Sasa ndyo wakati wa kula bata bataniHivi huyu jamaa amekuwa msemaji wa Samia siku hizi?
Anyway whatever the case, msituletee habari zenu za bandari ya Bagamoyo, unless otherwise terms za kwenye huo mkataba ziwekwe wazi.
Umenena mkuu, kama daraja la busisi hakusema chochote.ngoma inogileTerms haziwekwi wazi.
Bandari itajengwa.
Na hautafanya chochote.
Kama ambavyo magu alijenga uwanja wa ndege chato na waliohoji hawakufanya chochote.
Kikwete hakunena chochote enzi za Magufuli.
Ila leo msemaji
Mzee.. unataka uwazi NCHI hii? Maybe tupate katiba, itakayo amuru uwazi na uwajibikaji pindi ikitokea makosa yoyote kweny utendaji na utawala mwingine.Uwazi.
Hawampendi JK sababu anapendwa na jamiiWe Kama nani Kwanza hadi ulete masharti yote ayo,, nyinyi Rais wenu mungu mtu ashakufa
au ndo ameshika remote kwa sasa ?Kikwete hakunena chochote enzi za Magufuli.
Ila leo msemaji
Bao gani?,mlisema semi trailer zote za ridhiwan,kumbe ilikuwa husuda tu,,kuna jamii zimelelewa kustaarabu,katika maadili,,hawana mambo ya kudhulumu wala wizi,,sio jitu linspata madaraka utu unalitoka,linaanza kuiba,kudhulumu ,etcUkiona unasifiwa na JK, ujue kuna mradi wa gas unataka kuanzishwa . Ninakumbuka akiwa anasubiri kukabidhi ikulu aliendelea kuteua tu,mara anakimbilia china kwenda kuwaletea kwa ajili ya SGR. Watanzania ni wasahaulifu sana na ndiko JK anakotupigia bao.
Safari hii hakuna mtu atajali maneno maneno,ni kazi tu,,,tunajua matamko pia yataanza kuwa mengi sana,,ndivyo walivyo hawa wanafiki wakiona kiongozi mstaarabu kakamata madaraka,wanamuona ni dhaifu..[emoji16][emoji16]Watu wameanza tena manenomaneno. Ombeni tena basi kwamba Samia ni mpole na nchi hii inataka dictator!
Itakua hivyo anaichezea remote yeyeau ndo ameshika remote kwa sasa ?