Kwanini Magufuli auwawe?,hapo ndipo kwenye tatizo la msingiMkuu lakini hili tatizo kwa nini limeanza awamu ya tano? Kuna shida kwa wafuasi wa awamu ya tano najiuliza nini kilipangwa mpk hali iko hivi?
Leta ushahidi boss tuache kujipa pressure zisizo na maana.Kwanini Magufuli auwawe?,hapo ndipo kwenye tatizo la msingi
Ushahidi upo na kunasiku utawekwa hadharani si sasaLeta ushahidi boss tuache kujipa pressure zisizo na maana.
Sawa maneno nayo yasubiri mpk ushahidi uletwe.Ushahidi upo na kunasiku utawekwa hadharani si sasa
Wewe unajua kifo chako kitakuwaje? Unaongea utadhani wewe una mamlaka na pumzi uliyonayo,pengine wewe utakufa ovyo na utaishia kuwa mzoga wa kuliwa na fisi,nani ajuaye kesho yake?Mwamba ndo angekufa kuzembe namna ile. Kifo dhalili kabisa ht masikini alowaita wanyonge hawafi kilofa vile halafu ndo mnamuona eti mwamba
Watu wa pwani wana nongwa, na Kikwete anaonyesha dhahiri yaani yupo kwenye media kama na yeye ni head of state.Mzee ana wasiwasi,. Makamba sijamuona alikuwepo?
Ametangulia mbele za haki,vipi wewe au mwenzetu ni Immortal?Sijaona kosa la JK kwenye siku ya jana basi tu watu wakiamua kukupak matope...huyo anayejitambua yuko wapi sasa bwaaaa
Nilijaribu kumwangaza pia sikumwona.Watakuwa wamempiga pin kwenye matukio kama haya pengine [emoji23][emoji23]Mzee wa wazuri hawafi sikumuona hivi alikuepo kweli [emoji23]
Kiukweli labda tuseme mitatu.. jambo ambalo lilitakiwa kumpa kiwete sifa ni mkongo wa mawasiliano.. lakini sahivi ndio umekuwa kama ulikiwa uwekezaji wakuja kufanya upigaji wa milele[emoji23]Kikwete alikuwa anamuonea wivu Magufuli kwa mafanikio yake. Miaka kumi ya Kikwete ni mitano ya Magufuli
Tuendelee kuanika ukweli,maana hawa jamaa wamemkamia hayati Magufuli,na hawezi jitetea,ni jukumu letu kumteteaKiukweli labda tuseme mitatu.. jambo ambalo lilitakiwa kumpa kiwete sifa ni mkongo wa mawasiliano.. lakini sahivi ndio umekuwa kama ulikiwa uwekezaji wakuja kufanya upigaji wa milele[emoji23]
Vifurushi vya Internet vipo juu mno wadau.. kitendo cha sisi kuwa na huu mkongo bei ilitakiwa iwe chini zaidi ya hapa wakuu
Hahahaaa... lazima wampopoe anavojifanyaga anachana haogopi imekuaje hahahaaa...Lakini na yeye Mpoto kaupata ujumbe sawia,watu wamemsuuza haswa kwenye page yake kule Instagram mpaka amelimit comment.
Mkuu nahisi una wivuNilikuwa nafuatilia sherehe au hafla ya kuzinduliwa Ikulu, chamwino Dodoma.
Kwa jinsi ratiba ilivyopangwa Mzee Jakaya haukuwemo kwenye list ya wazungumzaji kabisa, nafsi yangu inaniambia hivyo.
Alianza Hussein Mwinyi, akafuata Dr Mpango, kisha rais Samia.
Cha kushangaza katikati rais Samia akiwa anaongea, aidha akakumbuka au akapewa kimemo cha wewe kutakiwa kutoa salamu nikaona kwenye uzinduzi wa hiyo Ikulu wewe unaweka mambo ya Kuala Lumpur na UDOM ,du!
