Kisoda James
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 1,114
- 813
sawa mkuu...wanangu nitawapa malezi ya standard ...kamwe sito waspoil...maanake kesho yangu siijui...lazima wajifunze kuishi kwenye all weather.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa mkuu...wanangu nitawapa malezi ya standard ...kamwe sito waspoil...maanake kesho yangu siijui...lazima wajifunze kuishi kwenye all weather.....
Bado ni mtoto hata km 20s ikiwa hajaanza kujitegemea binafsi.sasa mtoto wa miaka minne watafanya nini...nyie ndo huwa mnaspoil watoto..mwishowe mnakuja kuwapa shida hao hao watoto mambo yakiwaendea kombo...au unataka kuniambia kijana wa 16-18 kwako bado ni mtoto
Bado ni mtoto hata km 20s ikiwa hajaanza kujitegemea binafsi.
Sawaah tyuuuh, nyie ndo mnawaacha watoto wanahaha kuhangaika kutafuta life mtaan, kisa eti ameshavuka umri wa utoto, huo n ukatili na ubinafsi. Mtoto km hajaitegemei binafsi anabaki kuwa mtoto na anahitaji msaada kutoka kwako.sawa aunt....ni wewe tu..hata akifika 30 bado ni mtoto tu...mchelea mwana hulia na wakwao....
aisee...Sawaah tyuuuh, nyie ndo mnawaacha watoto wanahaha kuhangaika kutafuta life mtaan, kisa eti ameshavuka umri wa utoto,
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwa hiyo mkuu unamaanisha hakuna fundi wa maisha magumu?bingwa au mtabe wa maisha magumu?Mi nadhani si kweli sana japo inategemea anataka nini mtoto na kwa wakati gani.
Mfano suala lako...umekaa na tisheti miaka 3 mzazi anadai unaharibiwa? Wakati wapo wazazi walikuwa wakinunua sare kila muhula mtoto anarudi na sare mpya na mabegi. Au wengine kila mwaka watoto hununuliwa sare mpya.
Mi mwanangu wa miaka 4 Nampa kila analotaka...akitaka kwasasa...alikataa ugali anataka wali nampa, akikataa wali anataka chipsi Nampa, akikataa juisi akataka soda nampa.
Maisha yenyewe mafupi haya....nikifa atazoea tu maisha magumu
Maisha magumu hayana experience.
Wapo watu wametoka maisha ya chini lakini wanapenda maisha ya juu, wapo watu wamedekezwa lakini wameishi poa tu kwenye maisha magumu.
Maisha magumu hayana fundi mzee baba.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwa hiyo mkuu unamaanisha hakuna fundi wa maisha magumu?bingwa au mtabe wa maisha magumu?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwa hiyo mkuu unamaanisha hakuna fundi wa maisha magumu?bingwa au mtabe wa maisha magumu?
sawa sema falsafa ya huyo baba wa mtoa mada naikubali hata mimi huwa naitumia kwa familia yangu yaani kuanzia mke wangu,watoto na wadogo zangu.Kila mtu anapenda maisha mazuri, hakuna fundi wala bingwa wa maisha magumu
Umenikumbusha....mimi nilisoma kuanzia Form one mpaka four...bila kununuliwa begi la kubeba mgongoni....Madaftari yangu nilikuwa nabebea kwenye Mabox kama haya ya Sabuni....nakata kipannde cha box nakunjia madaftari yangu....BINAFSI NILIUMIA SANA miaka yote ya masomo yangu....
Umeona eeeh? Basi wewe una mawazo kama yanguHapo mzazi anafikiri alikulea katika malezi Bora, LoL kumbe alikuumiza kisaikolojia na si kwamba imekufanya uzoee hiyo hali.
Shida zinajenga na kubomoa kama hali haziwi regulated.Hapo mzazi anafikiri alikulea katika malezi Bora, LoL kumbe alikuumiza kisaikolojia na si kwamba imekufanya uzoee hiyo hali.
Inategemea msaada gani na kwa umri ganiSawaah tyuuuh, nyie ndo mnawaacha watoto wanahaha kuhangaika kutafuta life mtaan, kisa eti ameshavuka umri wa utoto, huo n ukatili na ubinafsi. Mtoto km hajaitegemei binafsi anabaki kuwa mtoto na anahitaji msaada kutoka kwako.
Shida zinajenga na kubomoa kama hali haziwi regulated.
jinga kabisa ww...Nakumbuka nilivoanza darasa la kwanza mama alinipa mia nikala visheti karibia wiki nzima, wiki ya pili ilivoanza asubuhi na mapema nikaenda kugonga chumbani kwa mama, mama akatoka akasema ''leo sina hela'', nikaanza kama kuzingua flani hiv, dingi alivosikia vile akatoka nilipigwa konzi moja heavy sikurudia kuombaomba hela ya kula shule... maza alikuwa ananipa...lakini dingi alikuwa anakaza sana...ndo mana maza nikimtumia laki dingi namtumia twenty, malipo ni hapahapa duniani...😀😀😀😀
Tusi hili mkuu...jinga kabisa ww...
Magufuli anajenga fly over zilizomshinda mkoloni.Sawa ndugu yangu