Choka sana kiumri hata maneno ya kuongea hawezi kuchagua. Sawa na Joe Biden tu kapoteza memory Makamba YusufKufuatia kujiuzulu Kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara A. Kinana Wachambuzi wa siasa wanampa asilimia kubwa Mzee Luteni (Mstaafu) Alhaji Dr Yusuf Makamba kupokea kijiti cha uongozi CCM
Mmmmh! hivi kustaafu ndo nini?Kufuatia kujiuzulu Kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara A. Kinana Wachambuzi wa siasa wanampa asilimia kubwa Mzee Luteni (Mstaafu) Alhaji Dr Yusuf Makamba kupokea kijiti cha uongozi CCM
Sasa itakuaje? Wazee wa kazi chafu kamwe hawakai frontline lazima wajiweke kwa nyuma ya paziaMkiwawaweka wote pembeni watoto wa mjini, watawapeleka peponi mmoja baada ya mwingine
Alhaji Mzee Luteni Mstaafu Dr. Hawa watu wanapenda sana vyeo inaonekana hata cheo cha "Marehemu" wanakitamani.Mzee luteni hahah!
Huyu mzee atulie sasa azeeke alee vijukuu atakuwa wa ajabu sana akikubali kuingia huko tenaKufuatia kujiuzulu Kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara A. Kinana Wachambuzi wa siasa wanampa asilimia kubwa Mzee Luteni (Mstaafu) Alhaji Dr Yusuf Makamba kupokea kijiti cha uongozi CCM
Tunguri.Makamba ni Dr. wa nini?
Most useless man ever, huyu Mze ni mnafiki sana na ndiyo huyu aliyesababisha CCM kutaka kumfia Mze Kikwete na akatimuliwa tena kwa kukimbizwa na fimbo asionekane popote pale hapa Tanzania, yule Mze nuksi sana.Kufuatia kujiuzulu Kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara A. Kinana Wachambuzi wa siasa wanampa asilimia kubwa Mzee Luteni (Mstaafu) Alhaji Dr Yusuf Makamba kupokea kijiti cha uongozi CCM
Rais wetu mpendwa Mheshimiwa sana Doctor mama yetu mpendwa Samia Suluhu Hassan.Alhaji Mzee Luteni Mstaafu Dr. Hawa watu wanapenda sana vyeo inaonekana hata cheo cha "Marehemu" wanakitamani.
Huyo mvuta Bange labda kama mnataka kukizika chamaKufuatia kujiuzulu Kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara A. Kinana Wachambuzi wa siasa wanampa asilimia kubwa Mzee Luteni (Mstaafu) Alhaji Dr Yusuf Makamba kupokea kijiti cha uongozi CCM
Akifanya kosa hilo tena Samia nitajua ni sikio la kufa.Kufuatia kujiuzulu Kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara A. Kinana Wachambuzi wa siasa wanampa asilimia kubwa Mzee Luteni (Mstaafu) Alhaji Dr Yusuf Makamba kupokea kijiti cha uongozi CCM
Miti shamba ya kisambaa.Makamba ni Dr. wa nini?