Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #81
safi[emoji817][emoji817][emoji817]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
safi[emoji817][emoji817][emoji817]
mia mia[emoji817][emoji817][emoji817]
Sawa mkuu@Sio msimamo mkali bali hivyo ndivyo tunatakiwa kuwakuza wanetu hawa kama kweli tunawapenda.
Sahihi kabisaNi wajibu wa mzazi kumpa mtoto mahitaji yake yote ya msingi.
Sio wajibu wa mzazi kumpa mtoto wake chochote anacho kitaka.
Mi nadhani si kweli sana japo inategemea anataka nini mtoto na kwa wakati gani.
Mfano suala lako...umekaa na tisheti miaka 3 mzazi anadai unaharibiwa? Wakati wapo wazazi walikuwa wakinunua sare kila muhula mtoto anarudi na sare mpya na mabegi. Au wengine kila mwaka watoto hununuliwa sare mpya.
Mi mwanangu wa miaka 4 Nampa kila analotaka...akitaka kwasasa...alikataa ugali anataka wali nampa, akikataa wali anataka chipsi Nampa, akikataa juisi akataka soda nampa.
Maisha yenyewe mafupi haya....nikifa atazoea tu maisha magumu
Maisha magumu hayana experience.
Wapo watu wametoka maisha ya chini lakini wanapenda maisha ya juu, wapo watu wamedekezwa lakini wameishi poa tu kwenye maisha magumu.
Mi nadhani si kweli sana japo inategemea anataka nini mtoto na kwa wakati gani.
Mfano suala lako...umekaa na tisheti miaka 3 mzazi anadai unaharibiwa? Wakati wapo wazazi walikuwa wakinunua sare kila muhula mtoto anarudi na sare mpya na mabegi. Au wengine kila mwaka watoto hununuliwa sare mpya.
Mi mwanangu wa miaka 4 Nampa kila analotaka...akitaka kwasasa...alikataa ugali anataka wali nampa, akikataa wali anataka chipsi Nampa, akikataa juisi akataka soda nampa.
Maisha yenyewe mafupi haya....nikifa atazoea tu maisha magumu
Maisha magumu hayana experience.
Wapo watu wametoka maisha ya chini lakini wanapenda maisha ya juu, wapo watu wamedekezwa lakini wameishi poa tu kwenye maisha magumu.
Kama unafaulu vizuri kila muhula sare mpya, begi mpya na pocket money ya kutosha. Sera ya mzee wangu hyo ilinifanya nipige shule nikiwa wa kwanza kila nilikopita. Hakuna chochote niliomba kilichokuwa ndani ya uwezo wa wazazi nikanyimwa. Naapply kwa wanangu pia.Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa Jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu watanzania;
Mzazi mwenye uwezo kumpa mtoto chochote anachokitaka ni sawa na kumharibu? Na kumnyima napo ndio kumjenga?
Nimeamua kuuliza hivi kwa maana kwamba, nilipokuwa form one mnamo mwaka 2000 katika shule moja ya secondary tulipata kupewa T-shirts flani hivi rangi ya dark blue ambazo tulikuwa tunavaa siku ya Ijumaa kama sare ya shule kwa maana siku ile (Ijumaa) ilipangwa kuwa ndio siku ya michezo kwa wanafunzi. Hivyo ikifika saa 6 mchana tu baaaaas masomo yote husitishwa na wanafunzi wote huenda viwanjani kwa ajili ya michezo huku ndugu zetu waislamu wakielekea misikitini (Masjid) kwa ajili ya swala ya Ijumaa.
Sasa bwana ile t-shirt yangu nilikomaa nayo miaka mitatu. Yaaani form one yote ninayo, form two bado ninadunda nayo mpaka form three hiyo mwaka 2002 ngoma ninakomaa nayo ingawa akawa imepauka sana kwa maana wanadai zilikuwa zimetengenezwa kwa cheap cotton hivyo zilikuwa zinatoa rangi wakati wa kufua.
Ilipofika mwezi wa sita, baada ya kufungua likizo ndefu, basi toleo jipya la t-shirt likatolewa, t-shirt nzuri hiiiiizooo, dark blue flani hivi zinavutika vutika mkikaa pale assembling point basi zinang'aaaaa mpaka raha.
Karibia nusu ya rafiki zangu wengi walizinunua t-shirts zile mpaka wasichana. Nikawa ninajisikia inferior sana mbele za wenzangu.
Baada ya kuona vile, mimi niliporudi home tu nikasubiri jioni muda wa kula nikamwambia mama yangu kwa maana shida nyingi huwa ninaongea na mama na sio baba. Mama akalifikisha lile suala kwa mzee baba. Aisee mzee baba aliwaka sio mchezo. Mzee alikuwa anasema "mama Hassan (hilo Hassan ni jina la uongo) hawa watoto ukiwaendekeza kuwapa chochote wanachokitaka utawaharibu hawa, tukifa watashindwa kuishi kwa ndugu" ingawa ilipofika mwisho wa mwezi mama alipewa pesa na baba kisha akanipa mimi nikaenda nunua t-shirt mpyaaaa na mimi nionekane msafi mbele ya mademu wa form 3.
