Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,777
Mjukuu wangu mbona una mihemko? ebu relax kidogo muheshimiwa ana mambo mengi hawez kukumbuka kila mtu alieongea nae.Kunywa maji barid hapo ulipo bill nitumie pm
Tunadaiwa tu-elfu 56 tu babu. Mimi na mjukuu wako mwingine Miss Fulani tumekukunywa ka Henessy kamoja tu.