Mzazi wangu hajaridhika na mchumba wangu, hajasema lakini nimeona ishara

Kama humtaki mke wako nenda kalale na mama yako, kua mwanaume kama baba yako naacha kushikiwa akili na mama yako
 
Naelewa majukumu yote ni yangu katika kufanya maamuzi, lakini still bado nahitaji kujifunza na kupata ushauri kuhusu mambo haya kwani mimi bado ni kijana ambaye sina experience na mambo ya Ndoa
Kama huna experience na mambo ya ndoa kwanini hukumuuliza mama yako kuhusu kumkojolea huyo binti ndani. hebu acha kutuaibisha wanaume
 
Kama huna experience na mambo ya ndoa kwanini hukumuuliza mama yako kuhusu kumkojolea huyo binti ndani. hebu acha kutuaibisha wanaume
Wewe ndyo unajiaibisha kwa kutukana na kukebehi wazazi wa wenzio
 
Kama ulimuamulia mama yako kuolewa au kuzalishwa na baba yako, basi haina shida, mruhusu mama yako akuchagulie mke.
 
Hilo swali sidhani kama lina mantiki yoyote, kwani wewe hujui nini kinafanya watu wazae?
Hili swali linamaana kubwa sema umechukulia wepesi labda kwasababu tunatofautiana kwenye upeo we ni jibu alafu nitapata mwanga ujue kwanini nimekuuliza
 
Hizo ni koo mbili tofauti. Simba huwa hatuna matatizo hayo, tunaoana simba kwa simba au na marafiki wa koo za simba.

Nje ya hapo hata kuzaa nae hatuwezi, ni kifo wote kasoro simba tu.

Na simba utatengwa kwa muda mrefu, wansema ni mpaka harufu za kishenzi zikutoke. Hapo ni mpaka ukagfanyiwe matambiko na kuoshwa kimila za kisimba. Unafanyiwa nyungu na singi za nguvu kwa siku 40 bila kuwacha hata siku moja, ukiwacha siku moja inaanza tena upya. Ukiwacha mara tatu, na wewe unauliwa.
 
Hili swali linamaana kubwa sema umechukulia wepesi labda kwasababu tunatofautiana kwenye upeo we ni jibu alafu nitapata mwanga ujue kwanini nimekuuliza
Kilichofanya nizae nae siwezi kusema ni kitu gani, ila tulikutana na baada ya hapo nikapewa taarifa za ujauzito, nikazipokea na mambo mengine kuendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…