Wazazi mlipo humu Jamiiforums eti ni kweli kumpa mtoto kile anachokitaka ni kumharibu? Na kumyima napo ndio kumjenga?
Ninakaribisha maoni yenu.
BIASHARA: Ninauza Vitabu Vya Kujifunzia Lugha Ya Kijerumani. Ich komme aus der Stadt Dar Es Salaam und verkaufe diese Deutsch-Lernbücher
OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Inategemea mtoto anataka nini, kama anataka vitu ambavyo ni halali kwa umri wake na viko ndani ya uwezo wako si mbaya kumpatia. Mfano mtoto wako wa miaka minne akililia chips, soda,juice, daftari, kitabu nk na ukaona vipo ndani ya uwezo wenu mpe tu haina shida, ila akililia kondomu kwa ajili ya kufanya pulizo mnyime au akililia K-Vant usimpe hata kama ipo ndani ya uwezo wako.
Binafsi naangalia na mtoto.mwenyewe alivyo, kama anajitambua Hana shida unampa chochote anachotaka, wangu nilimpatia tena bila kuomba maana alikuwa anajitambua, akiwa form 3 mwaka huo huo wako aliambiwa na wenzie watoroke waende sehemu kule watapewa simu za Twanga pepeta (kuhongwa) alichowajibu ana simu nzuri kuliko hiyo pia kuliko hata walimu wake hivyo hakwenda, aliagiza atayekwenda mtembea mwisho wa mwezi aende na simu yake Ila itarudi siku hiyo hiyo ilikwenda akawaonyesha hakuna aliyemshawishi tena maana aliwaambia natimiziwa na mzazi wangu. Kwa kumnyima kutamharibu zaidi, mawazo yangu ni hayoShikamooni wakubwa zangu wote wa hapa Jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu watanzania;
Mzazi mwenye uwezo kumpa mtoto chochote anachokitaka ni sawa na kumharibu? Na kumnyima napo ndio kumjenga?
Nimeamua kuuliza hivi kwa maana kwamba, nilipokuwa form one mnamo mwaka 2000 katika shule moja ya secondary tulipata kupewa T-shirts flani hivi rangi ya dark blue ambazo tulikuwa tunavaa siku ya Ijumaa kama sare ya shule kwa maana siku ile (Ijumaa) ilipangwa kuwa ndio siku ya michezo kwa wanafunzi. Hivyo ikifika saa 6 mchana tu baaaaas masomo yote husitishwa na wanafunzi wote huenda viwanjani kwa ajili ya michezo huku ndugu zetu waislamu wakielekea misikitini (Masjid) kwa ajili ya swala ya Ijumaa.
Sasa bwana ile t-shirt yangu nilikomaa nayo miaka mitatu. Yaaani form one yote ninayo, form two bado ninadunda nayo mpaka form three hiyo mwaka 2002 ngoma ninakomaa nayo ingawa akawa imepauka sana kwa maana wanadai zilikuwa zimetengenezwa kwa cheap cotton hivyo zilikuwa zinatoa rangi wakati wa kufua.
Ilipofika mwezi wa sita, baada ya kufungua likizo ndefu, basi toleo jipya la t-shirt likatolewa, t-shirt nzuri hiiiiizooo, dark blue flani hivi zinavutika vutika mkikaa pale assembling point basi zinang'aaaaa mpaka raha.
Karibia nusu ya rafiki zangu wengi walizinunua t-shirts zile mpaka wasichana. Nikawa ninajisikia inferior sana mbele za wenzangu.
Baada ya kuona vile, mimi niliporudi home tu nikasubiri jioni muda wa kula nikamwambia mama yangu kwa maana shida nyingi huwa ninaongea na mama na sio baba. Mama akalifikisha lile suala kwa mzee baba. Aisee mzee baba aliwaka sio mchezo. Mzee alikuwa anasema "mama Hassan (hilo Hassan ni jina la uongo) hawa watoto ukiwaendekeza kuwapa chochote wanachokitaka utawaharibu hawa, tukifa watashindwa kuishi kwa ndugu" ingawa ilipofika mwisho wa mwezi mama alipewa pesa na baba kisha akanipa mimi nikaenda nunua t-shirt mpyaaaa na mimi nionekane msafi mbele ya mademu wa form 3.
Wazazi mlipo humu Jamiiforums eti ni kweli kumpa mtoto kile anachokitaka ni kumharibu? Na kumyima napo ndio kumjenga?
Ninakaribisha maoni yenu.
