Mzazi alomfikisha Mahakaman Mwl Madrasa Kwa kosa la kuchapa watoto, akemewe popote pale anapoonekana na ikiwezekana Jamii imchukulie hatua

Mzazi alomfikisha Mahakaman Mwl Madrasa Kwa kosa la kuchapa watoto, akemewe popote pale anapoonekana na ikiwezekana Jamii imchukulie hatua

Umeshindwa kumshikisha Mtoto wako Juzuu , umempeleka Madrasa, Elimu haimuingii mwanadam Kwa njia ya kufundishwa tu, Kuna vitu vingi vinavyochochea Elimu kumkaa MTU kichwani, Elimu inataka Nidhamu Kwa aina yake , Kwa mzazi wa namna hii, jambo la msingi Ilikua ni kuchukua mtoto wake na Kumtoa Kwa Mwalimu Mussa na kumpeleka pengine wasipochapa, au amtafutie Mwalimu wa kumfundishia nyumbani.

Mbona mashuleni fimbo zinatembea kama kawaida ?.

Haya mambo Hayati Magufuli aliyakemea kwelikweli , na aliamuru watoto wachapwe fimbo , ikiwezekana wafukuzwe.


Ni Imani yangu, Hakimu wa Kesi hiyo, atatumia Busara .


Kumchapa Mtoto Kwa lengo la Kumuonya na Kumfanya Abadilike ni sahihi na lazima wachapwe.


Mnaacha mitoto yenu inaangalia michezo ya TV isofaa, mitoto inabadilika Akili kuanzia ikiwa na miaka miwili, Mitoto inalelewa na ubebi ubebi mwingiii linazidi kukua likiamin nili falme au limalikia, Kiburi, jeuri , isowajibika, ndezindezi, mivivu na mizembe kama baba yao, midokozi, Lia Lia , Mitoto Hasara, alafu mnaipeleka shule Kwa Walimu, ambao wamekabidhiwa majukumu kuanzia Kufundishwa Hadi kurekebisha Nidhamu.


Wito wangu Kwa Walimu... KESI KAMA HIZI, ZIWAFANYE MPUUZE MITOTO YAO , MSIHANGAIKE NA MITABIA YA MITOTO YA WATU , INGIENI DARASAN, FUNDISHENI ,SAHIHISHA , USIJISUMBUE NA LITOTO LA MTU.


View: https://youtu.be/8H_q63_Ivas?si=2QcXDM5CliFmNJu5

Uko Sahihi mkuu naunga mkono hoja asilimia 1000, Allah amnusuru.
 
Ifike wakati kila mtu aleee watoto wake hadi kuwafundisha maan ktk jamii tunatofautiana kifikra, mtazamo, imani na malezi. Km hutaki mwanao achapwe viboko kwa sababu zako binafsi au sababu ya usasa hasa utandawazi, ni vizuri ulee na kumfundisha elimu dunia mwenyewe km unadhani ni rahisi hasa km mtoto atakua amechukua umbumbumbu wa mzazi mmojawapo.

Km unataka mwanao apate elimu kwa namna yoyote ile, iwe kwa maumivu au starehe basi mpeleke mwanao shule.

Siwatetei walimu, ila mimi ni mzazi ninajua vyema jinsi watoto wa sasa walivyopasua kichwa. Hawana haibu wala adabu. Wakiwa nyumbani baadhi yao hujifanya wema sana lakini wakifika shuleni ni vurugu mechi, ila mzazi goigoi na asiejua maana hata ukimueleza hatajua maana.

Nawapa pole sana walimu wa sasa maana wanafundisha watoto wa kihuni waliotoka kwa wazazi wahuni ndo maana wanalalamikiwa. Watoto wao wakiachwa wafanye wanachotaka hatimae wakifeli wanawatupia tena walimu lawama.

Enzi zetu hata kusema tu nyumbani kuwa nimechapwa na mwalimiu ulikuwa hauwezi maana kitendo tu chakusema ulikuwa unachapwa zingine za kukutosha mwezi au mwaka mzima. Mwanafunzi ulikuwa ukiskia kuwa mwalimiu kapita nyumbani kwenu hata km ilikuwa kwa ajili ya kusalimia labda anafahamiana na mzazi wako, ulikuwa unapata mchafuko wa tupo gafla maan kuna kuwa na hisia kuwa huenda mwalimu kamuelezea baba yako utundu na tabia zako zote unapokuwa shule. Siyo kwamba wazazi wetu walikuwa wajinga, la hasha, walikuwa na akili sana kuliko kizazi hiki cha Bongo Flavour. Walijua nini maana ya mwalimu na umuhimu wake ktk jamii. Na ndiyo maana mwalimu aliheshimika sana popote aliopopita. Lakini leo mwalimiu anachukuliwa na wanafunzi na wazazi km MSHIKAJI. Hatari sn hii.

Kweli bora ufadhili mbuzi utakunywa mchuzi, siyo mwanadamu.

