Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,614
- 17,626
Wacha niendelee kusubiria embe chini ya mnazimkuu yy hayuko lonely km ww! yy ni chawengi!..huwez zeeka nae maana keshakuwa bibi siku nyingi tu
[emoji38][emoji38]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha niendelee kusubiria embe chini ya mnazimkuu yy hayuko lonely km ww! yy ni chawengi!..huwez zeeka nae maana keshakuwa bibi siku nyingi tu
Mkuu umesahau na Champali zake alizozizindua na Vigoma...!Huyu wema huyu hasomeki alianza movie ya superstar mpk leo haijatoka,akaja movie akiyoact na van vinker haijatoka,akaja na ndala cjui zipo wap,akaja na lipstick nazo zimepotea kama upepo akaja na Wema app mpaka inapotea sikuwahi kuielewa kbs inahusu nini na sasa anakuja na redio kila la herii labda hapo atafanikisha.
Watu wanabutua na kusepaBut she is beaut so anaweza pata pesa wakati wowote.Na hata humu wapo wenye visebusebu na viroho papo.Iwe uongo au kweli yote juu yake..
Wanabutua tuu kama kombolela eti [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Watu wanabutua na kusepa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]usishangae akifungua page ya youtube akadai ndio redio
Nafikiri kabla hajakimbilia mbali kote huko kwenye kufungua radio.. Ajitahidi anunue gari hata VITZ ya kutembelea kwanza.
Anaonekana sana akiwa kwenye bajaj... Foleni maeneo ya Lugalo kuelekea Mwenge.
Nipe frequency zake Mkuu.Hongera sana CEO Madam FM