mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Aliyetangaza vigezo hivyo ni Babu Hashim Rungwe.Sasa mbona mnakata viuno kushangilia ujinga?
Kwani JK kakanusha kwamba hatujafika ucbumi wa kati?
Alafu alietangza tz kuingia uchumi wa kati ni Magufuli au WB kukingana na vigezo vyao?