Mzazi kumpa mtoto chochote anachokitaka ni sawa na kumharibu?

Mzazi kumpa mtoto chochote anachokitaka ni sawa na kumharibu?

Kwa mantiki hiyo wewe una mkataba na Muumba wako kuwa utakaa hapa duniani hadi huyo mtoto wako ajitegemee?? Ninyi ndo mnaowadekeza watoto hadi kumnunulia kitanda cha kuanzia maisha unampa na kochi kuubwa la kuanzia maisha. Mtoto huyo huyo analifanya ndio "Love nest" wa kike anaipatia hapo mimba yake ya kwanza kutoka kwa msela aso na chochote ila sound kubwa. Ila kama babako alikuachia urithi kula na wanao. Binafsi simpi chochote zaidi ya elimu.
Wewe una msimamo mkali sana mkuu. Mhafidhina@
 
Nakumbuka nilivoanza darasa la kwanza mama alinipa mia nikala visheti karibia wiki nzima, wiki ya pili ilivoanza asubuhi na mapema nikaenda kugonga chumbani kwa mama, mama akatoka akasema ''leo sina hela'', nikaanza kama kuzingua flani hiv, dingi alivosikia vile akatoka nilipigwa konzi moja heavy sikurudia kuombaomba hela ya kula shule... maza alikuwa ananipa...lakini dingi alikuwa anakaza sana...ndo mana maza nikimtumia laki dingi namtumia twenty, malipo ni hapahapa duniani...😀😀😀😀
 
Mtoto apewe mahitahitaji ya lazima si kila analohitaji, km halina ulazima na halitaathiri maendeleo yake siwezi kumpa,

Mfano, eti nikisonga ugali dagaa nyumbani kwangu km chakula cha familia nzima halafu mtoto aseme yeye anataka wali,
Hicho kitu asahau, may be km kuna sababu za kiafya zilizothibitishwa na dr kua mtoto huyo hawezi kula ugali dagaa,

Niishie hapo kwa leo,
 
Kwa Dunia ya saivi ni heri kumpa kila akitakacho, maana usipompa wee atapewa na wenginee, lol
Sure, kama uwezo unaruhusu mpe tu.. Akiwa exposed na hali hiyo hawezi babaikia vya kupewa.. Sema lazima kuwa na mipaka.. Wakati mwingine lazima umjengee kitu kwamba tu have this you must do something to be rewarded.. Mi nawapa tu sema lazima kuna kuwa na condition ili ajue not everything come easily.. Pia kuna wakati akitaka kitu nitampa lakini baada ya muda fulani hata kama ninaweza kumpa instantly....
 
Sijasema nampa chipsi kila siku......nimesema akitaka. Kuna siku unaweza pika chipsi akataka ugali.

Mi nitampa kila atakacho ninachoweza ukubwani tutapambana tu...na nikiweza nampa vilevile.

Kwanini nimnyime rahaaa

Mbona sisi tukijisikia tunataka kitu fulani tunajipa.....mtu anakunywa bia kila siku ila mtoto akiomba kunywa soda mara moja moja tunasema tunamuharibu....... oooops

Umaskini tu unatusumbua
Yaani ni kweli kabisa... Maana hawa watoto hawawezi pata kitu within their own control, it's us to provide.. Mi huwa nasema just be free anything you want umetamani mwambie mom.... Khaaa watu wanakunywa bia daily but kupeleka hata mtoto outings ni mwiko.... Maisha gani hayo jamani kwa watoto
 
Nakumbuka nilivoanza darasa la kwanza mama alinipa mia nikala visheti karibia wiki nzima, wiki ya pili ilivoanza asubuhi na mapema nikaenda kugonga chumbani kwa mama, mama akatoka akasema ''leo sina hela'', nikaanza kama kuzingua flani hiv, dingi alivosikia vile akatoka nilipigwa konzi moja heavy sikurudia kuombaomba hela ya kula shule... maza alikuwa ananipa...lakini dingi alikuwa anakaza sana...ndo mana maza nikimtumia laki dingi namtumia twenty, malipo ni hapahapa duniani...😀😀😀😀
Suala la kumpa mtoto hela ndio nimeshindwa.... Mimi ataenda shule na lunchbox not money in hand
 
Sure, kama uwezo unaruhusu mpe tu.. Akiwa exposed na hali hiyo hawezi babaikia vya kupewa.. Sema lazima kuwa na mipaka.. Wakati mwingine lazima umjengee kitu kwamba tu have this you must do something to be rewarded.. Mi nawapa tu sema lazima kuna kuwa na condition ili ajue not everything come easily.. Pia kuna wakati akitaka kitu nitampa lakini baada ya muda fulani hata kama ninaweza kumpa instantly....
Yeaaaah hapo ndo guud sasa.
 
Samaki mkunje angali mbichi....,mchelea mwana kulia hulia mwenyewe...,asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu....nimejiandikia tu hata sijui nilimaanisha nn ila mtt apewe kinachopatikana tena chenye kulazimu hivi vya ziada vitokee tu kwa mzazi anapohitaji kumfanyia au kama reward ila sio kila atakapohitaji....uvumilivu,kujitegemea n.k havifundishwi jeshini ni misingi komavu kuanzia ngazi ya familia
 
Samaki mkunje angali mbichi....,mchelea mwana kulia hulia mwenyewe...,asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu....nimejiandikia tu hata sijui nilimaanisha nn ila mtt apewe kinachopatikana tena chenye kulazimu hivi vya ziada vitokee tu kwa mzazi anapohitaji kumfanyia au kama reward ila sio kila atakapohitaji....uvumilivu,kujitegemea n.k havifundishwi jeshini ni misingi komavu kuanzia ngazi ya familia
Umeandika maneno mengi sana ila point kuu ni ndogo
 
Sijasema nampa chipsi kila siku......nimesema akitaka. Kuna siku unaweza pika chipsi akataka ugali.

Mi nitampa kila atakacho ninachoweza ukubwani tutapambana tu...na nikiweza nampa vilevile.

Kwanini nimnyime rahaaa

Mbona sisi tukijisikia tunataka kitu fulani tunajipa.....mtu anakunywa bia kila siku ila mtoto akiomba kunywa soda mara moja moja tunasema tunamuharibu....... oooops

Umaskini tu unatusumbua
Nimegundua unasapoti kumnunulia mtoto chochote anachotaka kwasababu hutaki uonekane maskini. Kweli kuna mtu anashindwa kununua viazi vya buku kumkaangia mtoto wake chips ale? Wewe kwako kutengeneza chips za mtoto ni jambo la kitajiri?

Nimegundua unajaribu kuficha umaskini wako kwa mtoto kwa kumpa kila akitakacho. Ila kumbuka anazidi kukua, itafikia kipindi atagundua tu wewe ni maskini na vile vyote ulivyokua unampa bila kupinga ilikua ni kujitutumua kwako tu, debe tupu.
 
Mtoto apewe mahitahitaji ya lazima si kila analohitaji, km halina ulazima na halitaathiri maendeleo yake siwezi kumpa,

Mfano, eti nikisonga ugali dagaa nyumbani kwangu km chakula cha familia nzima halafu mtoto aseme yeye anataka wali,
Hicho kitu asahau, may be km kuna sababu za kiafya zilizothibitishwa na dr kua mtoto huyo hawezi kula ugali dagaa,

Niishie hapo kwa leo,
[emoji817][emoji817][emoji817]
 
Back
Top Bottom