babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
usishangae akifungua page ya youtube akadai ndio redio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu wema huyu hasomeki alianza movie ya superstar mpk leo haijatoka,akaja movie akiyoact na van vinker haijatoka,akaja na ndala cjui zipo wap,akaja na lipstick nazo zimepotea kama upepo akaja na Wema app mpaka inapotea sikuwahi kuielewa kbs inahusu nini na sasa anakuja na redio kila la herii labda hapo atafanikisha.
Wenyewe wanaita Singapore aka Singidani!Kumbe wema anatoka singida.ndo maana kumbe.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Msaga sumu sio vizuri, unawatesa sana wageni, teh.
mkuu yy hayuko lonely km ww! yy ni chawengi!..huwez zeeka nae maana keshakuwa bibi siku nyingi tuHuyu mtoto nipeni mimi wajameni nizeeke naye
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tv personality and short time politician na kwa kipindi fulani aliyewahi kukiri kuwa yeye ni mshabiki namba moja wa "dyudyu", mwanamama na mwanadada kwa wakati mmoja amejikuta akiwekwa kitimoto na wakuu wake wa kazi na wanafamilia kwa muda wa saa 4 kwa kile kilichodaiwa kuvaa nguo za mwaka 2050 katika mwaka 2016.
![]()
Haya yote yametokea baada ya kuvaa sketi yenye mpasuo uliokuwa na urefu wa SM 34.5 wakati sketi yenyewe ilikuwa na urefu wa SM 35 huku watu wakidai hali hii haikubaliki kabisa katika jamii ya watu wastaarabu wala jamii ya wanamahesabu (mathematicians)
Tulipompigia simu mwenyekiti wa wanamahesabu na fizikia Afrika mashariki alidai dada huyo amevuruga kanuni nyingi sana za hesabu na fizikia kwa kuvaa nguo ambayo ina urefu karibia sawa na mpasuo, Na hivyo ''kuviolate Fallacy and tautology law'' kisha kukata simu.
Mpaka tunaingia mtamboni dada huyo tulipojaribu kumtafuta simu yake ilkuwa bize bila majibu.
Hahaha Uliisoma ya tiffah ya juzi?Kuna moja ilimhusu Joyce Kiria, hii kwangu nai rate namba 1, ikifuatiwa na ya Baba Swalehe 1, jamaa ni mbayaaaa!
Hahaha Uliisoma ya tiffah ya juzi?
Yani anafaa sana kuwa mwandishi wa udakuNdo naiona leo, acheni JF iendelee kuwepo.
Hivi jamaa sijui anatoaga wapi madini yake.
Tatizo kujitambuaWajanja walinufaika kupitia jina lake, yeye mwenyewe yuko chali.
Ana hidden talent flani hivi, ni udaku na jokes, yaani utacheka tu.Yani anafaa sana kuwa mwandishi wa udaku
Afu anavyojikaushaga sasa. Yani anavyoflow unaweza hisi ni issue ya kweli kabisa tehAna hidden talent flani hivi, ni udaku na jokes, yaani utacheka tu.
Ninadhani anafanya ka research kwanza kabla ya kuandika, vitu vinafanana na ukweli, ninakumbuka suit ya Trump kushonwa na Sheria Ngowi.Afu anavyojikaushaga sasa. Yani anavyoflow unaweza hisi ni issue ya kweli kabisa teh
Haha haha jamani nilicheka khaaNinadhani anafanya ka research kwanza kabla ya kuandika, vitu vinafanana na ukweli, ninakumbuka suit ya Trump kushonwa na Sheria Ngowi.
Yani anafaa sana kuwa mwandishi wa udaku