Mzazi mwenzangu hahudumii mtoto; nataka nimpeleke mahakamani

Inawezekana ikawa ni lugha ya kejeli kwa jambo usiloendezwa nalo......kwa mfano mtu anapokuambia uuze simu ununue vocha.....
Naona unatumia nguvu nyingi sana kuwa nyuma ya huyo dada, hakuna lugha ya kejeli hapo ni wazi kabisa kaachwa na nyumba kama maelezo ya mtoa mada yanavyoeleza, kama asingekuwa na nyumba angesema hapa kwamba ananiambia niuze nyumba ambayo hata si yake au hatukuwa na nyumba
 
Wewe ni masikini wa kila kitu

Huwezi sikia mwanamke wa kichaga anafanya huo upumbavu wamezaliwa kupambana

Wewe Hadi mtoto wako huwezi mlea .je baba wa mtoto asingekuepo sa hio kafa?

We sijui kabila gani ila my self siwezi zaa na mtu ambae yeye Kama Yeye hawezi Lea mtoto bila Mimi..wewe ni mvivu inshort

Sisi wazazi wetu wamefanya kazi za kawaida sana hajawahi yumbishwa na baba wa mtoto kampeleka mwanae shule za gharama Hadi baba mtu anashangaa kwamba ipo siku atakwama ila wapi...chuo bila mkopo umetoboa Sasa wewe katoto hako kanakushinda😁 siku hizi hamna wanawake Kuna wadada wa kazi
 
Wanawakee mnakuwaga na maneno sana mkiachana , sasa hv mnatafuta huruma za watu.
Mimi nilitengana na mzazi mwenzangu mwaka 2019,aliniambia waz waz kuwa hana mpango na mimi na wala hataki mia yangu kwani mtoto atahudumiwa na babake mpya.Tenaakataka kubadili mpaka majina ya mtoto ili ampe huyo msengerema mwenzake.
Sasa hivi analalama sana kwa marafiki na jamaa zangu kuwa sihudumii mtoto.
 
Angalau tangu nimeanza kusoma Uzi, nimefanikiwa kuona Uzi wa mwanaume/baba/mzazi aliyefikiria Kwa busara.

Watoto wanapitia mateso mengi kisa kukomoana Kwa wazazi.
 
Na mimi nilikua ni mmojawapo kuwa niliamua kupambana tu nilee mwenyewe ila sasa hali imekua ngumu sana naona nitashindwa ndiyo nikaamua nimshirikishe lakini mwenzangu naona hataki anataka kunikomoa tu kwahiyo naona nimpeleke mahakaman ili awe analipia huko na matumizi kabisa
 
Hahahaha mtoa mada hebu elezea kisa chenyewe si unaona watu wanataja kutoana damu!
 
Kusoma private sio kuwa ndio atakuwa na uwezo mkubwa darsani watu wanajifariji. Going out and buying expensive cigarettes doesn't make you rich
 

Ushasema Mzazi mwenzako, Malizana nae nasi tumalizane na wenzetu Wakati wa Conjugal neno Mahakama halikutajwa kabisa iweje leo ebo!
 
Kama hicho ndiyo kipimo chakp cha aii mimi akili ninayo binafis na siku zote nimekua nikimwambia mchukue mtoto ukae naye yeye hatak anasema mke wake hatak
Yaani mke wangu akatae kuishi na mwanangu. Sasa anachohitaji sio mie ama Ni Nani. Mana huyo mtt Ni mie pia Ina Mana akimkataa namie Ina Mana amenikataa hapo kesi hakuna
 
Huyu mwanamke si useme tu kuwa ni wewe mbona ndiye unayejibu hoja zote humu na Sheila kapotea??? [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Mimi najibu hoja zisizo na matusi, zenye ushauri unaoendana na kile nilichouliza, kupoteza nguvu kubishana nimeshindwa
 
Si kakuaachia nyumba,Hela ya ada mwenzio kahamishia kwenye kodi.Cha msingi we dogo mpeleke Kayumba tu.Kama nyumba inawapangaji chukua kodi mtoto apate chakula.Hakuna kesi hapo.
Nyumba hajaniachia nimehangaika mwenyewe baada ya kuachika
 
Kwanini Mtoto atenganishwe na Mama ake??
Suala la kulea ni lenu nyote haijalishi mmeachana ama bado mpo pamoja
 
Naam
Upo sahihi.

Tatizo wavulana wa humu wanadhani hao watoto mliwapata kwa mikataba. Hawajui maana ya malezi ndo maana wanatoa majibu hanayoashiria kuwa hawakulelewa.

Kama hataki kutoa matunzo ya mtoto sheria zipo na zinamuelekeza atunze mtoto. Siyo jukumu la mama bali baba
 
Kwanini Mtoto atenganishwe na Mama ake??
Suala la kulea ni lenu nyote haijalishi mmeachana ama bado mpo pamoja

Kwani Kwa nini atenganishwe na Baba yake?

Kama swala ni Kulea wote basi mwenye uwezo wa kutoa matunzo ndiye asikilizwe wapi mtoto akasome, achague shule.

Tatizo la wanawake wengi wakiachwa wanadhani wananafasi Ileile waliyokuwa nayo Kwa mwanaume Fulani.
Akiona watoto wa mke mpya wanapelekwa International school Naye anataka wakwake naye apelekwe ilhali hajui kuwa wenzake wamepanga na sio ajabu mke mpya ndiye anayegharamia sehemu ya Ada Kwa watoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…