My week end is super crazy

My week end is super crazy

Aina za malezi siku hizi sijui ni aina na mfumo wa maisha gani jamii inajengewa.
Honestly,nawaonea huruma sana hawa watoto.

Sijawahi ona watoto wamedekezwa kiasi hiki.
Sijui wazazi wenye haya malezi huwa wanawaza nini?
 
Honestly,nawaonea huruma sana hawa watoto.

Sijawahi ona watoto wamedekezwa kiasi hiki.
Sijui wazazi wenye haya malezi huwa wanawaza nini?
Omba kukaa nao kwa muda kidogo walao uwarudishe kwenye mstari, kuna methali inayosema mchuma janga hula na wa kwao.
 
Warudishe kwa wazazi wao, malezi mabaya ya wengine, tabu upatee wee, Lol
Siwezi kuwarudisha hadi wazazi wao warudi,wamesafiri nje ya Tz na mimi mwenyewe ndo nilisema waletwe kwangu coz navipenda ila nimejua hawa inabidi mapenz ya mbalimbal,wakichukuliwa sitarudia tena kuvichukua
.
 
Tumia mfumo wa analogy changanya kidogo na wa ki digitaly

Watoto wa kibongo unawalea kizungu lazima uta fail tu!
Huo mwezi mmoja sitashindwa kuvipa maisha waliyozoea niepushe kuumwa kichwa na vilio vya kila saa
 
Hawana shida utwajulia tu nikupe triki nzuri ,ni hii wape vitu wafanyee. Uza tv pesa hizo zitumie kwa kuwapa wafanye vitu wawe busy ila huwapi
Thanks kwa ushauri dear.
Tv acha tu zibaki zinahitajika hata wakiondoka.

Wana toys za kutosha wamekuja nazo na pia wanaenda shule
.

Shida ni muda wakiwa nyumbani
 
Sasa mkuu vitoto kuona tu fimbo vinatapika ukifinya si kanaweza kuzimia kwa mshtuko😁.

Mi naombea tu siku ziishe virudi kwao
Watazoea na wataacha kutapika.

Mpaka ifike november nyumba itakuwa haitamaniki.
 
Back
Top Bottom