Mwanzi1
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 6,000
- 4,589
Inaoneka unaueleo mdogo sana kwenye swala la vyeo vya kisiasa na vyeo vya kiserikali. Balozi sio cheo cha kisiasa, mtu wa chama chochote anaweza kuwa balozi kama ana sifa. Slaa hana kadi ya chama chochote toka atoke CDM.mkuu upo sawa !! napata wasiwasi mkubwa.