Chama ni kundi la watu wenye itikadi moja, utamaduni mmoja na wakubaliano yao wenyewe pasipo kushinikizwa toka nje.Katiba ya chadema ndiyo inasema hiki ulichokiandika?
Mnaoishi mjini kwa kulamba viatu vya Mbowe acheni ujinga.
This is too low.Sumaye kamwanga manyanga mwenyewe kugombea Uenyekiti.Kaogopa kumfuata Chacha Wangwe kaburini. Mbowe ni dictator.
Fake prophet. Afadhali kugomea mabadiliko kuliko kuyakubali na kugeuzwa mtumwa wa ccm. Mbowe is and will always be right.Hii cha mtoto ...kuna heavyweight boom inakuja! Kuna kagenge kanafikiri kanailinda Chadema kumbe ndio wanaitokomeza.
Very soon ACT ndio kinakuwa chama kikuu cha upinzani! All prominent politicians wanaenda kuungana na Zitto baada ya Mbowe kugeomea mabadiliko. Mbowe anaenda kufunzwa siasa na Zitto [emoji41][emoji41]
Unataka kusema Dr. Slaa hivi sasa ni CCM? Cheo chake sio cha kisiasa. Yeye ni mtumishi wa serikali tu.
Mzee tunakushukuru kwa yote na tunakutakia kila la heri .
Najiondoa CHADEMA kuanzia leo na sijiunga na chama cha siasa kingine. Nitatumika kutoa ushauri watakaponihitaji chama chochote hata CHADEMA wakihitaji ushauri wangu waniite.
Mimi ndo JPM mwenyewe.Naomba unipe K au ile ndogo kama unanipenda kweli.Ninavyompenda Dr Magufuli mimi jamani...... yaani mtu akimsemea ubaya namwona kama adui mkubwa wa maendeleo ya nchi hii
Unaweza tumia ndogo yako mkuu The Sun-of-a Beach , au umeshindwa kufikia ????Mimi ndo JPM mwenyewe.Naomba unipe K au ile ndogo kama unanipenda kweli.
Hapana Sumaye kaonewa .Kamati kuu ya CHADEMA ilimwona anafaa na ndiye alikuwa mgombea pekee.Kulikuwa na sababu gani ya kuitisha kura Tena?Hahaha demokrasia ni Sumaye kushinda uchaguzi?!
fortunately its too high, in my opinion.This is too low.