Mzazi mwenzangu anadai atabadili cheti cha mtoto cha kuzaliwa atoe jina langu kwa kuwa ananichukia

Mzazi mwenzangu anadai atabadili cheti cha mtoto cha kuzaliwa atoe jina langu kwa kuwa ananichukia

Kwani unahitaji ushahidi gani kwamba huyo mwanamke alikuwa tapeli tu probably hata mtoto sio wako
Za kuambiwa changanya na zako na tunapowakataza kuoa muwe mnaelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna uwezekano huyo mwanamke anakusanya mahitaji kwa kisingizio cha "ni mtoto wako" kwa mwanaume zaidi ya mmoja.
 
Habarini za usiku wapendwa

Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza nahitaji msaada wa Mawazo chanya iko hivi kuna mwanamke nilipata naye mtoto lakini kwa bahati mbaya sana tukaja kutengana na sasa kila mtu anaishi kivyake yeye yupo na mtoto.

Kuna wakati mzazi mwenzangu anapata hasira za kuachana anaanza kusema atatengeneza cheti kingine cha kuzaliwa cha mtoto ambacho hataweka jina langu kwa sababu ananichukia sasa.

Wakuu naomba kuuliza hivi hii kitu inawezekana akabadilisha na mtoto akaanza shule na jina jingine huko alipo kwasababu amejificha nae kusiko julikana lakini mwanzo nimeishi na mtoto kama mwaka na miezi 9 na hadi cheti cha mwanzo ndio kilitumika kutengeneza kadi yake ya bima kwa mwajiri wangu.

Sasa hapa naomba kwa wanaojua wanijuze nimfanye nini kabla hajabadilisha au akibadilisha itakuaje hivi kwa kile cheti cha mwanzo.

NB: Hivi visa vipo mitaani kwetu naomba wadau toeni maoni watu wajifunze.
  • Je wewe ni kabila gani?
  • Umefanyiwa mila?
 
Kuna wakati mzazi mwenzangu anapata hasira za kuachana anaanza kusema atatengeneza cheti kingine cha kuzaliwa cha mtoto ambacho hataweka jina langu kwa sababu ananichukia sasa.
Wewe umesema mlitengana lakini unamlaumu ana hasira za kuachana

Dogo acha kutupiga
images (8).jpeg
 
Habarini za usiku wapendwa

Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza nahitaji msaada wa Mawazo chanya iko hivi kuna mwanamke nilipata naye mtoto lakini kwa bahati mbaya sana tukaja kutengana na sasa kila mtu anaishi kivyake yeye yupo na mtoto.

Kuna wakati mzazi mwenzangu anapata hasira za kuachana anaanza kusema atatengeneza cheti kingine cha kuzaliwa cha mtoto ambacho hataweka jina langu kwa sababu ananichukia sasa.

Wakuu naomba kuuliza hivi hii kitu inawezekana akabadilisha na mtoto akaanza shule na jina jingine huko alipo kwasababu amejificha nae kusiko julikana lakini mwanzo nimeishi na mtoto kama mwaka na miezi 9 na hadi cheti cha mwanzo ndio kilitumika kutengeneza kadi yake ya bima kwa mwajiri wangu.

Sasa hapa naomba kwa wanaojua wanijuze nimfanye nini kabla hajabadilisha au akibadilisha itakuaje hivi kwa kile cheti cha mwanzo.

NB: Hivi visa vipo mitaani kwetu naomba wadau toeni maoni watu wajifunze.
Wala sio issue mbona, huna uwezo wa kuzaa tena?? Yaani kuna vitu vingine mwanamke anaweza kukwambia jambo hadi ukacheka kwa dharau. That is not an isuue so far, endelea na mishe zako, just tell her that, you are a man enough to get more children, na hata huyo bado atabaki ni wako, atakutafta dunia ikigeuka
 
Wala sio issue mbona, huna uwezo wa kuzaa tena?? Yaani kuna vitu vingine mwanamke anaweza kukwambia jambo hadi ukacheka kwa dharau. That is not an isuue so far, endelea na mishe zako, just tell her that, you are a man enough to get more children, na hata huyo bado atabaki ni wako, atakutafta dunia ikigeuka
Ushauri mzuri sana na ndio kitu muhimu sana
 
Piga kimya, achana naye. Kuna uwezekano dogo sio wako.
Hapana mkuu dogo ni wangu nishapiga sana kimya ila mwanamke ananifuata na sio kwa sijaishi nae hapana nimeishi nae sana tu sema mwanamke ni kiburi lakini kwa mtoto ni wa kwangu
 
Kuna uwezekano huyo mwanamke anakusanya mahitaji kwa kisingizio cha "ni mtoto wako" kwa mwanaume zaidi ya mmoja.
Hilo pia linawezekana na ndio maana nimemuachia vyote bila shida lakini haishi kunitishia jambo moja baada ya jingine mimi napiga kimya tu
 
Unamuhudumia mtoto? Kama ndio kamshtaki ustawi, tafuta polisi, huko alipo atapatikana atapewa utaratibu maalum wa malezi ya mtoto wenu.
Ushauri mzuri lakini ni mwanamke jeuri kwaio nimemuachia vyote adi atakapo jifunza atarudisha mtoto asipo jifunza basi itakuwa ni zawadi yake io aende salama
 
Naona umewapa back up watu wa kampeni ya kataa ndoa, ishi maisha yako kuwa tayari kwa lolote hasa lisilo kudhuru na kukuondolea utu wako
 
Ushauri mzuri lakini ni mwanamke jeuri kwaio nimemuachia vyote adi atakapo jifunza atarudisha mtoto asipo jifunza basi itakuwa ni zawadi yake io aende salama
Huwezi mwacha damu yako hovyo mtaani kwa kumkomoa mwanamke. Toto lako likiwa shoga au malaya kwa kukosa malezi sahihi hata kama humuoni ila duniani unakuwa ulikuja kutuongezea matatizo tu sababu ya uzao wako.
 
Back
Top Bottom