Mzazi kumlazimisha mtoto wake kwenda kanisani ni sawa?

Mi
Mimi nishawekwa mtu Kati ishu za kubeti na Maza afu kipindi iko na pisi yangu ilikuepo nyumbani inasubiri kujifungua, Sasa katika mazungumzo ya Mimi na bi mkubwa shemeji yangu mke wa bro akaingilia, ila shemeji kiukweli kubeti sio kuzuri😀😀 Sasa hasira zangu zote niliamishia kwake nilimmaind kweli kweli nadhan ananiogopa mpaka leo na nikamwambia ukiona naongea na bi mkubwa kaa kando, akaanza kulia nikiri kusema shemeji yangu mke wa bro Ni mtoto 🤣🤣🤣
 
24 yrs bado upo nyumbani unafanya nini? Ndiyo maana mama yako alikuambia wazi kuwa kama unaishi kwake utafuata anachokitaka kwa lugha nyingine alikupa ujumbe wa kuhama kwake.
Mimi nlitaka kuondoka lomgtime yeye ndo akang'ang'ania nikae hapa
 
Sawa, Asante.
 
As long as ulizaliwa nao ukuwakuta wanasali kanisan umekuwa bado wanasali kansan bas utaendelea hvyo hvyo had ujitegemee.
Ukiona sasa unataka jiondoa kwenye hayo, umrkua mtu mzima, kajitegemee.
Okay, gotcha.
 
Kuna umuhimu gani wa kusali?
 
Usisahau huyo aliyekulea mpaka umefika hapo, ana imani yake ambayo wewe unaamini imekula ubongo wake. Unataka kutuaminisha kuwa aliyekulea ubongo wake umeliwa na dini LAKINI WEWE AMBAYE HUWEZI KUMLEA HATA PAKA UBONGO WAKO MZIMA..!!

We ukapimwe akili
 
Thanks, I got you
 
Okay, gotcha.
Mimi mwenyewe mambo ya kansani yashanipita kushoto siku nyingi, nina imani zangu binafsi ila unlike you mimi nina imani Munvu yupo ila sio in the way anavyoelezewa kwenye makanisa.
Ila nimeacha hayo mambo baada ya kujitegemea
 
Thanks, nitafanya hivi
 
Mada yako umeileta ya nini ikiwa unakataa ushauri unaopewa na wengi? Tatizo ni kwamba unajiona una uelewa sana kuliko Hawa wote wanaokushauri,...



Nje ya mada kidogo,
Hakuna mwanaume mwenye akili timamu anaweza kuoa mke wa namna kama yako
Huyo nilimwambia hajitambui. Kwanza kaja kuomba ushauri alafu anataka kubishana na washauri.
 
Nmeshaamua kufunika kombe mwanaharamu apite, But sidhani hata Mungu anapenda kuona binadamu aliyemuumba ananung'ununika kwa kulazimishwa kumuabudu
 

Sio ajabu unazidiwa akili mpaka na Mkeo Kwa akili za namna hii.
Huu mjadala hauhusu Dini ya kweli au ya uongo. Huu mjadala hauhusu mambo ya uzungu au uafrika.
Mada haihusu uamini uwepo wa Mungu au kutokuwepo.

Mada inahusu mamlaka ya familia Kwa MTOTO. Moja wapo ni mzazi kuhakikisha mtoto anaenda kanisani au msikitini. Kwenda shamba au kwenye shughuli za kifamilia n.k.

Huyo kama hataki au anajiona anaakili, aanzishe familia yake afanye atakavyo.
Mama yake hajamuambia aamini katika Mungu, Ila kamuambia aende Kanisani.

Suala la kuamini ni suala la mtu binafsi. Suala la kwenda Kanisani ni tofauti na kuamini. Kanisani watu wanapenda Kwa malengo mengi. Mojawapo ni suala la Maadili, kujenga umoja wa kijumuiya baina ya watu
Sio kila anayeenda kanisani au msikitini anaamini katika Mungu.

Ndio maana nikakuambia Wewe akili yako ni ndogo kuliko hata ya Mkeo au mwanamke utakayemuoa.
 
Nmeshaamua kufunika kombe mwanaharamu apite, But sidhani hata Mungu anapenda kuona binadamu aliyemuumba ananung'ununika kwa kulazimishwa kumuabudu

Wewe ni mtoto. Upo chini ya wazazi. Mungu Hana habari na Wewe. Jukumu kawaachia wazazi wako.
Siku ukitoka hapo NYUMBANI ndio Mungu ataanza kukuzingatia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…