Li bwanyenye lile haliwezi kukiri kuwa Mimi ni bwanyenye Ila kwenye kitabu limefichua siri baba yake alilitaka Liwe padri nadhani lingekuwa li padri lingekua ni Yale mapadte yanayokula Sacramenti zote peke yake na waumini mkienda kusali mnatoka kavu mnabaki mmekula kitubio plain