Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
yeye alikuwa bingwa wa kupiga picha na akina Rihana na Vasco dagama wa Tanzania asingewexa mambo ya wanaumeKumbe viongozi wanzake walikuwa wanamshangaa anavyojigamba kana kwamba yeye ndio yeye kauanzisha mradi
Uhuru wa vyombo vya habari.Nyerere alipigania uhuru gani?
Lakini mipango ya Sgr ilishakuwepo Wala Magufuli hakuanzisha,yeye aliweka input ya kubadili modelity
Uhuru, mzalendo, RTDUhuru wa vyombo vya habari.
huyu ni kipara hana nywele na akili piaYaan choice variable inaonekana, ww ni mtu wa majungu majungu ya kipumbavu. Mswahili wa ahead, usiye na kitu kichwani. Yaan unapenda vithread uchwara uchwara.
Marehemu, Magu yupo kaburini three years now.Lakin unatuletea vithread uchwara vya mzee wa msoga aliyekwisha choka akili mpaka hajitambui. Anayependa kujilinganisha na marehemu kila siku. Huyo, mzee hana uwezo wowote wa kufikiri, na anataka attention kwa wa Tanzania. Lakin watu wamemchoka.
Kikwete alileta wabrazil kufanya upembuzi yakinifu wa kujenga Hilo bwawa,acheni kumtukuza Mungu wenu wa chatoNdio hao walijaribu kukwamisha ujenzi wa BWAWA Ili tanesco waendelee kununua mafuta na gesi ambamo Wana hisa nono!!
IPO siku!!
Uhuru.Uhuru, mzalendo, RTD
Sasa mbona ulikuwa unajidai kichwa ngumu kukubali ukweli?!Kwani Kuna ubaya hata hivyo?
Watu tunakuheshimu sana ila chuki zako kwa JPM ndio zimefanya watu wakuone hujielewiMimi au waliomhoji JK? Kwa nini usiwaambie Wasafi hayo uliyoandika?
Siku hizi mnawaua wajumbe?
Tumia AkiliKikwete alileta wabrazil kufanya upembuzi yakinifu wa kujenga Hilo bwawa,acheni kumtukuza Mungu wenu wa chato
Si ile ya Kipande Cha Moro Dar kwa Trilion 10Una uhakika? Unajua Sgr ilikuwa mwishoni kuanza ujenzi enzi za JK?
Kwahiyo maneno ni makuu kuliko vitendo ...hata dini yako inasema imani bila matendo ni mfuu tu ...tumia akili acha kutumia kijambio kufikiri kama sa100Lakini mipango ya Sgr ilishakuwepo Wala Magufuli hakuanzisha,yeye aliweka input ya kubadili modelity
Cc 100 othersMipango hata wewe unaweza kuweka mipango ujenge nyumba inaelea juu ya anga, hakuna mwanadamu anashindwa kuweka mipango... Je? Utekelezaji unaweza?
Nyie muheshimuni JPM...
Sasa Kwa data hizo fake, gesi ni yetu?Acha uwongo wewe,tpdc inamiliki gas ya mtwara 40%,au mna gas gani nyingine iko operational?
Lakini mipango ya Sgr ilishakuwepo Wala Magufuli hakuanzisha,yeye aliweka input ya kubadili modelity
Wewe unapata wapi ujasiri wa kumtaja Magufuli. Ulikuwa mwizi na tapeli akakula kichwa. Endelea kusifia chura lako la kihansi Magufuli si saizi yakoMy Take
Uongozi ni kupokezana Vijiti.Kuanzia alipoishia mwenzako na kusahihisha makosa na kusonga mbele Ili ๐น๐ฟ iwe mshindi.๐๐
View: https://youtu.be/46vpJFkkBzQ?si=E1kgsqK1HHjlcn91
Sasa kwanini hawakuanza walingoja nini?Una uhakika? Unajua Sgr ilikuwa mwishoni kuanza ujenzi enzi za JK?