Unataka kujifunza kitu, au upo hapa kupotezea watu muda. Kama ulishaamua kufata mawazo ya mzazi, sikuona haja ya wewe kuleta hii mada hapa. Ni matumizi mabaya ya muda.Sijaja ila kila siku nipo, ila nimeona nilete hii mada ili nione mawazo ya wengine na kujifunza kitu.
Sijui kwanini haniambii, nikikaa nae nitamuuliza kwanini haniambii na tatizo ni nini.Angekuwa siô mnafiki angekuwa ameshakuambia na hii Mada Wala usingeileta huku. Mpaka unatafuta namna ya kumuuliza ili akuambie huoni kama wewe ndîo unashida? Kama wewe Huna shida Basi mama yetu ndîo anashida Kwa nini asikuambie mpaka umuulize kama kweli kûna Jambo linalohatarisha usalama wako?
Je hakuamini?
Sababu ya kwanini hasemi tena kama mwanzo, haonyeshi ushirikiano nikiongea kuhusu mambo ya maisha ya ndoa hapo baadaeSababu ya nini?
Sijui kwanini haniambii, nikikaa nae nitamuuliza kwanini haniambii na tatizo ni nini.
Akikwambia mkeo sio mrembo jeSababu ya kwanini hasemi tena kama mwanzo, haonyeshi ushirikiano nikiongea kuhusu mambo ya maisha ya ndoa hapo baadae
Mkuu, kila mtu ana muda wake na anaamua autumiaje, mimi kuandika hapa nimetumia muda wangu, na wanaochangia wanatumia muda wao.Unataka kujifunza kitu, au upo hapa kupotezea watu muda. Kama ulishaamua kufata mawazo ya mzazi, sikuona haja ya wewe kuleta hii mada hapa. Ni matumizi mabaya ya muda.
Nipo mtaaniUko wapi?
Hawezi sema hivyo, anajua ni mrembo 😜Akikwambia mkeo sio mrembo je
Chamsingi tunaishi kwa amani na furaha, hayo mengine ni mambo ya kimkakati zaidi na nitakaa nae na tutaongea kwa kina anielezeNdîo unafiki huo ulioukataa. Usiseme hujui Kwa nini hakuambii.
Kama angekuwa siô mnafiki yàani NI mkweli wala usingemwona Kwa jinsi hiyo uliyoeleza kwèñye Uzi huu.
Kama kaona shida angekuambia mapema Kabla hujaona hizô dalili
Kwakuwa umeleta hili Jambo mbele yetu, na nimeona Kuna Jambo halipo sawa. Sitasita kulisemea ili tu wakati mwingine yasijirudie.Mkuu, kila mtu ana muda wake na anaamua autumiaje, mimi kuandika hapa nimetumia muda wangu, na wanaochangia wanatumia muda wao.
Wewe kama unaona huna muda wa kuandika ni afadhali ukafanya majukumu yako mengine
Chamsingi tunaishi kwa amani na furaha, hayo mengine ni mambo ya kimkakati zaidi na nitakaa nae na tutaongea kwa kina anieleze
Bado sijachukua hatua, nimeomba ushauri na nimeupata na nazidi kupokea zaidi.Kwakuwa umeleta hili Jambo mbele yetu, na nimeona Kuna Jambo halipo sawa. Sitasita kulisemea ilimradi wakati mwingine yasijirudie. Hivyo suala langu la msingi ni hili kama umeshaamua kuchukua maamuzi hususani kufuata ushauri au mawazo ya mzazi wako sikuona haja ya wewe kuleta Jambo hili hapa ikiwa limeshafanyiwa maamuzi na wewe. Unahitaji nini baada ya kusikia maoni ya watu? Maoni hayo Yana msaada Gani ikiwa umeshachukua hatua.
Bado hujanielewa kabisa.Kama mnaishi Kwa Amani why utafute tatizo àmbalo Mama yako hajaona umuhimu wa kukuambia?
Au nikuelewe Kwa namna hii.
Unàtaka kumwona Mama yako anafuraha lakini tangu agundue unàtaka kumwoa huyo Binti furaha yake imetetereka na haupo tayari kuwa chanzo cha furaha ya Mamaako kuondoka?
Samahani ila ndio ukweli halisi.
Wewe ni mama boy una mtoto unatarajia kuoa na kuwa na familia ila bado upo attached/umejishikiza kwa mama yako mzazi sababu amekuzaa.
Umefanya ujinga na umeruhusu mama yako amchoke mzazi mwenzako. Sikiliza ndugu, mama yako anampimia binti wa watu kwa kipimo ambacho sicho!!
By the way, huo ni utamu wako na amekuzawadia mtoto huhitaji kupata validation kutoka kwa mama yako.
Funga ndoa, oa na chukua mke wako na mtoto wako mkaishi kivyenu achana na mama yako ni chakula cha baba yako tu asivuke mipaka.
Sorry kama nimetumia lugha Kali mimi ni mubaba wa kunyoosha.
Na Mimi nakazia hapo hapo hata Biblia inasema atamuacha Baba na Mama yake Ndoa nyingi zina mgogoro sababu ya Mama kuingilia Ndoa za watuSamahani ila ndio ukweli halisi.
Wewe ni mama boy una mtoto unatarajia kuoa na kuwa na familia ila bado upo attached/umejishikiza kwa mama yako mzazi sababu amekuzaa.
Umefanya ujinga na umeruhusu mama yako amchoke mzazi mwenzako. Sikiliza ndugu, mama yako anampimia binti wa watu kwa kipimo ambacho sicho!!
By the way, huo ni utamu wako na amekuzawadia mtoto huhitaji kupata validation kutoka kwa mama yako.
Funga ndoa, oa na chukua mke wako na mtoto wako mkaishi kivyenu achana na mama yako ni chakula cha baba yako tu asivuke mipaka.
Sorry kama nimetumia lugha Kali mimi ni mubaba wa kunyoosha.
Bado hujanielewa kabisa.
Tunaishi kwa furaha lakini nimeona tofauti kwa Mama yangu, nitamuuliza tatzo ni nini ili nihakikishe wote tunabaki na furaha, kama tatizo ni kubwa nitafanya maamuzi, kama linatatulika pia nitafanya maamuzi.
niliposema tatizo nilimaanisha niliona tofauti nikiwa naongea naye binafsi kuhusu maswala ya baadae, ila kiujumla nyumbani wanaishi kwa amani na furaha tele.Mmmh!
Sasa kama kûna furaha Hilo tatizo ulilionaje?
Au Siku hizi kûna Watu wanafurahia matatizo?
Unajua maana ya tatizo?
Unaposema uliona tofauti Kwa Mamaako àmbayo utamuuliza nini tatizo(kipi hakiendi Sawa, kipi kinamnyima Amani)
Mimi hakuna mtu ameingilia ndoa yangu kwasababu bado sina ndoa.Na Mimi nakazia hapo hapo hata Biblia inasema atamuacha Baba na Mama yake Ndoa nyingi zina mgogoro sababu ya Mama kuingilia Ndoa za watu
Basi itakuwa mtoto ni wakoMama kaona mtoto sio wako!! Anashindwa kusema TU.