Mzazi mwenzangu hahudumii mtoto; nataka nimpeleke mahakamani

Pole kwa kuelewa tofauti hajaniachia nyumba nimejenga mwenyewe
 
Wanataka waishi kwenye miti kama ndege

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Pole kwa kuelewa tofauti hajaniachia nyumba nimejenga mwenyewe
Kwenye keyboard una kauli ya upole na upendo...ungeitumia hii kwa mumeo sidhani kama angekimbia aache mwanae.
Ila endelea kupambania kile unachoamini ni haki yako.

Huwa mnanishangazaga sana nyie akina mama....mtoto akiwa mdogo kama hivi ni wa baba na anatakiwa awajibike, ila akishakua na kujiweza anakuwa wa kwako na unaanza kumweleza mabaya yote ya baba bila kuweka zuri hata moja.
Wanawake Mungu anawaona.
 

Poleni sana watoto wanaona siyo wajinga

Baba simamia wajibu wako mtoto hata alishwe kitu gani akija kukua anatengenisha pumba na mchele anajua kilicho sahihi.

Hakuna mtoto atapokea negativity Kwa baba aliyemsimamia kikamilifu.
 
Hiyo nyumba ni ya kwakoo?
 
ndio walivyo hao viumbe, Wana jeuri Sana mdomoni
 
We mgumu kuelewa, mtoto ana miaka Tisa, jamaa atamchukua akaenae Kama wewe umeshindwa kumlea Hali ngumu, kwa umri huo anaruhusiwa kukaa na baba yake kwanza
 
Nitafurahi kama akimchukua nimekua nikijaribu hilo pia anakataa anasema mke wake ana mtoto haweza kwanini sitoboi?
Hawezi kumlipia hiyo Ada wakati elimu serikali inatoa bure, na hela ya matumizi atahamriwa na mahakama akupe elfu thelasini kwa mwezi
 
najaribu kuimagine ungepata sponsor mzuri halafu baba mtoto awe anamhitaji mtoto wake.... nahisi angekula matusi sio ya dunia hii, wanawake mna matatizo sana.
Sawasawa mkuu hapo kilichopo ni hicho sponsor kakimbia au kafulia ndo kakumbuka kuna baba wa mtoto.
 
Na Hii ndo Atakachokutana nacho huko anakoshauriwa aende
 
Hatujaachana na talaka, alikataa kinipa talaka japo yeye ndiye aliyeniacha, sasahiv mara nyingi anapiga simu turudiane na kuwapigia hadi wazazi wangu lakini mimi naona inatosha ndiyo maana nadai tu anisaidie mtoto kutunza
Mtoto wake bado hajaanza shule huko aliko na hata yeye pia amejenga
Asante sana kwa ushauri nimeuzingatia
 
Nimeshamwambia mara nyingi sana aje amchukue aishi naye ila hatak,kwahiyo akienda kusema hivyo mahakanan sitakua na pingamizi,
 
Hawezi kumlipia hiyo Ada wakati elimu serikali inatoa bure, na hela ya matumizi atahamriwa na mahakama akupe elfu thelasini kwa mwezi
Angalau atakua amesaidia! Kama wewe ni hakimu au unajua sheria asante kwa huu ufafanuz
 
Umekurupuka,tulia usome uelewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…