Mzee Ali Hassan Mwinyi atunukiwa zawadi kwa kuutumikia Uislam

WEWE BIBI HIVI UNA HABARI KUWA UISLAM ULIANZISHWA NA MA JESUITS WA VATICAN???
 
Religious Extremist ...Bi mkubwa ukipandisha mada jukwaani jua unaongea na watu wenye akili zao timamu,we unachojidanganya zaidi ni kudhani wakati wa utawala wa Rais Mwinyi ulikuepo mwenyewe tu..
 

Mkuu huyo ni religious fanatic, anakimbizana na mzee Mohamed Said
 
Maneno kuntu Da faiza
 
Mkuu huyo ni religious fanatic, anakimbizana na mzee Mohamed Said
Linapokuja suala la dini huwa nashangaa mtu ninayemwamini to the maximum anapuyanga! This is a wonderful world!
 
Hakuna cha kurekebisha, wanaelewa fika walichokiandika. Kuna ukoloni mbaya uliotuumiza zaidi ya wakati wa Nyerere?

Tuwe wa kweli, ulikuwepo wakati wa foleni za chakula Tanzania hii? Nani alikuja kuziondosha kabisa mpaka leo hii hazijajirudia tena?
Sabah el khair Bibi. Umekuwa adimu mno jukwaani. Natumai uko salama.
 
Uislamu bwana, kwa hiyo ukiutumikia uislamu unapewa zawadi, unatambuliwa mchango wako? Aisee.

Dini nyingine ni kichekesho.
 
Uislamu bwana, kwa hiyo ukiutumikia uislamu unapewa zawadi, unatambuliwa mchango wako? Aisee.

Dini nyingine ni kichekesho.
Mbona mabeyo juzi kati kapewa na Papa mbona hatukusema kitu ila wakristo chuki zimewajaa mna chuki mbaya sana nyie
 
Elitwege

Ova
 
Imeishia wapi na bado inampa mazawadi ya kuutumikia Uislam.

Allah ameahidi, soma Qur'an 2:261 Unapojitolea kwenye njia zake malipo mema hayaishi.

Una donge?
Mbona unafurahisha Kwan walompa io tuzo ni wawakilish wa mungu mpk useme unapojitolea kwenye njia zake malipo hayaishi ??

"Msizitukuze nafs zenu yeye ndie ajuae mwenye kumcha "

Mwinyi kwa mtazamo wa kiislam ni taghut tu basi
 
Magufuli kuna mambo mengi mazuri kafanya
Enzi zake miradi yote ilikuwa inakwenda kasi

Ova
 
Sasa wewe unafikiri ukoloni nini?

Tulivyobanwa mbavu na mkoloni wakati wa Nyerere uliwepo? Ilifikia mpa chakula kwa foleni. Usilolijua ni usiku wa kiza.
Kuandika na kupost comment bila kuhariri ni kusomea ujinga[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji4][emoji4].
 
Nilichogundua wewe huna hoja bali ni udini kila mahali unanufaika na nini kwa kudhihirisha udini JF?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…