MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Evil motivesKuna ushauri nimepata humu wa kukusanya ushahidi wa mali za baba mtoto wangu na huo ndiyo niupeleke mahakaman ili alipe kulingana na uwezo wake ,sina lengo nitajirike kupitia child support lakini nataka kama mzazi nimekwama na yeye asaidie wakati mwingine kuwa postive ni vizuri
Kuna kitu gani cha kuelewa hapa..pambana na hali yako.Umekurupuka,tulia usome uelewe
Nimeshamwambia mara nyingi sana aje amchukue aishi naye ila hatak,kwahiyo akienda kusema hivyo mahakanan sitakua na pingamizi,
hatuna uhakika km anakwepa au la maana kama walikubaliana toto wa akasome hio shule why akatae kulipa? haimake sense, huyu dada inanekana aliamua kukomaa wnyw sema mambo hayajakaa vzuri now so antk jamaa alipe whch is not bad lkn km hawakukubaliana tangu mwanzo hio ni changamto maana huwez from nowhere ukamtaka mtu aanze kulipa 2mil kwa ratiba ambayo hakuianzsha pengine angeshirikishwa angekuwa na mawazo mengine, mawasiliano muhimu kwa wenza wenye watotoHapana Ndugu.....si vyema kumhukumu mtu au kuhukumu kwa habari hii fupi ya huyu bibie....hatujui ni jambo gani lilipelekea kuvunjika kwa ndoa hiyo.......
Tusimame kwenye hoja ya msingi ambayo ni baba anakwepa uwajibikaji kwa mtoto wake......sifahamu uwezo au kipato Cha huyo mwanaume lakini kwa hali yoyote aliyonayo anapaswa kuwajibika kama baba........
Kwanini mkiachana mnakuwa maadui.... kwanini mnajenga uadui ambao muda mwingine unamuangamiza mtoto.....???
Hata kama huna kipato KIZURI kwanini msikae mkaelewana na mzazi namna nzuri ya kumlea kijana wenu.....
Duuh Hadi mtotot anataka kubadilishwa majina?Wanawakee mnakuwaga na maneno sana mkiachana , sasa hv mnatafuta huruma za watu.
Mimi nilitengana na mzazi mwenzangu mwaka 2019,aliniambia waz waz kuwa hana mpango na mimi na wala hataki mia yangu kwani mtoto atahudumiwa na babake mpya.Tenaakataka kubadili mpaka majina ya mtoto ili ampe huyo msengerema mwenzake.
Sasa hivi analalama sana kwa marafiki na jamaa zangu kuwa sihudumii mtoto.
Msikilize basi amesema alimpata mtoto akiwa kwenye ndoaWakati unatanua miguu mimba inaingia ulitushirikisha?
Dada Anita, Sheria haijali hakimu amaishije bali Sheria inasemaje. Suala la kusema Elimu bora ipo private school ni dharau kwa serikali.Swali si ni kama Shule za serikali ziko vizuri kushinda private, nimekwambia hakimu hawezi kumuuliza swali kama hilo wakati mwanae na yeye yuko private school, sana sana hakimu atapambana kwa kuona mtoto ndio mhanga na ana deserve kupata elimu bora hivyo atamsupport huyu mama.....mkuu acha kunibana ...[emoji38]
Hadi umenitoa machozi! Asante kwa ushauriAchana naye huyo mpuuzi.
Lea mtoto wako mwenyewe, Mungu atakubariki.
Achana naye, nasisitiza achana naye.
Wala usiumie. Usimhangaishe.
Mimi nimelelewa na Upande wa Mama. Najivunia hivi nilivyo, na namshukuru Mungu Kwa mpango wake alioufanya nikalelewe hivi.
Nasisitiza, usimsumbue, muache Kama hataki kumlea Mwanaye. Mlee Kwa uwezo wako tuu, mtoto atafanya vizuri tuu.
Mpeleke shule za kawaida Ila hakikisha unamfuatilia Kwa umakini na kuikuza akili na Uelewa wake kuhusu Dunia.
