EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,477
- 15,325
Unaonaje tukienda kwa video?
[video=youtube_share;JDAWYrtYAos]http://youtu.be/JDAWYrtYAos[/video]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu aliharibu sana kuzaa na nanihii ambaye ni mume wa mtu! Watoto wawili nayo bahati mbaya?
Sishabikii underage
3: Jacqueline Ntuyabaliwe
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hawa ndiyo warembo wa ukweli mkuu wangu watu8 hakuna make up,manywele ya bandia,mkorogo,makucha ya kubandika na nk.Hawa wanawakilisha kundi kubwa la wanawake wa vijijini ukibahatika kumpata ukamleta mjini ukampigisha viwalo vya ukweli pamoja na misosi ya uhakika nakuhakikishia hakuna cha Wema sijui Jackline wote watapigwa chini.
Picha kwa hisani ya vijiji Masaini,Masasi,Zanzibar.
Na kweli...ila huyu binti ni mrembo sana jaribu kufuatilia muonekano wake kabla hajaanza kuchakachua ngozi yake
![]()
Richa Adhia
My Mama (Mama yangu Mzazi) ndie the most beautiful woman
Umeniharibia mtiririko wa kufuatilia hii mada ndugu yangu,yaani unaweka mhindi kweli kwenye list hii kweli kabisa.Haya nimeachana na hii sired bwana umeniharibia siku
Tedy kalonga, miriam odemba, kajala, ray c
Mbona hamsemi kuwa wake wenu wazuri wanaowatunza na kuwabembeleza usiku mkiwa mnakoloma?wanawatunzia watoto wenu,kukupikia chakula,kukufulia nguo hadi chupi mnabaki kusema mnabaki kusifia Masister DU wa mjini.
HAKUNA MWANAMKE MBAYA ZAIDI YA MATUNZO..
EWAAAAAAAAAAH!!!!,
hayo ndo maneno sasa, ebu cheki vyumba vya uwani hivyo.
Duh hii toto kAPITENI anaweza akahonga hata jimbo
Umeniharibia mtiririko wa kufuatilia hii mada ndugu yangu,yaani unaweka mhindi kweli kwenye list hii kweli kabisa.Haya nimeachana na hii sired bwana umeniharibia siku
Mkuu umefanya nimecheka sana hapo kwenye red