Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Nimejionea hii taarifa nikasukumwa kuandika huu uzi kuhusu serikali ya Tanzania ya sasa!
Kwa muda mrefu nimekua mkosoaji nguli wa serikali za CCM kuanzia kwa JK hadi kwa Samia!
Kwa hivi karibuni trend ya uchumi wa Tanzania, mapambano dhidi ya Rushwa, harakati za matumizi ya nishati safi, ujenzi wa miundombinu na maboresho makubwa katika utumishi wa umma huyu mama Samia anastahili pongezi za pekee!
Kikubwa kilichonifurahisha na kunisukuma kuandika huu uzi ni juu ya usafi katika mwenendo mzima wa usajili na uwazi wa matumizi ya madeni ya nchi. Mkaguzi mkuu wa Hesabu za kenya anasema wanapaswa kujifunza na kuiga huu mfumo bora kabisa toka Tanzania.
Hii video hapo chini ni kutoka nchi ya Kenya tunayoamini na kuisifu ipo mbali sana kuliko Tanzania katika katiba na mengine mengi wanakiri kuja kujifunza Tanzania juu ya uwazi katika fedha!! Rais Ruto alikiri Tanzania inaizidi Kenya kwa exports!!
Hakika mwanamke anaweza na anaweza tena!
Huu uzi umenifanya niwakumbuke akin mama shupavu sana akina Benazir Buto, Angela Markel, Margaret Thatcher na Her majesty the Queen Elizabeth II wa Uingereza!!
My Tribute to Samia Suluhu Hassan! Hongera Samia hongereni wanawake Mnaweza!
Kwa muda mrefu nimekua mkosoaji nguli wa serikali za CCM kuanzia kwa JK hadi kwa Samia!
Kwa hivi karibuni trend ya uchumi wa Tanzania, mapambano dhidi ya Rushwa, harakati za matumizi ya nishati safi, ujenzi wa miundombinu na maboresho makubwa katika utumishi wa umma huyu mama Samia anastahili pongezi za pekee!
Kikubwa kilichonifurahisha na kunisukuma kuandika huu uzi ni juu ya usafi katika mwenendo mzima wa usajili na uwazi wa matumizi ya madeni ya nchi. Mkaguzi mkuu wa Hesabu za kenya anasema wanapaswa kujifunza na kuiga huu mfumo bora kabisa toka Tanzania.
Hii video hapo chini ni kutoka nchi ya Kenya tunayoamini na kuisifu ipo mbali sana kuliko Tanzania katika katiba na mengine mengi wanakiri kuja kujifunza Tanzania juu ya uwazi katika fedha!! Rais Ruto alikiri Tanzania inaizidi Kenya kwa exports!!
Hakika mwanamke anaweza na anaweza tena!
Huu uzi umenifanya niwakumbuke akin mama shupavu sana akina Benazir Buto, Angela Markel, Margaret Thatcher na Her majesty the Queen Elizabeth II wa Uingereza!!
My Tribute to Samia Suluhu Hassan! Hongera Samia hongereni wanawake Mnaweza!