Mimi Taikon nimeishi hivyo na nimelelewa hivyo. Mpaka nimemaliza Chuo kikuu na sasa najitegemea Kwa kila kitu.
Usigombane na mtu kisa mtoto wako uliyemzaa Kama hataki au anazembea kumtunza. Hiyo ni baraka. Alafu Mungu anataka akufundishe Jambo.
Unachopaswa kufanya, ni kuangalia Kwa umakini Mungu anataka kufanya nini kwenye maisha ya mtoto wako huyo.
Nimeandika mpaka yasiyohusu. Ila ni Kwa sababu naelewa Hali unayopitia na anayopitia mtoto. Lakini hiyo isikufanye kushindwa au kugombana na huyo Baba yake.
Mkaushie.
Matunda yake atayaona after 20yrs to come.
Sahihi kabisaKwa nini mnafosi watoto wasome private schools kuanzia primary?
Kama hana pesa unadhani mahakama itamfunga?
Na btw kesi za namna hiyo haziendi mahakamani zinaenda ustawi wa jamii ambako sana sana mtashauriwa mumpeleke shule ambayo inaendana na kipato chenu..
Hadi umenitoa machozi! Asante kwa ushauri
Hata hivyo sina mpango tena wa kuzaa wacha nipambane na haya majukumu ya kuhakikisha mtoto anakua salamaPole Sana.
Ukimpata mwanaume mwingine hakikisha ni sahihi ili usijiongezee mzigo
Huyo uliyeenda kuishi naye au aliyekuachanisha na hiyo ndoa yako kwa nini asihudumia kulipa ada ya huyo mtotoNaomba msaada wa namna bora au mwanasheria atakayenisaidia kumpeleka mahakaman baba mtoto wangu ili angalau awe analipa ada tu.
Mtoto ana miaka 9 yuko darasa la nne siku zote nimekua nikimlipia ada na matumizi yote lakini safari hii hali imekua ngumu nimeshindwa na nimemuambia kiungwana tu kakataa kasema hana hela niuze nyumba nimlipie ada mtoto.
Alikua ni mtoto wa kwenye ndoa ila tuliachana kabla mtoto hajaanza shule.
hata Mimi hivyo hivyo. huyu wa kwangu ikifika hatua ananiambia eti mtoto chakula Hana, kiwi Hana, mswaki umechakaa, nilimuoma shetani kweli kweliShida ya ndoa nyingi Zina matatizo hayo mkishaachana tu matokeo ni kwa mtoto ndio atakaepata shida na tuwe makini Sana na hili jambo na Hawa mama zetu Wana tabia ya kumpa maneno mtoto ya kumjenga amchukie baba.
Na sisi hili huwa tunalijua na ndio maana tunaanza kuwapotezea wote na dada yangu inawezekana baba wa mtoto ameligundua hili na akaamua kufanya hivyo hata Mimi nimeachana na mweza wangu baada ya kugundua hayo nikaamua hayo kaani na watoto wenu hata kama mmeachana
Hata hivyo sina mpango tena wa kuzaa wacha nipambane na haya majukumu ya kuhakikisha mtoto anakua salama
ukute wakati mnatengana ulimporomoshea matusi/maneno mazito na kumsengenya kwa ndugu, jamaa na marafiki zakooo. Ukaishia kumwambia ... "huna lolotee mwanaume suruali kwanza una kibamiaaa...." kumbe kuna kijamaa kilikuwa kinakupa kiburi akijifanya anaweza kukusaidia kifedhaa. na jamaa nae vyuma vimekaza ndo waanza mtafuta mzazi mwenza kwa kasi ya 4 G
anyway fuata taratibu utapata stahiki yakoo
acha hizo banaaa sio wa hovyoo, changamoto inakuja pale mwanaume anapotumia nguvu na akili nyingi kusuluhisha ama kutatua tatizo la upande wa pili.Yani hovyo sana hawa viumbe