Ni suala la utawala wa sheria tu Kaka. Rama hayuko juu ya sheria na wala hakuna anayeingilia mhimili mwingine.
Na Mbowe nae alipe madeni yakeDini zote zinafundisha na kuelekeza wafuasi wake kuwa " Mpende jirani yako kama unavyojipenda" " Mfanyie mwingine vile unataka ufanyiwe"
DAWA YA DENI KULIPA
Serikali ya magufuli inataka kulipwa madeni na washirika wake kwa namna yeyote kwa hiari na kwa nguvu, mfano: Wafanyabiashara kodi juu, huwezi funga biashara yako. Wawekezaji, urasimu na Kofi juu. ACACIA, kama hamtoi NOAH kwa kila Mtanzania ondokeni au muuze kampuni kwa wanaokubali kulipa deni bila kujali mkataba. Wakulima Wa korosho na sasa wakulima Wa pamba ni shida.
Deni LA Siku nyingi SAA kwa nini asilipe?
Kama anahela ya kujenga SGR na Bwawa la umeme kwa nini asilipe deni?
Wachina wanajipanga kukamata barabara zote walizotujengea kwa mkopo, kisa wamechukia tunavyosema tunajenga hizo barabara kwa pesa zetu.
Tujiandae kudhalilishwa kwa hiyo mikopo tunayoichukua kimyakimya.
Kwani Rais mpya akiingia huwa ana rithi mkeo? Akili za kijinga sana hiziNyie akili zenu ziko kwenye tundu za kinyesi. Lissu ama Mtu mmoja ni kitu gani mbele ya Taifa. Mnafurahia Ndege kuzuiwa, hamjui kuwa kesho huyu Lissu wenu akibahatika kuwa Raisi, anarithi madeni yote ya serekali ya awamu iliyopita.
Na Mbowe nae alipe madeni yake
Bora tujitoe SADC
Na Mbowe nae alipe madeni yake
Chadema ndio iliwatuma muache kulipa madeni, hebu tumieni vizuri akili mlizopewa na mwenyezi Mungu.Hii imekuja baada ya chadema kugeuka chama cha kushangilia mabaya yote yanayoitokea nchi, mfano kukamatwa kwa ndege, kunyimwa misaada na korosho kukosa soko.View attachment 1189315
Mbona haujaweka picha wakishangilia au tukio lilitokea nyumbani kwako? Ukileta hoja hapa JF of GT hakikisha haitoki kwenye msita.Hii imekuja baada ya chadema kugeuka chama cha kushangilia mabaya yote yanayoitokea nchi, mfano kukamatwa kwa ndege, kunyimwa misaada na korosho kukosa soko.View attachment 1189315
Kwa hiyo tufanyeje? Tulieni dawa ipenyeNyie akili zenu ziko kwenye tundu za kinyesi. Lissu ama Mtu mmoja ni kitu gani mbele ya Taifa. Mnafurahia Ndege kuzuiwa, hamjui kuwa kesho huyu Lissu wenu akibahatika kuwa Raisi, anarithi madeni yote ya serekali ya awamu iliyopita.
Ninyi mnaposhangilia ya Lissu tuwaitaje...dawa ya deni ni kulipa.
Ninyi mnaposhangilia ya Lissu tuwaitaje...dawa ya deni ni kulipa.
Hii imekuja baada ya chadema kugeuka chama cha kushangilia mabaya yote yanayoitokea nchi, mfano kukamatwa kwa ndege, kunyimwa misaada na korosho kukosa soko.View attachment 1189315
Mkuu ni wapuuzi tu.Lakini si mnasema ni ndege za magufuli? Hizo ni kauli zenu wenyewe huyo kawakumbusha tu