Mzee Ali Hassan Mwinyi atunukiwa zawadi kwa kuutumikia Uislam


Sub hanallah

Uislamu ni usafi,,,uislamu unaondosha watu ujinga,,,kama sio waarabu/waislamu kwa ujumla nchi hii ingeendelea kuwa na hali mbaya sana, ujinga, kuvaa nguo nusu uchi, uchafu wa mwili ungeendelea kuwepo kama kawaida ukhty faiza,,,hata ukiwapa deodorant inaomba poo.

Yani hawa watu washukuru sana ujio wa waarabu/waislamu.
 

Kwakweli nafurahi sana nchi ikiongozwa na muislamu, hata baadhi ya wasio waisilamu pia wanafurahia kuongozwa na waisilamu, kwanza wana huruma, imani na hofu ya Allah n.k. tofauti nchi ikiongozwa na marais wasio waisilamu, dhulma, kuuawa watu hovyo, kutaifisha mali/manyumba n.k.

Huyo nyerere Allah atampa anachositahili
 

Wananchi waliichukia ccm kutokana na ufisadi wa Kikwete na ndio Magufuli akapata mwanya wa kupeperusha bendera!! Usimuingize Kikwete kwenye orodha ya watawala wenye hadhi na hivi sasa atamuharibia huyu mama huko tuendako!
 
Wewe bogus kweli.
Mudy aliwahi kutahiriwa?
 
Unamaanisha nini wewe kilaza?
 
Sasa wewe unafikiri ukoloni nini?

Tulivyobanwa mbavu na mkoloni wakati wa Nyerere uliwepo? Ilifikia mpaka chakula kwa foleni. Usilolijua ni usiku wa kiza.
Kwenye Uislam kumbe kuna tuzo? Ebu tuwekee za Mtume nazo tuzijue! Ahahahahahahahah!!!
 
Kwenye Uislam kumbe kuna tuzo? Ebu tuwekee za Mtume nazo tuzijue! Ahahahahahahahah!!!
Hapo unaananza kuleta ubishi wa kitoto.

Za Mtume yupi uzitakae, maana kwenye Uislam hYesu alyahi salaam pia ni mtume.
 
Wananchi waliichukia ccm kutokana na ufisadi wa Kikwete na ndio Magufuli akapata mwanya wa kupeperusha bendera!! Usimuingize Kikwete kwenye orodha ya watawala wenye hadhi na hivi sasa atamuharibia huyu mama huko tuendako!
Hatujaona CAG akisema hayo, tumeona ripoti ya CAG juzi, ni awamu ya nani ile?
 
Hapo unaananza kuleta ubishi wa kitoto.

Za Mtume yupi uzitakae, maana kwenye Uislam hYesu alyahi salaam pia ni mtume.
Eti naleta ubishi wa kitoto wakati wewe unakwepa hoja kitoto! Hapa umeleta uzi unazingumzia tuzo za Uislam. Kwahiyo ukiulizwa Waislam Mtume wao nani utajibu Yesu Kristo? Pumbavu!!!
 
Simfahamu huyo umsemae,a nafahamu kuwa Yesu alayhi salaam alitahiriwa na Waislaam tunaoifata sunna ya Yesu alayhi salaam.
Yesu aliwahi kuyafahamu hayo majina mnayomuita?
Muddy ni lile kubwa la maadui ambalo kusoma kwake kulilipitia kushoto na hivi leo kaambukiza wajukuu zake wanapenda elimu akhera ushanisoma?

Sasa nijuze bi faiza huyo Muhammad aliwahi kutahiriwa?
 
Simfahamu huyo umsemae,a nafahamu kuwa Yesu alayhi salaam alitahiriwa na Waislaam tunaoifata sunna ya Yesu alayhi salaam.
19:88 - Na wao ati husema kuwa Arrahmani Mwingi wa Rehema ana mwana!19:89 - Hakika mmeleta jambo la kuchusha mno!

19:90 - Zinakaribia mbingu kutatuka kwa hilo, na ardhi kupasuka, na milima kuanguka vipande vipande.


Mpaka sasa wakristo tunasema Yesu NI mwana wa Mungu mbingu NA ardhi ziko vilevile hakuna cha kupasuka wala kuchaika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…