BIASHARA: Ninauza Vitabu Vya Kujifunzia Lugha Ya Kijerumani. Ich komme aus der Stadt Dar Es Salaam und verkaufe diese Deutsch-Lernbücher
OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Kwa hiyo akatafute mwenyewe? Unajua.madhara ya mtoto kujitafutia
Binafsi mie nakiri ni kumharibia mtoto....!mbaya Sana..
Ni nzuri Sana hiyo mkuu.Kwa hiyo akatafute mwenyewe? Unajua.madhara ya mtoto kujitafutia
Mkuu soma mchangiaji #89 huo ndio utafutaji unaotaka wewe? Maana bado akili hazijapevuka kivile, huo ni mfano mdogo sana mingine unaijuaNi nzuri Sana hiyo mkuu.
Mtoto anakua anajua mapema San wajibu wake
Inategemea na maleziMkuu soma mchangiaji #89 huo ndio utafutaji unaotaka wewe? Maana bado akili hazijapevuka kivile, huo ni mfano mdogo sana mingine unaijua
Ndio ni kumuharibu. Ni vema mtoto akajua kuna kupata na kukosa pia kupo.Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa Jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu watanzania;
Mzazi mwenye uwezo kumpa mtoto chochote anachokitaka ni sawa na kumharibu? Na kumnyima napo ndio kumjenga?
Nimeamua kuuliza hivi kwa maana kwamba, nilipokuwa form one mnamo mwaka 2000 katika shule moja ya secondary tulipata kupewa T-shirts flani hivi rangi ya dark blue ambazo tulikuwa tunavaa siku ya Ijumaa kama sare ya shule kwa maana siku ile (Ijumaa) ilipangwa kuwa ndio siku ya michezo kwa wanafunzi. Hivyo ikifika saa 6 mchana tu baaaaas masomo yote husitishwa na wanafunzi wote huenda viwanjani kwa ajili ya michezo huku ndugu zetu waislamu wakielekea misikitini (Masjid) kwa ajili ya swala ya Ijumaa.
Sasa bwana ile t-shirt yangu nilikomaa nayo miaka mitatu. Yaaani form one yote ninayo, form two bado ninadunda nayo mpaka form three hiyo mwaka 2002 ngoma ninakomaa nayo ingawa akawa imepauka sana kwa maana wanadai zilikuwa zimetengenezwa kwa cheap cotton hivyo zilikuwa zinatoa rangi wakati wa kufua.
Ilipofika mwezi wa sita, baada ya kufungua likizo ndefu, basi toleo jipya la t-shirt likatolewa, t-shirt nzuri hiiiiizooo, dark blue flani hivi zinavutika vutika mkikaa pale assembling point basi zinang'aaaaa mpaka raha.
Karibia nusu ya rafiki zangu wengi walizinunua t-shirts zile mpaka wasichana. Nikawa ninajisikia inferior sana mbele za wenzangu.
Baada ya kuona vile, mimi niliporudi home tu nikasubiri jioni muda wa kula nikamwambia mama yangu kwa maana shida nyingi huwa ninaongea na mama na sio baba. Mama akalifikisha lile suala kwa mzee baba. Aisee mzee baba aliwaka sio mchezo. Mzee alikuwa anasema "mama Hassan (hilo Hassan ni jina la uongo) hawa watoto ukiwaendekeza kuwapa chochote wanachokitaka utawaharibu hawa, tukifa watashindwa kuishi kwa ndugu" ingawa ilipofika mwisho wa mwezi mama alipewa pesa na baba kisha akanipa mimi nikaenda nunua t-shirt mpyaaaa na mimi nionekane msafi mbele ya mademu wa form 3.
Wazazi mlipo humu Jamiiforums eti ni kweli kumpa mtoto kile anachokitaka ni kumharibu? Na kumyima napo ndio kumjenga?
Ninakaribisha maoni yenu.
BIASHARA: Ninauza Vitabu Vya Kujifunzia Lugha Ya Kijerumani. Ich komme aus der Stadt Dar Es Salaam und verkaufe diese Deutsch-Lernbücher
OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Kwa Dunia ya saivi ni heri kumpa kila akitakacho, maana usipompa wee atapewa na wenginee, lol
Nakumbuka nilivoanza darasa la kwanza mama alinipa mia nikala visheti karibia wiki nzima, wiki ya pili ilivoanza asubuhi na mapema nikaenda kugonga chumbani kwa mama, mama akatoka akasema ''leo sina hela'', nikaanza kama kuzingua flani hiv, dingi alivosikia vile akatoka nilipigwa konzi moja heavy sikurudia kuombaomba hela ya kula shule... maza alikuwa ananipa...lakini dingi alikuwa anakaza sana...ndo mana maza nikimtumia laki dingi namtumia twenty, malipo ni hapahapa duniani...😀😀😀😀