Mzee Kikwete aweka rekodi sawa, Uchumi wa Kati waliopanga na Mkapa ni wastani wa dola 3,000 kila Mtanzania

Mzee Kikwete aweka rekodi sawa, Uchumi wa Kati waliopanga na Mkapa ni wastani wa dola 3,000 kila Mtanzania

Tweet ya Magu akijifagilia kufikia malengo ya 2025 mwaka 2020, hebu jaribu kumuelewesha huyo kilaza unayebishana nae Kama ataelewa maana Mimi nimenu ignore tayari, too foolish
View attachment 1520831
Sasa hujioni kama wewe nawe ndio mpumbavu?

Hiyo twit unaona inafanana na alichoongea Kikwete na mnachojadili?

Umeona kuna mahali Magufuli kasema wameshafikia lengo la dola elf 3 kabla ya 2025?

Je hiyo dola 3000 ndio malengo ya WB ili kuitangaza nchi kuingia katika uchumi wa kati?
 
Kama Kikwete Anatuambia Mkapa Ndiye Aliyeanzisha Sera Ya Kwenda Uchumi Wa Kati Na Ndiye Aliyetengeneza Uchumi Na Ukawa Unakua Kwa Asilimia 7 Na Kwanzia Hapo Haujawahi Kutetereka! Sasa Huyu Tunayemsifu Na Kumuabudu Kila Siku Kwamba Hajawai Kutokea Kama Yeye Kafanya Nini?

Kikwete Leo kamaliza kila kitu nisikie mtu anamsifia mtu mbele yangu atakula Kofi moja tu

Mr mkiki.
 
Kwani Vigezo vya World bank mpaka Nchi iingie kwenye List ya Nchi zenye uchumi wa kati ni vipi???? Au na wewe unakuwa goi goii tu... Leo mkweree kapigaa madongoo sanaa aiseee..
Sasa hujioni kama wewe nawe ndio mpumbavu?

Hiyo twit unaona inafanana na alichoongea Kikwete na mnachojadili?

Umeona kuna mahali Magufuli kasema wameshafikia lengo la dola elf 3 kabla ya 2025?

Je hiyo dola 3000 ndio malengo ya WB ili kuitangaza nchi kuingia katika uchumi wa kati?
 
Kwani Vigezo vya World bank mpaka Nchi iingie kwenye List ya Nchi zenye uchumi wa kati ni vipi???? Au na wewe unakuwa goi goii tu... Leo mkweree kapigaa madongoo sanaa aiseee..
Kwahiyo world bank walidanganya au unatak kumaanisha nini?
 
Kwani magufuri kajitangaza mwenyewe au ni shirika la kimataifa?

Tumieni akili basi na mpunguze upumbavu mlio nao.

Kama mkapa na kikweye walipanga iwe 3000 sasa kwa nini hawakufikia kiwango hicho?

Hayo mambo ni sawa na wewe kwenye maisha yako useme kuwa siku ukinunua gari basi iwe BMW ya ulaya halafu inafika muda unazeeka huna hata baisjeri kisha kijana wako anakununulia toyota ya mjapani, kisha unanza kusema mimi nilipanga kununua BMW, sasa ulikuwa wapi mbona umepigwa na jua mpaka unazeeka?

Kama wao walitaka iwe 3000 hadi 2025 kwa hiyo muda bado upo wasubili.

Pia mkumbuke magufuli hajakitangaza katangazwa sasa kama mnakata rufaa nendeni huko kwenye shirika lililo mtangaza mkate rufaa kwamba sisi kama nchi tulitaka mpaka ifike 3000usd ndo tungie uchumi wa kati

Hizo chuki zenu zitazidi kuwapa msongo wa mawazo saana, na bado mtanyooka.

Nabkama nyie ni wasoni wa kiwango cha juu basi kama nchi bado tuna shida sana na usomi wenu, vinginevyo muwe wachawi.
Malengo ya mpango wa Taifa ni kufikia pato la dola 3000 mwaka 2025!Sasa hiyo ya kusema tumefikia uchumi wa kati kabla ya muda yanatoka wapi?
 
Hawakudanganya lakini sasa Why mkwere aikosoe ile kauli kwa namna flani ambayo watu kama wewe mnaona amesifia ilaa ni Bango kubwaa tu kwa Jiwe...
Mkwere kaikosoaje? Kwamba kapingana na WB?

Mbona mkwere alikuwa wazi kabisa tena katumia kiswahili kwamba japo tumeshafika uchumi wa kati ila lazima tujitahidi kufikisha lengo la Mkapa la uchumi wa dola elf 3 kwa kila mtz, ili kuyaenzi maono yake.

Hapo kampiga kijembe wapi?
 
Kwani aliyetangaza Tanzania imeingia ktk nchi zenye uchumi wa kati ni rais Magufuli au ni WB???
 
Back
Top Bottom