MZAHA: Wema kuanzisha kituo cha redio, Feb 2017

MZAHA: Wema kuanzisha kituo cha redio, Feb 2017

Wema matamko yake ni ya kiki tu kama......... Lakini hayatekezeki. (Sorry hapo kwenye dot nimesahau cha kuandika).
 
Dah.
Yani huyu mama kwa maisha ya maigizo hayaishi tu?
Nina uhakika kabisa 100% huwa hajui anaongea nn mbele ya media.

Pole kwa wazazi wake
 
Hajawahi kuanzisha jambo akamaliza
Wale wanamuziki anaowamiliki wako wapi?
 
gari ya kutembelea ata ya mil 3 hana ataweza radio station.....
 
as if kufungua radio ni kama kununua chama za chupa chipsy
 
Huyu wema huyu hasomeki alianza movie ya superstar mpk leo haijatoka,akaja movie akiyoact na van vinker haijatoka,akaja na ndala cjui zipo wap,akaja na lipstick nazo zimepotea kama upepo akaja na Wema app mpaka inapotea sikuwahi kuielewa kbs inahusu nini na sasa anakuja na redio kila la herii labda hapo atafanikisha.
Umesahau na kampuni yake ya endless fame ilifanya nini na iliishia wapi. Kipindi chake cha luninga in my shoes sijui, nacho chali... sasa Radio... dah.. watu wanaota kuishi angani... kila la kheri ndio kitu naweza mwambia.
 
But she is beaut so anaweza pata pesa wakati wowote.Na hata humu wapo wenye visebusebu na viroho papo.Iwe uongo au kweli yote juu yake..
 
Hawez...frequency za radio Tcra hatoi tena especially dar...za mikoani zenyewe wanatoa kwa mnada na haijulikani lini....na radio investment yake mamilioni amuulize majay
 
Back
Top Bottom