Hosting 24
Member
- Aug 1, 2019
- 91
- 228
Mkishamaliza nambieni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama anaona ana itikadi tofauti na vyama vilivyopo ni bora aanzishe chama chake, lakini siyo kulazimisha itikadi zako zikubaliwe katika vyama vilivyopo.kwa hiyo kila anayeshauri anatakiwa kuanzisha chama?
Hahaha Roma mkatoriki alitabiri haya
Sumaye chadema wamambeba mwisho wamempiga chini aamini
"Wanakubeba na autaamini siku wakikupiga chini".
Kwani katiba inasemaje kuhusu kugombea nafasi hiyo? Wenye miaka minne tu ndani ya chama wanakatazwa?Ralph Tyler,
miaka minne tu ndani ya chama anataka uenyekiti kwa kipi bora hasa alichokifanya/ kukionyesha?
Bora wenzenu wanapokezana ila nyinyi Mtu akionesha ana dalili za kutaka uenyekiti na ana sifa na uwezo anaundiwa zengwe aonekane msaliti au arudi kwa baba muumba mbingu na nchi katika mazingira ya kutatanisha.Ni kisingizio tu, Lipumba kakaa tangu lini, afadhali hata CHADEMA fomu wanakupa ujaze, Kule CCM marufuku hata kuinusa.
Kama Ujumbe wa nyumba kumi umeangukia pua, ubunge utaweza? 🤣Alishaonywa kuwa sumu haijaribiwi kwa ulimi
Lakini hamjachoka kuwa "wanyonge... malofa wapumbavu!!"Sumaye mwaga mboga
Tumechoka kunyanyaswa na dikteta Mbowe
Kukubali kugombea kuna mawili,kushinda au kushindwa hivyo demokrasia siyo kushinda tu hata kushindwa ni demokrasia.walioliweka neno mheshimiwa kisheria walikosea sana.Ila alichofanyiwa CHADEMA hakikuwa sahihi, pamoja na madhaifu yake kama alikuwa hatakiwi aenge elezwa tuu na si kudhalilishwa namna ile, ni kweli CHADEMA tuna hasira kweli kweli na 'dola' lakini haikuwa sahihi kumbwagia hasira zetu Sumaye.
kiukweli nimeshindwa amino kama huyu aliwahi kuwa waziri Mkuu nchi hii Kwa jinsi alivyolalamikaHapo kwenye "WEWE NI MLUTHERI MWENZANGU" umemaanisha nini...?