Zote ni kazi isipokuwa inategema unafanya kwa namna gani, Hakimu Mahakama za Wilaya tunawalipa 1,700,000/-[milioni moja laki saba ]kwa mwezi na kwa siku 56,666.6/- [elfu hamsini na sita]
Muuza Maandazi pale Ferry-upande wa Kigamboni banda la tatu mkono wa kushoto anafunga 9,000,000/-[milioni tisa]kwa mwezi na Tshs 300,000/- [laki tatu] kwa siku.
Kwa Mwaka HAKIMU = 20,400,000/- [Milioni ishirini na laki nne]
Kwa Mwaka Muuza Maandazi Ferry = 108,000,000/- [milioni mia moja na nane]
Muuza maandazi wa Ferry halipi kodi wala hana TIN, TFDA , OSHA, NSSF, FIRE na manispaa wala hawaangaikinnaye maana ni mmchinga, ukishuka tu ferry banda la tatu lililojaa vitafunwa, .
Kila pantoni inaposhusha anauza si chini ya elfu 30 sasa ukitoa ghrama zote ndio inabaki laki tatu.
Wafanyakazi wanaingia kwa shifti.