MZAHA: Wema kuanzisha kituo cha redio, Feb 2017

MZAHA: Wema kuanzisha kituo cha redio, Feb 2017

usishangae akifungua page ya youtube akadai ndio redio
 
Huyu wema huyu hasomeki alianza movie ya superstar mpk leo haijatoka,akaja movie akiyoact na van vinker haijatoka,akaja na ndala cjui zipo wap,akaja na lipstick nazo zimepotea kama upepo akaja na Wema app mpaka inapotea sikuwahi kuielewa kbs inahusu nini na sasa anakuja na redio kila la herii labda hapo atafanikisha.

Ila ta.ko lake halipotei.. hiyo ndio asset kubwa mujini, anaongea hivyo sbb t.ako bado lipo.. give her 3 years from now.. hutamsikia ng'ooo
 
nadhani ni wakati sahihi kwa nyie wapambe zake kumwambie watu tumemchoka tangu 2006, kaja na vitu kibao hakuna hata kinacho survive , pia kwa sasa aanze kufanya vitu kimya kimya , wenye pesa hufanya vitu vyao kimya , wasio na pesa hupenda kutangaza na kutaka waonekane, jifunze kwa jaqcline tuyabaliwe .
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Kuna moja ilimhusu Joyce Kiria, hii kwangu nai rate namba 1, ikifuatiwa na ya Baba Swalehe 1, jamaa ni mbayaaaa!

Tv personality and short time politician na kwa kipindi fulani aliyewahi kukiri kuwa yeye ni mshabiki namba moja wa "dyudyu", mwanamama na mwanadada kwa wakati mmoja amejikuta akiwekwa kitimoto na wakuu wake wa kazi na wanafamilia kwa muda wa saa 4 kwa kile kilichodaiwa kuvaa nguo za mwaka 2050 katika mwaka 2016.

12472390_577538545755176_5205178261787731554_n.jpg


Haya yote yametokea baada ya kuvaa sketi yenye mpasuo uliokuwa na urefu wa SM 34.5 wakati sketi yenyewe ilikuwa na urefu wa SM 35 huku watu wakidai hali hii haikubaliki kabisa katika jamii ya watu wastaarabu wala jamii ya wanamahesabu (mathematicians)

Tulipompigia simu mwenyekiti wa wanamahesabu na fizikia Afrika mashariki alidai dada huyo amevuruga kanuni nyingi sana za hesabu na fizikia kwa kuvaa nguo ambayo ina urefu karibia sawa na mpasuo, Na hivyo ''kuviolate Fallacy and tautology law'' kisha kukata simu.

Mpaka tunaingia mtamboni dada huyo tulipojaribu kumtafuta simu yake ilkuwa bize bila majibu.
 
Huyu dada ameathiriwa na u maarufu, hakubali kushuka.angetulia tu afanye yake tuyaone tofauti na hapo naona ni bla blah tu.
 
Afu anavyojikaushaga sasa. Yani anavyoflow unaweza hisi ni issue ya kweli kabisa teh
Ninadhani anafanya ka research kwanza kabla ya kuandika, vitu vinafanana na ukweli, ninakumbuka suit ya Trump kushonwa na Sheria Ngowi.
 
Back
Top Bottom