Tekaji uwaji linaoza mida hii
Huyu Mkwere alimuua Mwangosi pia; ana damu mikononi wake!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tekaji uwaji linaoza mida hii
Hata Mwenyezi Mungu hapendi chuki zako. Badilika!
Mzee ana mafarasi mabaya hatari yaani yanafana na fisi kinomaDuh mkuu hao ni punda au farasi?
Lizee la msoga limeua nchiHata Mwenyezi Mungu hapendi chuki zako. Badilika!
Dikteta aliharibu hii nchi na kundi la sukuma Gang, acha Samia awape tabasamu watanzania.. .He is back,[emoji23][emoji23] awamu ya nne II
Dikteta ngosha aliuwa watu na kuteka
Kikwete simkubaliWameshika usukani upya! Mishemishe kamakawa [emoji6]
Wabongo kukusahau ni sekunde tu!Legacy chaliii.. kwisha kabisa...😂😂😂😂
Hio Sio Tshirt ya Yanga, ni Tshirt maalum ya Mbio ya CRDB Marathon 2020.Mzee wa Msoga haishiwi vimbenga, ni mtalaam wakung'ata na kupuliza . Leo inasambaa picha akiwa kavaa tshirt kama ya Yanga akiwa anatazama punda. Tshit ukiangalia kwa makini unabaini ina maneno yasomekayo "Kasi isambazayo tabasamu".
Maneno haya yana maana kubwa sana yanapokaa mgongoni mwake tofauti na yangekaa mgongoni mwa mwananchi wa kawaida.
Je, ni kweli tunayo kasi inayosambaza tabasamu au tumepingwa upofu kuyakumbuka na kuyaona machungu?
View attachment 1797535
Waislamu huwa na hekima ya uongozi thus uishi miaka mingi, Wakristo wanafeli wapi hata sasa wote awapo?Mission completed successfully with a big smile.... The eradication process went smoothly...!!!!
Niliamini boys to men hawawezi tuangushaHajawahi kushindwa vita huyu Mwamba, 2015 alichemka kidogo ila amerekebisha tayari. Majasusi yaliyobobea nchi hii wapo wa3, 1. JK, 2. Rostam 3. Edo Ngoyai
Poleni sana Wanyonge...Wameshika usukani upya! Mishemishe kamakawa [emoji6]