Mzazi wangu amekogoma kupokea posa ya mwanaume wa kiislamu

Uandishi wako unatosha kuezelea nyanda za juu kaskazini ukoje.

The fun fact is kunapokuwa na jibu la ndio ama hapana yoyote anaweza kupatia ila vituko ni pale unapoomba working za jibu husika ndo uta-blow i.e. swali, kazi, jibu

Is fish a Mamal?, no it's not, because the kid fish doesn't call her Mom!
 
Dini za kurithi hizi isikusumbue Mababu zako wangekua watu wa pwani ungerithi uwislam,au Babu zako wangetawaliwa na mchina ungekua Buggha na hiyo Dini ya Mzungu ungeiyona Ushenzi tu.
 
Huu
Huu utumwa Mimi niliukataa nikamwambia mdogo wangu njoo nikuozeshe Mimi kama baba Yako amegoma mamana hizi Imani zinatutenganisha lakini tata baba Yako angezaliwa Tanga au kwingineko ambako dini ya kislamu ilianza kuenea angeweza kuwa muislamu so sababu za kijiografia zisilete shida nitakuoza na kikaendelea na mchakato na wao wakajiunga tukamuozesha Binti Zenji yupo mpaka sasa huko
 
Dah ......ila tumefikia huko 😿😿
 
Subirini awaletee mimba kwanza ndo mtajia hamjui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…