Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Mtume salalei wa salimu.Ndio nini ?!!
Tuambie hizi takwimu umezitoa wapi.Akili zenyewe hawana, sijui kwanini wavaa kobazi 10 mwenye akili darasani utakuta ni mmoja au hamna kabisa.
Waislamu na wakristo ni kama Simba na Yangaπ€£Tuambie hizi takwimu umezitoa wapi.
Mnavyofanya kugeuza mijadala inayohusu waislamu kuwasema vibaya sio sahihi.
Hana ajualo huyo mvaa rozari wa manyemaNani kakwambia madrasa wanafundisha masuala ya waarabu
ππππmpaka nimepaliwaHuyo Mzazi kakosa akili unawaza nini hadi umpeleke mwanao Madrsa !.
Dunia ya leo ni sayansi na technology unawezaje kumpotezea mwanao muda wa kwenda kusoma masuala ya waarabu.
Uko Sahihi mkuu naunga mkono hoja asilimia 1000, Allah amnusuru.Umeshindwa kumshikisha Mtoto wako Juzuu , umempeleka Madrasa, Elimu haimuingii mwanadam Kwa njia ya kufundishwa tu, Kuna vitu vingi vinavyochochea Elimu kumkaa MTU kichwani, Elimu inataka Nidhamu Kwa aina yake , Kwa mzazi wa namna hii, jambo la msingi Ilikua ni kuchukua mtoto wake na Kumtoa Kwa Mwalimu Mussa na kumpeleka pengine wasipochapa, au amtafutie Mwalimu wa kumfundishia nyumbani.
Mbona mashuleni fimbo zinatembea kama kawaida ?.
Haya mambo Hayati Magufuli aliyakemea kwelikweli , na aliamuru watoto wachapwe fimbo , ikiwezekana wafukuzwe.
Ni Imani yangu, Hakimu wa Kesi hiyo, atatumia Busara .
Kumchapa Mtoto Kwa lengo la Kumuonya na Kumfanya Abadilike ni sahihi na lazima wachapwe.
Mnaacha mitoto yenu inaangalia michezo ya TV isofaa, mitoto inabadilika Akili kuanzia ikiwa na miaka miwili, Mitoto inalelewa na ubebi ubebi mwingiii linazidi kukua likiamin nili falme au limalikia, Kiburi, jeuri , isowajibika, ndezindezi, mivivu na mizembe kama baba yao, midokozi, Lia Lia , Mitoto Hasara, alafu mnaipeleka shule Kwa Walimu, ambao wamekabidhiwa majukumu kuanzia Kufundishwa Hadi kurekebisha Nidhamu.
Wito wangu Kwa Walimu... KESI KAMA HIZI, ZIWAFANYE MPUUZE MITOTO YAO , MSIHANGAIKE NA MITABIA YA MITOTO YA WATU , INGIENI DARASAN, FUNDISHENI ,SAHIHISHA , USIJISUMBUE NA LITOTO LA MTU.
View: https://youtu.be/8H_q63_Ivas?si=2QcXDM5CliFmNJu5
HeheheHana ajualo huyo mvaa rozari wa manyema
Ishu siyo tamaduni zako, suala ni kuangalia faida na hasara za hizo tamaduni.ngoja nikuambie
ULAYA
ASIA
AMERICA
AUSTARIA
AFRICA
kila bara lina tamaduni zake
na katika hayo mabara kila nchi ina TAMADUNI zake
ni UJINGA na UKOSEFU wa akili kulinganisha TAMADUNI za ULAYA NA AFRICA au TANZANIA
labda nikuulize
wewe hapo unaweza kwenda beach
ikawa wewe dadaako mamaako babaako na baba mkwewako mkewako/mmewako na watoto wako mkbaki na chupi babaakwe boxer mkawa mnaogelea linawezekana kwako
bila shaka haiwezekani sio kwako ni kwa karibu 98% ya watanzania haiwezekani kutokana na TAMADUNI zetu
lakini kwa ULAYA 100% Inawezekana kutokana na tamaduni zao
hvyo TAMBUA tamaduni za eneo husika na kuziheshimu
mfano CHINA kuna majinbo mtu akipata AJARI na chombo cha moto barabarani huruhusiwi kumsaidia chochote unachotakiwa upige simu mamlaka waje kumsaidia hata km yupo kattika state ya kufa
lakini kwa watanzania hilo haliwezekani 7bu tumeritji tamaduni za kusaidiana kutoka kwa wazazi ndio mana unapoona kumetokea ajari watu wanakuwa faster kusaidia
Sio sawa.Waislamu na wakristo ni kama Simba na Yangaπ€£
Nimeshtuka sana mkuu, nilidhani unatetea viboko vya madurasa.
Mleta mada anasumbuliwa na ujinga tu. Viboko siyo njia pekee ya kumlea mtoto.
Viboko ni adhabu ya kipumbavu isiyo na faida yeyote kwa mtoto
Sirjeff Denis, al maarufu ONTARIO ana msemo wake anapenda kuuliza,
''Ni mnyama gani, ukitoa Muafrika, huwa anamuadhibu mtoto wake kwa viboko?''
Mimi sijui, labda Mwarabu na Muhindi, lakini Ulaya hakunaga viboko kwa watoto.
Wewe sio muungwana mkuu. Jitafakari. Unapaswa kuheshimu imani za watuHuyo Mzazi kakosa akili unawaza nini hadi umpeleke mwanao Madrsa !.
Dunia ya leo ni sayansi na technology unawezaje kumpotezea mwanao muda wa kwenda kusoma masuala ya waarabu.
Anaitwa Mtume Swalallahu Alaihi wasalaam"amani na rehema za mwenyezi Mungu ziwe juu yake ".Mtume salalei wa salimu.
Ni Sheria ya madrasa kwani Kuna Sheria ipi ya nchi inayomzuia?Huyo mwalimu wa madrassa sheria gani ya nchi inamruhusu kuwapa watu kipigo. Ashtakiwe miaka.
Nachelea kusema wewe ni mwehu.Nitapeleka kesi mahakamani dini ya kiislamu ifutwe sikuwahi kuona faida zake kwa mwanadamu zaidi ya hasara chungu mbovu ikiwemo kuuza bandari kwa waarabu just kwa kijikomba kwa waarabu kwa viongozi weusi tii wanaovaa matambara ya kiarabu wakidhani na wao eti ni warabu.
πππππ Umenena vemaHuyo Mzazi kakosa akili unawaza nini hadi umpeleke mwanao Madrsa !.
Dunia ya leo ni sayansi na technology unawezaje kumpotezea mwanao muda wa kwenda kusoma masuala ya waarabu.
Umeshajifungua Kwa uchungu mara ngapi?Hamna watoto mnaandika ujinga ujinga tuu.
Zaeni kwanza Kisha tutaongea
Si wakristo wote na si waislamu wote....Waislamu na wakristo ni kama Simba na Yangaπ€£
ππππmnawachapa watoto bure yale majongoo hata mimi mtu mzima ukianza nifunza leo itanichukua karne nzima kuyaelewa, .. mbaya zaidi yanaanzia kulia kuja kushoto wakati huohuo shuleni kwao ni vice versa hasa kwa nini mtoto dish lisicheze