EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Naona unatumia nguvu nyingi sana kuwa nyuma ya huyo dada, hakuna lugha ya kejeli hapo ni wazi kabisa kaachwa na nyumba kama maelezo ya mtoa mada yanavyoeleza, kama asingekuwa na nyumba angesema hapa kwamba ananiambia niuze nyumba ambayo hata si yake au hatukuwa na nyumbaInawezekana ikawa ni lugha ya kejeli kwa jambo usiloendezwa nalo......kwa mfano mtu anapokuambia uuze simu ununue vocha.....
Naomba msaada wa namna bora au mwanasheria atakayenisaidia kumpeleka mahakaman baba mtoto wangu ili angalau awe analipa ada tu.
Mtoto ana miaka 9 yuko darasa la nne siku zote nimekua nikimlipia ada na matumizi yote lakini safari hii hali imekua ngumu nimeshindwa na nimemuambia kiungwana tu kakataa kasema hana hela niuze nyumba nimlipie ada mtoto.
Alikua ni mtoto wa kwenye ndoa ila tuliachana kabla mtoto hajaanza shule.
Angalau tangu nimeanza kusoma Uzi, nimefanikiwa kuona Uzi wa mwanaume/baba/mzazi aliyefikiria Kwa busara.Siku hizi humu jukwaani kumejaa watoto wadogo sana wanaotumia sehemu ndogo sana ya akili zao kujibu au kutatua mambo......utalifahamu hilo kupitia majibu yao.....
Kuachana na mwenza ni vitu vya kawaida kutokana na changamoto kadhaa ambazo pengine zimeshindwa kutatulika na wawili hao wakamua kwa amani na usalama kila mmoja aishi maisha yake......
Lakini kutengana na mwenza hakuondoi uwajibikaji wako kama mzazi juu ya mtoto au watoto wenu.....kwa maana ya kuhakikisha watoto au mtoto anapata huduma sitahiki kulingana na uwezo au kipato Cha mzazi wake.......
Vijana wengi wakichana na mwenza wanatoa sababu zisizo na kichwa wala miguu ili kuepuka uwajibikaji kama baba wa mtoto......na ndio maana mamlaka au taasisi zinazosimamia Hilo kwa manufaa na maslahi ya mtoto na sio mama.......
Unapoachana na mkeo jukumu la kumuhdumia mwanamke ndio linakoma hapo na linabakia la watoto au mtoto wako........
Ewe Binti kama una hakika uwezo wa kuhudumia kwa maana ya kipato anao basi fuata taratibu ili alazimishwe kufanya hizo na mamlaka kama ameshindwa kuwajibika kwa khiyari yake........
Guys hivi mnajenga taswira gani kwa watoto wenu hapo mbeleni angali anashuhudia mnavyokimbizana mahakamani au kwenye korido za ustawi wa jamii na mama yake ili kukulazimisha wewe kumhudumia......hivi unadhani mtoto atakuthamini kama baba.....??
Vijana msitumie mzigo wa malezi ya mtoto kama njia za kuwaadhibu wanawake mlioachana nao.....wajibika kama baba ili kuendelea kujenga uhusiano mzuri na watoto wenu.......maneno mabaya atakayolishwa na mama yake kwa hasira na visirani vinazimwa na matendo mema kwake..,....
Hakuna sheria ya hivyo...Doh
Kashakuwa mwenzangu.
Enewei mtumie matunzo na ada ya mtoto chap kwa haraka kabla haujaenda kunaniliu debe
Rukaruka kaba bisi kikaangoni.Hakuna sheria ya hivyo...
Shule za bure zipo
Na mimi nilikua ni mmojawapo kuwa niliamua kupambana tu nilee mwenyewe ila sasa hali imekua ngumu sana naona nitashindwa ndiyo nikaamua nimshirikishe lakini mwenzangu naona hataki anataka kunikomoa tu kwahiyo naona nimpeleke mahakaman ili awe analipia huko na matumizi kabisaLoh pole sana
Usikwazike na majibu ya wanazengo wa humu
Kama upo Dar nenda pale Chang'ombe Mahakama kituo Junuishi ya Ndoa na mirathi. Kuna ofisi za WILDAF wanatoa ushauri mzuri kisheria kuhusu masuala aina hii.