Nimemaliza: BANDOKITITA said
 
ngoja nikuambie

ULAYA
ASIA
AMERICA
AUSTARIA
AFRICA

kila bara lina tamaduni zake
na katika hayo mabara kila nchi ina TAMADUNI zake

ni UJINGA na UKOSEFU wa akili kulinganisha TAMADUNI za ULAYA NA AFRICA au TANZANIA

labda nikuulize
wewe hapo unaweza kwenda beach
ikawa wewe dadaako mamaako babaako na baba mkwewako mkewako/mmewako na watoto wako mkbaki na chupi babaakwe boxer mkawa mnaogelea linawezekana kwako
bila shaka haiwezekani sio kwako ni kwa karibu 98% ya watanzania haiwezekani kutokana na TAMADUNI zetu
lakini kwa ULAYA 100% Inawezekana kutokana na tamaduni zao

hvyo TAMBUA tamaduni za eneo husika na kuziheshimu

mfano CHINA kuna majinbo mtu akipata AJARI na chombo cha moto barabarani huruhusiwi kumsaidia chochote unachotakiwa upige simu mamlaka waje kumsaidia hata km yupo kattika state ya kufa
lakini kwa watanzania hilo haliwezekani 7bu tumeritji tamaduni za kusaidiana kutoka kwa wazazi ndio mana unapoona kumetokea ajari watu wanakuwa faster kusaidia
Ishu siyo tamaduni zako, suala ni kuangalia faida na hasara za hizo tamaduni.

Unataka kusema hata kama umeshagundua tamaduni zako ni za kipumbavu unatakiwa kuziheshimu tu kwa kuwa ni tamaduni zako?
 
Nimeshtuka sana mkuu, nilidhani unatetea viboko vya madurasa.

Mleta mada anasumbuliwa na ujinga tu. Viboko siyo njia pekee ya kumlea mtoto.

Viboko ni adhabu ya kipumbavu isiyo na faida yeyote kwa mtoto

Sirjeff Denis, al maarufu ONTARIO ana msemo wake anapenda kuuliza,
''Ni mnyama gani, ukitoa Muafrika, huwa anamuadhibu mtoto wake kwa viboko?''

Mimi sijui, labda Mwarabu na Muhindi, lakini Ulaya hakunaga viboko kwa watoto.

Nilicho gundua/ observe kitoto Cha kizungu kipo civilized kuliko an average Africans..

Kitoto Cha kizungu kinakua mature ilinishangaza au wapo genetically civilized...katoto kanaelekezwa Mara moja kanaelewa.

Katoto kakizungu kanaelewa faida na hasara ya Jambo automatically kana behave Kama ka mtu kazima.

Watoto wa uswahilini namaanisha katoto ka kiafrika..
Njoo huku kwetu Sasa unakuta litoto Lina tabia za ajabu linafanya mambo yaliyo lipita umri... imagine mtoto wa darasa la pili ni mwizi wa pesa nyumbani na kwenda kuhonga kitoto chenzake😅🤣

Kitoto kiongo...kitoto kijambazi..kitoto kitapeli..kitoto kinafanya mambo ya kikubwa..kitoto kinatukana matusi mazito mpaka mnabakia na mshangao.
 
Mtume salalei wa salimu.
Anaitwa Mtume Swalallahu Alaihi wasalaam"amani na rehema za mwenyezi Mungu ziwe juu yake ".

Well....

Ndani ya madrassah kunafundishwa masomo mengi na si tu hivyo ulivyozodoa kuwa siku nzima wanaimba "salalei na salim"....

Kunafundishwa haya yafuatayo :
-Malezi na tabia njema
-Quran
-Tafsiri ya Quran
-Fiqh (sheria za dini ,sala ,zakkah ,funga ya ramadhani ,hijjah ,kumpwekesha muumba mbingu na nchi).
-Lugha ya kiarabu ,nahau ,balagha ,mantiki(logic)
-Maisha ya mitume wote na familia zao
-Falsafa na mengineyo.

Usiwe mjinga , sawa?!!
 
Huyo Mzazi kakosa akili unawaza nini hadi umpeleke mwanao Madrsa !.
Dunia ya leo ni sayansi na technology unawezaje kumpotezea mwanao muda wa kwenda kusoma masuala ya waarabu.
😂😂😂😂😂 Umenena vema
 
Waislamu na wakristo ni kama Simba na Yanga🤣
Si wakristo wote na si waislamu wote....

Uyanga na usimba wa hao waislamu na wakristo UNAOTAKA kuwasema utaukuta katika mfanano huu ufuatao :
-Wasiostaarabika (uncivilized).
-Akili ndogo za kuzaliwa
-Elimu ndogo
-Childhood abuse iliyopelekea POST TRAUMATIC STRESS DISORDER.
-Mijitu ya mbango mbango tu

Wewe chunguza hata kama wamesoma na kuwa na vipato vikubwa huwa si SMART....
 
mnawachapa watoto bure yale majongoo hata mimi mtu mzima ukianza nifunza leo itanichukua karne nzima kuyaelewa, .. mbaya zaidi yanaanzia kulia kuja kushoto wakati huohuo shuleni kwao ni vice versa hasa kwa nini mtoto dish lisicheze
😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom