Mzazi unasomesha mtoto aje kuuza chips na kuwa bodaboda. Inahuzunisha sana!

Mzazi unasomesha mtoto aje kuuza chips na kuwa bodaboda. Inahuzunisha sana!

Kutoamini uwepo wa Mungu ni kukata tamaa kwa kiwango cha mwisho Kiranga
Uwezekano wa mtu kukata tamaa wenyewe ni uthibitisho kwamba Mungu hayupo.

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote angekuwepo, hakuna kiumbe chake hata kimoja kingejua kukata tamaa ni nini.

Kwa hivyo, jitihada zako za kuwanyanyapaa watu wasioamini uwepo wa Mungu kuwa ni watu waliokata tamaa, kiukweli, ukizitazama kwa undani, zinazidi kuthibitisha Mungu hayupo.

Mungu angekuwapo, kukata tamaa hata kusingejulikana, kwa kiumbe chochote.

Tunaishi kwenye ulimwengu ambao kukata tamaa kunawezekana, kwa sababu Mungu hayupo.
 
Shida Iko wapi? Kampuni uza kitimoto ikikua kubwa ndio utakuwa HR

Hata bila kampuni kukua mfano umefungua sehemu ya kitimoto wewe ndie bosi umeajiri watu wawili mmoja jikoni na mwingine mhudumu skill zako za HR si unatakiwa uzitumie? Au hukuelewa ulichosoma kazi za HR anatakiwa atumie wapi?
Sio easy km unavyoongea wewe hivi nyinyi mnachukulia Mambo ni rahisi rahisi? Yohimbe bark njoo uwaelezee hawa wanaochukulia Mambo easy come easy go watu wanakula msoto na Pesa wamewekeza sio kwamba hilo unalolisema hawalifanyi lakini sio rahisi hivyo km unavyochukulia wewe
 
Inahuzunisha sana kuona kazi wafanyazo watoto waliosomeshwa kwa gharama wakiwa bodaboda na wachoma chips.

Mzazi kugharamia masomo ya mwanao ili aje kuwa mpambaniaji wa kazi hizo na za namna hiyo au kutokuja kuwa na future yoyote mtaani inaleta huzuni kwa mtoto mwenyewe hata kwa mzazi pia.

Wanasiasa hawafanyi ujinga huu kamwe wao na kizazi chao wanaandaliana future bora watoto wao. Hakuna mwanasiasa hata mmoja ataruhusu mwanae awe boda boda au mchoma chipsi wala kutanga tanga mtaani hovyo bila future yoyote ile.

Mzazi jukumu lako lisiishie kuzaa na kupeleka mtoto shule pekee bali muandalie na future bora mtoto wako.

[IMG alt="lukesam"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/275/275627.jpg?1500562796[/IMG]

lukesam

JF-Expert Member​

  • "Hatuwezi kuwa matajiri wote kama Bakhresa lakini ni vizuri sisi watu weusi tukajifunza kwao na jamii nyingine kama za wahindi.
Inawezekana wazee wetu walishakosea huko nyuma ila sasa ni muda wa kujisahihisha na kuwa bora kuliko wao.

Wazazi wa kiafrika wana tabia za kichoyo na kibinafsi, hata akiwa na duka lake hataki mtoto wake auze au ajue jinsi ya kuendesha biashara, anaogopa kuibiwa hata kijana wake hamuamini.

Watoto wetu wanahangaika sana kutafuta ajira kwasababu walienda shule kusomea taaluma za ndoto zao bila kujua baada ya kumaliza wataenda kufanyia kazi wapi. Tofauti na sisi, hawa wenye asili ya kihindi na matajiri wengine, watoto wao wanaenda shule kusomea taaluma ambazo wanajua wakitoka hapo wataenda kupata ajira kwenye miradi ya familia.

Tuweke nguvu katika kuanzisha miradi ya kifamilia, familia za kitanzania tuache ubinafsi. Ndio maana hata ukimshauri mtu aandike wosia au agawe mali zake akiwa hai anakushangaa, mzee kabisa anataka afe akiwa anamiliki mali zake zote.

Suluhisho la kusomea uhasibu au uchumi na kuishia kuwa muuza chipsi au bodaboda ni kuanzisha miradi ya kifamilia. Binafsi naona hii itapunguza sana tatizo la ajira na hali ya umaskini katika familia zetu.

Inaumiza sana kupoteza miaka mingi shuleni na kuishia kufanya kazi ambazo hata hazihitaji elimu".
Mkuu umeongea jambo la msingi na kwa uchungu sana. Lakini kaa ukielewa kwamba hakuna mwanasiasa hata mmoja (including Rais, makamu wa Rais na Waziri mkuu) ambaye yupo madarakani kwa ajili ya kutetea maslahi ya wananchi/wapigakura. Wanasiasa wote wanatetea maslahi ya matumbo yao na familia zao. Jipambanie mwenyewe kwa mbinu zako binafsi mkuu. Usimtegemee mwanasiasa kamwe.
 
Hehehehe daa umetisha aisee , Africa Kuna shida sana katika life cycle yetu hapo hata kama tutakataa lakini ndo ukweli
Mkuu, nguvu anayotumia mwafrika kufanikiwa ni kubwa mno kulinganisha na thamani ya pesa anayo ipata.

Nguvu hizi zikitumika kwenye First world countries mafanikio na utajiri ni easy sana.
 
Mkuu, nguvu anayotumia mwafrika kufanikiwa ni kubwa mno kulinganisha na thamani ya pesa anayo ipata.

Nguvu hizi zikitumika kwenye First world countries mafanikio na utajiri ni easy sana.
Huku ni kukandamizana tu kwa sababu watu wengi hawazijui haki zao
 
Uwezekano wa mtu kukata tamaa wenyewe ni uthibitisho kwamba Mungu hayupo.

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote angekuwepo, hakuna kiumbe chake hata kimoja kingejua kukata tamaa ni nini.

Kwa hivyo, jitihada zako za kuwanyanyapaa watu wasioamini uwepo wa Mungu kuwa ni watu waliokata tamaa, kiukweli, ukizitazama kwa undani, zinazidi kuthibitisha Mungu hayupo.

Mungu angekuwapo, kukata tamaa hata kusingejulikana, kwa kiumbe chochote.

Tunaishi kwenye ulimwengu ambao kukata tamaa kunawezekana, kwa sababu Mungu hayupo.
TUnakata tamaa kwasababu Mungu hayupo au kwasabu ya kukosa imani ya uwepo wa Mungu? Nadhani hii ya pili ni sahihi . Uthibitisho kuwa Mungu yupo ni kwamba chanzo cha binadamu wa kwanza kuwepo na hii dunia kuwepo ni kitu ambacho kimeumbwa na Mungu. Na kama una mawazo tofauti hii dunia imetoka wapi? Na binadamu wa kwanza alitoka wapi?
 
Heshima kwetu sote mkuu.
Raia wanaona kuvaa tai ndio heshima na status. Halafu tukipita na magogo yetu toka porini tunakuja kuuza mbao mjini wanatuomba rushwa.
Anakagua vibali vyote vimetimia. Mzigo haujazidi hata nusu kilo, lakini anakuambia umpe hata ya maji........
Hiyo mil 20 ya kukopa unarudisha miaka 5. Sisi huku tunaitengeneza ndani ya miezi kadhaa.
Nakiri si kazi rahisi, businesses are full of chaos.
Naomba connection mkuu. Mtaani hali sio shwari
 
Alafu mbona Kuna mkanganyiko hapa kwenye hii mada!. Hatuwezi kupima ubora wa elimu kwa kigezo cha ajira. Hapa tutakuwa tunajadili 'Hamna'. Msingi wa elimu unataka Nini?. Tatizo la ajira linasababishwa na nn?.


Hatuwez kupima ubora wa elimu iliyopo kwa kigezo cha ajira.
Wewe ndio umeandika cha maana. Hamna hoja ya kujadili.

Suala la ukosefu wa ajira ni mtambuka, tutazunguka weee lakini hata tufanyeje, kutokana na mfumo wa dunia (neo-liberalism) asilimia kubwa ya watu (hasa vijana) ni lazima wakose shughuli za kuwaingizia vipato.

Ilitabiriwa janga hili litawafika zaidi masikini. Na ndio hali ilivyo sasa.
 
TUnakata tamaa kwasababu Mungu hayupo au kwasabu ya kukosa imani ya uwepo wa Mungu? Nadhani hii ta pili ni sahihi . Uthibitisho kuwa Mungu yupo ni kwamba chanzo cha binadamu wa kwanza kuwepo na hii dunia kuwepo ni kitu ambacho kimeumbwa na Mungu. Na kama una mawazo tofauti hii dunia imetoka wapi? Na binadamu wa kwanza alitoka wapi?
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, ambaye aliweza kuumba ulimwengu ambao kukata tamaa hakuwezekani, halafu akaumba ulimwengu ambao kukata tamaa kunawezekana, hiyo ni contradiction.

Unaelewa hilo?

Unaelewa kwamba unapoandika "chanzo cha binadamu wa kwanza kuwepo na hii dunia kuwepo ni kitu kikichoumbwa na Mungu" hii ni kauli ya kiimani ambayo hujaithibitisha?

Unazunguka pale pale tu.

Ni kama vile, wewe unadai baba yako mzazi ni James Bond 007.

Mimi nakwambia James Bond 007 si baba yako, ni muhusika wa hadithi ya kutungwa, hayupo. Kama unabisha, thibitisha kuwa James Bond 007 yupo kweli na ni baba yako mzazi.

Unanijibu James Bond 007 yupo kweli, kwa sababu chanzo chako ni huyo baba yako mzazi James Bond 007.

Nilitegemea labda ungenipa ushahidi, uthibitisho.

Hujatoa ushahidi wala uthibitisho kuwa Mungu yupo na ndiye chanzo cha ulimwengu, umekuja na kauli ya kiimani tu.
 
Wewe ndio umeandika cha maana. Hamna hoja ya kujadili.

Suala la ukosefu wa ajira ni mtambuka, tutazunguka weee lakini hata tufanyeje, kutokana na mfumo wa dunia (neo-liberalism) asilimia kubwa ya watu (hasa vijana) ni lazima wakose shughuli za kuwaingizia vipato.

Ilitabiriwa janga hili litawafika zaidi masikini. Na ndio hali ilivyo sasa.
Mada hiz zinavuruga sana mwishoni mana hazijengi. Tatizo lililopo kwenye ajira hata kama Leo watu wote watapelekwa veta. Few years later ngoma itakaza.

Na tatizo hili Lina Kona nyingi sana kuziangalia. Mana hata Leo hii ukikutana na injinia kama comics pale Golden tulip au Amaria maana ni ileile.

Watu kufanya kazi ambazo hawajasomea... Hii inapelekea Kule wanakuwa casual na wanalipwa kidogo kuliko kiwango.
 
Wewe ndio umeandika cha maana. Hamna hoja ya kujadili.

Suala la ukosefu wa ajira ni mtambuka, tutazunguka weee lakini hata tufanyeje, kutokana na mfumo wa dunia (neo-liberalism) asilimia kubwa ya watu (hasa vijana) ni lazima wakose shughuli za kuwaingizia vipato.

Ilitabiriwa janga hili litawafika zaidi masikini. Na ndio hali ilivyo sasa.
Sio mfumo wa dunia, sema ni mifumo mibovu ya Afrika na nchi nyinginezo za third world.

First world countries ukisoma na ku pass vizuri huwezi kukosa kazi uishie eti kufanya manual Works

Ni Africa, middle east countries na latin countries tu, Nchi za third world countries ndio kuna wasomi wanao kosa kazi.
 
Back
Top Bottom