Sheria inamtaka baba kugharimia matunzo ya mtoto hata kama mmeachana kisheria. Tatizo ninaloliona ni wamama wengi wamekuwa na moyo wa KUMUACHIA MUNGJ pale wanapokosa matunzo ya watoto.
Asante sana! Umenipa faraja?Itoshe kusema tu pole Dada!!Ngoja waje wataalamu wa sheria
Kusoma private sio kuwa ndio atakuwa na uwezo mkubwa darsani watu wanajifariji. Going out and buying expensive cigarettes doesn't make you richKwa nini mnafosi watoto wasome private schools kuanzia primary?
Kama hana pesa unadhani mahakama itamfunga?
Na btw kesi za namna hiyo haziendi mahakamani zinaenda ustawi wa jamii ambako sana sana mtashauriwa mumpeleke shule ambayo inaendana na kipato chenu..
Naomba msaada wa namna bora au mwanasheria atakayenisaidia kumpeleka mahakaman baba mtoto wangu ili angalau awe analipa ada tu.
Mtoto ana miaka 9 yuko darasa la nne siku zote nimekua nikimlipia ada na matumizi yote lakini safari hii hali imekua ngumu nimeshindwa na nimemuambia kiungwana tu kakataa kasema hana hela niuze nyumba nimlipie ada mtoto.
Alikua ni mtoto wa kwenye ndoa ila tuliachana kabla mtoto hajaanza shule.
Yaani mke wangu akatae kuishi na mwanangu. Sasa anachohitaji sio mie ama Ni Nani. Mana huyo mtt Ni mie pia Ina Mana akimkataa namie Ina Mana amenikataa hapo kesi hakunaKama hicho ndiyo kipimo chakp cha aii mimi akili ninayo binafis na siku zote nimekua nikimwambia mchukue mtoto ukae naye yeye hatak anasema mke wake hatak
Mimi najibu hoja zisizo na matusi, zenye ushauri unaoendana na kile nilichouliza, kupoteza nguvu kubishana nimeshindwaHuyu mwanamke si useme tu kuwa ni wewe mbona ndiye unayejibu hoja zote humu na Sheila kapotea??? [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Nyumba hajaniachia nimehangaika mwenyewe baada ya kuachikaSi kakuaachia nyumba,Hela ya ada mwenzio kahamishia kwenye kodi.Cha msingi we dogo mpeleke Kayumba tu.Kama nyumba inawapangaji chukua kodi mtoto apate chakula.Hakuna kesi hapo.
Nitafurahi kama akimchukua nimekua nikijaribu hilo pia anakataa anasema mke wake ana mtoto haweza kwanini sitoboi?Hiyo kesi hutoboi ,ukitaka uwini mpe mtoto wake amlee mwenyewe
Nyumba yangu niliyoitafuta baada ya kuachana naye,Alipomwambia auze nyumba alipe ada ilikuwa nyumba ya kupanga au?[emoji846][emoji846]
Kwanini Mtoto atenganishwe na Mama ake??Kwa nini asimpeleke Mtoto Kwa Baba yake?
Baba kamwe wala hatamuomba hata senti yake yoyote.
Kama Hana uwezo asilazimishe, shida ya wanawake wengi hutumia watoto kama kitega uchumi kwao.
Jambo ambalo wanaume wote Duniani hawawezi kuvumilia kitu Kama hicho.
NaamNa mimi nilikua ni mmojawapo kuwa niliamua kupambana tu nilee mwenyewe ila sasa hali imekua ngumu sana naona nitashindwa ndiyo nikaamua nimshirikishe lakini mwenzangu naona hataki anataka kunikomoa tu kwahiyo naona nimpeleke mahakaman ili awe analipia huko na matumizi kabisa
Kwanini Mtoto atenganishwe na Mama ake??
Suala la kulea ni lenu nyote haijalishi mmeachana ama bado mpo pamoja