Mzee Kikwete aweka rekodi sawa, Uchumi wa Kati waliopanga na Mkapa ni wastani wa dola 3,000 kila Mtanzania

Magu ndio katufikisha hapa kwenye uchumi wa Kati....
ni kama vile straika anapofunga goli....
hupasiwa pasi na wenzake hilo halina ubishi chief
 
Salaam pia ziwafikie vijana wa buku saba popote walipo.
 
Wengine hutukuwepo G.Sam wala kuangalia TV kwa hiyo umetuacha gizani...

Ungekwoti hayo maneno ama kuambatanisha video yake ingekuwa vyema sana....
 
CCM tunaishi kwa Upendo!
 
Mzee wa watu alimaanisha muda na sio hicho..
Mbona hotuba yake yakawaida sana..!

Ukiwa mzushi ni mzushi tu..😅
 
Hao ni watani wanajuana sana kuliko unavyofikiria.
 
Mzee wa watu alimaanisha muda na sio hicho..
Mbona hotuba yake yakawaida sana..!

Ukiwa mzushi ni mzushi tu..😅
Kaonyesha live gharama za kushtukiziwa. Hapendi shobo
 
Kwamba mpango wa kufikà uchumi wa kati ulikuwa mezani na sio ushindi wa MTU mmoja.
 
Jina lako lina maana mbili; zote ni kwa lugha(kabila) ya kwetu

Mlimilwa= mmea unaozaa malimilwa (jamii ya maboga)

Mlimilwa= mlimiwa/mlimiwaji-anayelimiwa
Yote sahihi mkuu.
 
Tulisema hapa uchumi wa kati FAKE sasa Kikwete kathibitisha. Sasa huyo MKURUPUKAJI hizi details huwa hazijui anakurupuka tu!?
Waliokurupuka ni world bank, magu anatembelea beat ya world bank.
 
Maumivu ya moyoni kwa mzee kikwete kuhusu kuwa nyakati zake watu waiba sana kana kwamba ye alikuwa kama mzigo Fulani uliobweteka hayawezi muishia mzee, So akipata platform kama hz naye lazima achane ukweli..
Mzee Kikwete nakuelewa sana Asee
 
Quotation.
"Mzee mkapa alikuwa apende sifa maana unaweza kusifiwa mpaka ukaharibu"

Asante sana mzee Kikwete.
Mwenye quotation nyingine ya mzee naomba muiweke hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…