Mzazi alomfikisha Mahakaman Mwl Madrasa Kwa kosa la kuchapa watoto, akemewe popote pale anapoonekana na ikiwezekana Jamii imchukulie hatua

Natafuta uiano wa kupigwa na kuelewa.
Kwa wale tuliojaaliwa tuwape watoto wetu vyakula bora vyenye virutubisho, tuwape akinamama vyakula bora vyenye virutubisho wakiwa wajawazito.

Tujitahidi pia kula vyakula bora ili tunapopiga game tutor shahawa zilizoshiba lishe.
 
Unamaanisha?.
 

View: https://x.com/Shariakill/status/1892251200491241850
 
Huyo mwalimu wa madrassa sheria gani ya nchi inamruhusu kuwapa watu kipigo. Ashtakiwe miaka.
Tofauti ya ukiristo na uislam ni hivi: jukumu la kumsomesha Quran na dini ni la mzee sio mtu mwengine yoyote. Kwa sababu wazee wengi siku hizi wamejikita ktk mipira, siasa na wameacha dini yao ndio wanawapeleka watoto wa kwa watu wengine wanaoitwa walimu. Mwalim ni mwalim hata shule mwalim anatandika bakora.
 
Kuna mwalimu wangu alitusomeaga bible kuna sehemu iliandikwa "msiwanyime watoto wenu mapigo"
 
Haya maelimu ya mwarabu ya kukaririshwa watoto kwa viboko ni mifumo wa ELIMU wa hovyo na WA kizamani uliopitwa na wakati. Unafanana na wale wazee waliokuwa wanakariri biology kwa kuweka miguu kwenye maji. Mtoto anatakiwa aelewe na sio kukariri na adhabu ya viboko imeshafutwa kote duniani ni mwarabu tuu na midevu yake ameingangania. Mzazi yupo sahihi aalimpeleka mtoto wake kufunzwa dini na sio kumwadhibu.
 
Leo najiskia kurusha majini kupitia reply .....Salumu leo acha kabisa.
Kipindi hiko advance nlizinguaga shule nkawa suspended mzee kuninyoosha akanipeleka shule Moja hivi ya kiislamu, huko kulikua na sheria kali kinoma afu msos tukawa hatushibi...siku Moja night wanafunzi wakiwa tarawheeeh jamaangu aliingia jikoni anakula ukoko alipigwa Kofi na hayo majini alikata kauli siku mbili😂ndo nkajua Kuna muda hayo madude yapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…