inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
"(4) Deni la ujenzi wa reli ya SGR ni kitanzi kitakachotunyonga tusipokuwa makini | JamiiForums" Deni la ujenzi wa reli ya SGR ni kitanzi kitakachotunyonga tusipokuwa makiniAcha uongo. Riba ipi na Waturuki? wakati wao ni wajenzi tu wa SGR na walikuwa wanalipwa cash na TZ baada ya Exim Bank ya China kukataa kutoa mkopo baada ya wachina kunyimwa project hapo mwanzo. Kawadanganye wajinga wenzio huko kijijini kwako.
Acha ujinga wewe,unarukaruka tu,habari ya 2010,Mungu wako wa chato bado Waziri..nyambbaafu,mheshimu mkwere hata Kama humpendiUmeelewa nilichoandika hapo juu?
Kama ufisadi upi,uliofanywa na nani!!?Umekula maharagwe ya wapi tena mkuu! Unamwongelea Kikwete ambaye nchi nzima ilinuka rushwa na ufisadi!??
Wenzake walikua wanafuata utawala wa sheria,walijua Kuna haki za wafanyakazi ukiwahamisha,hata hivyo mpaka mola anamchukua,miaka mitano madarakani mbona hakukaa hiyo ikulu ya dom?Mbona ishu ya makao makuu kuwa Dodoma ilikuwa tangu Nyerere lkn hao waliofuata walishindwa na akaweza JPM?
"(4) Deni la ujenzi wa reli ya SGR ni kitanzi kitakachotunyonga tusipokuwa makini | JamiiForums" Deni la ujenzi wa reli ya SGR ni kitanzi kitakachotunyonga tusipokuwa makiniUjinga tupu!
Mpuuzi daraja la kwanzaUnamaanisha kuwa umejenga na unaishi Ukweni Kisha unatambankuwa una nyumba?
Wewe huoni kuwa kuwa na Dhahabu kwenye shamba lako ,ukimwita mdau aje mshirikiane kuchimba aje na vifaa nk nk kumpa 60% huoni ni uwendawazimu?Hujatoa hata Tsh 100/= unapewa 40% ya hisa bado huridhiki? CRAZY
Mwekezaji kafanya exploration miaka 15, kaleta teknolojia ambayo huna, kaingiza mtaji wote yeye mwenyewe, na unataka akupe hisa zaidi ya 50% ndiyo useme gesi ya kwetu?
Ni UKICHAA tu wa Magufuli na ndiyo maana alikufa kwa UPOTOSHAJI wake
Kwan Nyerere alivyotaka kila kitu kiwe Dodoma alishuhudia hayo mabadiliko?Wenzake walikua wanafuata utawala wa sheria,walijua Kuna haki za wafanyakazi ukiwahamisha,hata hivyo mpaka mola anamchukua,miaka mitano madarakani mbona hakukaa hiyo ikulu ya dom?
Yeye alishindwa,akaishia njianiKwan Nyerere alivyotaka kila kitu kiwe Dodoma alishuhudia hayo mabadiliko?
Bc ndivyo pia kwa mwanaume JPM ila yeye hakushindwaYeye alishindwa,akaishia njiani
Hakufuata sheria,na mwisho alishindwa,alitoka ikulu ya magogoni dar kuelekea kaburini kwakeBc ndivyo pia kwa mwanaume JPM ila yeye hakushindwa
Alishindwa wapHakufuata sheria,na mwisho alishindwa,alitoka ikulu ya magogoni dar kuelekea kaburini kwake
Chimba basi kama una uwezo na soko unalo, kwa nini usubiri mdau mshirikiane?Wewe huoni kuwa kuwa na Dhahabu kwenye shamba lako ,ukimwita mdau aje mshirikiane kuchimba aje na vifaa nk nk kumpa 60% huoni ni uwendawazimu?
Kama aliweza si angehamia dodoma,nini kilimfanya asihamie dodoma?Alishindwa wap
Bro, hv ww n mzima kichwan? Kwahy ahamie akiwa marehemu auKama aliweza si angehamia dodoma,nini kilimfanya asihamie dodoma?
MAGU is dead lolote laweza kuwa kweli.Kumbe viongozi wanzake walikuwa wanamshangaa anavyojigamba kana kwamba yeye ndio yeye kauanzisha mradi
Kwahy unataka marehemu aje ajitetee au vpKumbe viongozi wanzake walikuwa wanamshangaa anavyojigamba kana kwamba yeye ndio yeye kauanzisha mradi
Nadhani sentensi yangu ni ya wakati uliopita,ungehoji uzima wako kichwani kwanza,au kiswahili ulijifunza shule haikua lugha ya kwanza kwako!?Bro, hv ww n mzima kichwan? Kwahy ahamie akiwa marehemu au
SafiNadhani sentensi yangu ni ya wakati uliopita,ungehoji uzima wako kichwani kwanza,au kiswahili ulijifunza shule haikua lugha ya kwanza kwako!?