Tatizo lenu mnasoma mkiwa hamjui mnataka nini, mimi wakati nasoma, malengo yangu ilikuwa ni kupata hela, sikusoma ili elimu inipeleke popote zaidi ya kutaka inipe muongozo wa kupata hela. Na ndio maana afterwards, nilifanya kazi kila sehemu so long as nilikuwa naona hapa patanipa hela. Sisi tumefungia vyeti vingi ndani, tukiwa ulaya ili tupige maokoto kwa sababu ndo tulichokuwa tunataka. Kazi za taaluma zetu zilikuwepo ila wages zipo chini, wanyama tukaingia street, the rest is history na badae tukarudi darasani kusoma ili tusionekane wajinga kwenye jamii na tu inspire our generations badae. Well, nachotaka kusema ni kwamba, kids of nowdays wajue ni nini wanataka kukipata out of hizo elimu zao wanazosoma.