MZAHA: Wema kuanzisha kituo cha redio, Feb 2017

MZAHA: Wema kuanzisha kituo cha redio, Feb 2017

Mipango si matumizi, mbona alisema ujauzito ila hadi leo tunausubiri
 
Huyu wema huyu hasomeki alianza movie ya superstar mpk leo haijatoka,akaja movie akiyoact na van vinker haijatoka,akaja na ndala cjui zipo wap,akaja na lipstick nazo zimepotea kama upepo akaja na Wema app mpaka inapotea sikuwahi kuielewa kbs inahusu nini na sasa anakuja na redio kila la herii labda hapo atafanikisha.
Mkuu umesahau na Champali zake alizozizindua na Vigoma...!
 
Ni rahisi sana kwa yeye kupandwa na wanaume wa kila aina, upande wa kufungua station yake tumsubirie inawezekana pia ikawa rahisi kufungua maana unaweza kuta kabarikiwa pande zote...yaani mashariki, magharibi, kusini na kaskazini!
 
Ahahahahaaaaaaaa da msaga sumu huwa anawapoteza sana maboya
 
Kaishia kufugua kiduka uchwara cha vinguo vya mitumba iliyofuliwa pale Mwananyamala komakoma
 
Back
Top Bottom