My List: Most Beautiful Tanzanian Female Celebrities

watu8 nasubiri picha za
Mercy galabawa
,Lilian Kusekwa
Meninna Atick
Fezza kessy
Sauda Kessy

Unaonaje tukienda kwa video?

[video=youtube_share;JDAWYrtYAos]http://youtu.be/JDAWYrtYAos[/video]
 
My Mama (Mama yangu Mzazi) ndie the most beautiful woman
 

Wapi sister p?
 
Last edited by a moderator:
Na kweli...ila huyu binti ni mrembo sana jaribu kufuatilia muonekano wake kabla hajaanza kuchakachua ngozi yake

kumbe wengi tuna mawazo sawa, huyu dada ni mzuri sana kwa ngozi yake ya asili aachane na mkorogo na kidogo apunguze chips na kuku yaani weight atashika no moja tena!!!!
 
Umeniharibia mtiririko wa kufuatilia hii mada ndugu yangu,yaani unaweka mhindi kweli kwenye list hii kweli kabisa.Haya nimeachana na hii sired bwana umeniharibia siku

lakini ni mhindi wa shinyanga !.....anapiga kisukuma kama anatoka kijiji kimoja na mzee wa vijecenti aka kodi ya sim kadi !
 

mbona Supika ana matunzo ya kutosha na bado yuko vile ?
senkyuu veree maaachee !
 
EWAAAAAAAAAAH!!!!,
hayo ndo maneno sasa, ebu cheki vyumba vya uwani hivyo.
Duh hii toto kAPITENI anaweza akahonga hata jimbo

Mkuu umefanya nimecheka sana hapo kwenye red
 
Umeniharibia mtiririko wa kufuatilia hii mada ndugu yangu,yaani unaweka mhindi kweli kwenye list hii kweli kabisa.Haya nimeachana na hii sired bwana umeniharibia siku

Huyo ni Mtanzania tena mzuri kuliko wote mliowabandika, Tazama hapo ni natural, hakuna rangi wala mkorogo wala nywele za maiti, compare na hao wengine waliobandikwa uone kama hao wengine hawautafuti huo uhindi kwenye makopo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…