Mzazi unasomesha mtoto aje kuuza chips na kuwa bodaboda. Inahuzunisha sana!

Endelea kuota una degree unachoma mishikaki utakua billionaire, una degree unachoma mahindi road utakua billionaire, ntakupiga kidole mda sio mrefu endelea hivyo hivyo
Nenda steers Dar uone wenye degree wanachoma chips kuku wanalipwa mshahara mkubwa sana

Kipapatio na tu chips kidogo tu mitaani elfu mbili mia Tano pale panasoma elfu 10 na matajiri,maafisa serikali nk wanagombea.Sehemu ya kuuza imekaa kibosu chips za mtaani sahani Hilo pale unapata robo tu na kipapatio Cha kuku elfu 10 imeondoka
 
Mimi mwenyewe naumia sana Mkuu yan mpka unahisi kuna watu sijui wanamuomba Mungu yupi sababu na ww unasali tena unafunga unaomnba miujiza hyo hyo lakn wanapata wengine wanaojiweza na walio vizuri kiuchumi[emoji17][emoji17]
Mungu hayupo mkuu.

Kumtegemea Mungu ni kupoteza muda.

Fanya kila uwezalo kufanikiwa sio kuweka False hopes kwa Mungu asiye kuwepo.
 
Endelea kuota una degree unachoma mishikaki utakua billionaire, una degree unachoma mahindi road utakua billionaire, ntakupiga kidole mda sio mrefu endelea hivyo hivyo
Kifupi huna exposure tuishie hapo kaa na ushamba wako
 
Dah
 
Nguvu hiyo isiyo onekana uta iitaje Mungu wakati hata haijawahi kuonekana?

Kwa nini una conclude nguvu hiyo ni Mungu?
 
Familia ,ndugu Ni wabinafsi na wachoyo

Hilo ndio kuu
 
HV wew ndio jaji kweli

HIV kwann usifiche ufukara wako
 
Kwa hapa umenibana ngoja nijipange tena..
 
Kipapatio na tu chips kidogo tu mitaani elfu mbili mia Tano pale panasoma elfu 10 na matajiri,maafisa serikali nk wanagombea.Sehemu ya kuuza imekaa kibosu chips za mtaani sahani Hilo pale unapata robo tu na kipapatio Cha kuku elfu 10 imeondoka
Umesomea Public Relation alafu unaishia kua kibarua muuza kitimoto roast na choma kwenye Bar fulani, eti utakua billionaire?
 
Kwani boda boda sio kazi?mnataka mkisoma muendeshe nagari makari
Yani unaona ni sawa kabisa mtu asome halafu aje kuendesha bodaboda?

Umuhimu wa elimu utakuwa ni upi kama wasomi wana ishia boda boda?

Sasa si bora elimu mwisho iwe form four kuliko serikali kupoteza gharama kubwa kuwapa mikopo wanafunzi wa chuo kikuu wasio na msaada wowote kwa Taifa.

Yani serikali inapoteza fedha kwenye elimu ya chuo kikuu halafu inasifu wasomi kuwa bodaboda na mama ntilie.
 
Sasa mkuu huo mtaji wa kufungua kijiwe cha chipsi utadondoka tu kutoka mawinguni? Unachokiongea kinaweza kufanya kazi kwa mtu aliepata ajira kwanza halafu ndio ajichange kuongeza chanzo cha mapato sio kwa jobless anaeamka asubuhi akiwa hana kitu na wala ajui ataenda wapi kupata riziki
 
Wee umeongea ukweli mtupu
 
Moja ya mistake sitaki kuifanya ni mwanangu azaliwe Afrika hasa Tanzania.

Hili kosa halijirudii kwa kizazi changu kijacho.

Robert Mugabe aliwahi kusema kwamba

"Once you are born in Africa life is automatically leading you 1-0"
Hehehehe daa umetisha aisee , Africa Kuna shida sana katika life cycle yetu hapo hata kama tutakataa lakini ndo ukweli
 
Umesomea Public Relation alafu unaishia kua kibarua muuza kitimoto roast na choma kwenye Bar fulani, eti utakua billionaire?
Shida Iko wapi? Kampuni uza kitimoto ikikua kubwa ndio utakuwa HR

Hata bila kampuni kukua mfano umefungua sehemu ya kitimoto wewe ndie bosi umeajiri watu wawili mmoja jikoni na mwingine mhudumu skill zako za HR si unatakiwa uzitumie? Au hukuelewa ulichosoma kazi za HR anatakiwa atumie wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…