu yetu.
Hata hivyo watu waliokuwa wanafahamu kuhusu uhusiano wetu walijaribu kuturudisha pamoja lakini mwanamke huyu alikataa kata kata kwa sababu mbalimbali.
Sababu ya kuandika uzi na kutaka ushauri wenu.NIFANYE NINI?
Kwa mujibu wa taarifa nilizopata huyu EX wife anapitia kipindi kigumu sana kwani uhusiano aliopo sasa ni very abusive(KIPIGO,MANYANYASO etc) Mateso anayopata ni ma,kubwa ila pamoja na hayo bado hatoki katika uhusiano(Binafsi nafikiri ni kwa sababu ya Majuto na kufikiri kwamba anastahili adhabu anayopata kwa sababu ya aliyofanya nyuma)
Pamoja na hayo yote nimejisikia kuumia sana baada ya kupata taarifa hizo ingawa sina ushahidi.Kuna uwezekano wa kumuona na kuzungumza naye ingawa binafsi nachelea kufanya hivyo hasa kutokana na mamao aliyonifanyia na pia kuepuka kuvuruga uhusiano wangu wa sasa.Baada ya kuachana naye alininyima access ya mtoto na hivyo taarifa za Mtoto nazipata kupitia kwa mdogo wake ambaye huwa ana namba yangu.
Tangu nipate habari hii nimeumia sana,nimetumia muda mwingi kusali ni kumuoma Mungu amsaidi lakini bado nakuwa na msongo wa mawazo kwa sababu yake.Hali imeathiri sana mambo yangu mengine.Nashindwa kuelewa ni kwa nini inakuwa hivi.JE NIFANYEJE ILI NIMTOE KATIKA UHUSIANO HUU IWAPO NI ABUSIVE.Je kwa nini nimekuwa na maumivu makali kwa sababu ya mateso yake?Je ni kwamba ninampenda au ni mimi tu nina matatizo yangu.
Tupeane ushauri juu ya nini naweza kufanya ili kuepuka msongo na mambo mengine ambyo naweza fanya katika hali kama hii.
Sasa acha shobo, pambana na familia yako mpya, ukiweza nenda mahakamani dai mtoto.Najua hilo.