Sasa hujioni kama wewe nawe ndio mpumbavu?Tweet ya Magu akijifagilia kufikia malengo ya 2025 mwaka 2020, hebu jaribu kumuelewesha huyo kilaza unayebishana nae Kama ataelewa maana Mimi nimenu ignore tayari, too foolish
View attachment 1520831
Muache upotoshaji mataga wa lumumbaHahahha.. CCM ni kama maji! Usipoyanywa utaoga,
Sasa unajikuta hutaki kuisifia CCM lakini utaisifia indirect kupitia JK
Sasa hujioni kama wewe nawe ndio mpumbavu?
Hiyo twit unaona inafanana na alichoongea Kikwete na mnachojadili?
Umeona kuna mahali Magufuli kasema wameshafikia lengo la dola elf 3 kabla ya 2025?
Je hiyo dola 3000 ndio malengo ya WB ili kuitangaza nchi kuingia katika uchumi wa kati?
Sasa hapa huoni kama umafanya mada yako kuwa utopolo?Ngoja nikujibu kwa hizi screenshot mbili, usipoelewa basiView attachment 1520893View attachment 1520894View attachment 1520894
Kwahiyo world bank walidanganya au unatak kumaanisha nini?Kwani Vigezo vya World bank mpaka Nchi iingie kwenye List ya Nchi zenye uchumi wa kati ni vipi???? Au na wewe unakuwa goi goii tu... Leo mkweree kapigaa madongoo sanaa aiseee..
Hawakudanganya lakini sasa Why mkwere aikosoe ile kauli kwa namna flani ambayo watu kama wewe mnaona amesifia ilaa ni Bango kubwaa tu kwa Jiwe...Kwahiyo world bank walidanganya au unatak kumaanisha nini?
Malengo ya mpango wa Taifa ni kufikia pato la dola 3000 mwaka 2025!Sasa hiyo ya kusema tumefikia uchumi wa kati kabla ya muda yanatoka wapi?Kwani magufuri kajitangaza mwenyewe au ni shirika la kimataifa?
Tumieni akili basi na mpunguze upumbavu mlio nao.
Kama mkapa na kikweye walipanga iwe 3000 sasa kwa nini hawakufikia kiwango hicho?
Hayo mambo ni sawa na wewe kwenye maisha yako useme kuwa siku ukinunua gari basi iwe BMW ya ulaya halafu inafika muda unazeeka huna hata baisjeri kisha kijana wako anakununulia toyota ya mjapani, kisha unanza kusema mimi nilipanga kununua BMW, sasa ulikuwa wapi mbona umepigwa na jua mpaka unazeeka?
Kama wao walitaka iwe 3000 hadi 2025 kwa hiyo muda bado upo wasubili.
Pia mkumbuke magufuli hajakitangaza katangazwa sasa kama mnakata rufaa nendeni huko kwenye shirika lililo mtangaza mkate rufaa kwamba sisi kama nchi tulitaka mpaka ifike 3000usd ndo tungie uchumi wa kati
Hizo chuki zenu zitazidi kuwapa msongo wa mawazo saana, na bado mtanyooka.
Nabkama nyie ni wasoni wa kiwango cha juu basi kama nchi bado tuna shida sana na usomi wenu, vinginevyo muwe wachawi.
Miaka 60 pato la mtanzania sh 1000 kweli hongera ccmNdiyo maana miaka kumi ikiisha unaachia wengine ili na wao wafanye yao. Hongereni sana CCM kwahiyo Demokrasia makini.
Mkwere kaikosoaje? Kwamba kapingana na WB?Hawakudanganya lakini sasa Why mkwere aikosoe ile kauli kwa namna flani ambayo watu kama wewe mnaona amesifia ilaa ni Bango kubwaa tu kwa Jiwe...
Hold on hold on bwana mdogo
Mkuu bavicha wana stress sanaMimi nasema ukweli ufipa mna shida kubwa sehemu.
Haki ya Mungu.
Yesu wa chato , kupiga risasi tu
Kikwete Kama mjumbe hivi