Ukweli lazima usemwe, wazo lilikuwa awamu ya kwanza, awamu zilizofuta mliijikita kwenye priority's zingine za kulijenga taifa, na si vibaya hata kidogo.
Hili la kuhamia Dodoma kwa serikali, hakikuwa kipa umbele chenu.
Awamu ya tano ndio kazi hii illiifanya kwa nguvu zote, na Rais Samia aliachiwa kitonga na kumalizia, hivyo mtekelezaji wa wazo anabaki kuwa Magufuli pekee.na pengine bila nguvu yake tusingekuwa tnazungumzia uzinduzi leo hii, Magufuli alipingwa sana na wanasiasa na makundi mbalimbali,lakini hakujali
Kama kuna anaebisha, tuanzie kuzichambua juhudi za awamu ya pili, tatu,na nne nini zilichofanya kuhusu Ikulu ya Dodoma,. , kila kitu kipo rekodedi.
Nikuombe mzee wangu Jakaya, hebu jaribu kutulia, usilazimishe mambo, mema yako yapo wazi tu, Jaribu kuwa kama kina Dr sheiin, Mzee Mwinyi, ni watulivu sana, hili la ujenzi wa Ikulu ya Dodoma hauhusiki kabisa ulilipa kisogo.
Air time aliyokupa Mama Samia, umeitumia kujipigia promo tu, kwenye hamna.
Shida hamfuatilii tu mambo, siku ya kuweka jiwe la Msingi..Mh. Kikwete aluongea historia ya ujenzi wa Ikulu Dodoma mbele ya mh. Magufuli, na yote yalikuwa sahihi kama alivyoongea Jana.Nilikuwa nafuatilia sherehe au hafla ya kuzinduliwa Ikulu, chamwino Dodoma.
Kwa jinsi ratiba ilivyopangwa Mzee Jakaya haukuwemo kwenye list ya wazungumzaji kabisa, nafsi yangu inaniambia hivyo.
Alianza Hussein Mwinyi, akafuata Dr Mpango, kisha rais Samia.
Cha kushangaza katikati rais Samia akiwa anaongea, aidha akakumbuka au akapewa kimemo cha wewe kutakiwa kutoa salamu nikaona kwenye uzinduzi wa hiyo Ikulu wewe unaweka mambo ya Kuala Lumpur na UDOM ,du!
Ukweli lazima usemwe, wazo lilikuwa awamu ya kwanza, awamu zilizofuta mliijikita kwenye priority's zingine za kulijenga taifa, na si vibaya hata kidogo.
Hili la kuhamia Dodoma kwa serikali, hakikuwa kipa umbele chenu.
Awamu ya tano ndio kazi hii illiifanya kwa nguvu zote, na Rais Samia aliachiwa kitonga na kumalizia, hivyo mtekelezaji wa wazo anabaki kuwa Magufuli pekee.na pengine bila nguvu yake tusingekuwa tnazungumzia uzinduzi leo hii, Magufuli alipingwa sana na wanasiasa na makundi mbalimbali,lakini hakujali
Kama kuna anaebisha, tuanzie kuzichambua juhudi za awamu ya pili, tatu,na nne nini zilichofanya kuhusu Ikulu ya Dodoma,. , kila kitu kipo rekodedi.
Nikuombe mzee wangu Jakaya, hebu jaribu kutulia, usilazimishe mambo, mema yako yapo wazi tu, Jaribu kuwa kama kina Dr sheiin, Mzee Mwinyi, ni watulivu sana, hili la ujenzi wa Ikulu ya Dodoma hauhusiki kabisa ulilipa kisogo.
Air time aliyokupa Mama Samia, umeitumia kujipigia promo tu, kwenye hamna.
Mkwere anajisifia mwenyewe; UDOM alipiga hela za NSSF wakishirikiana na Ramadhan Dau, mpaka leo wafanyakazi wamasota hawapewi hela zao wakistaafu!! Mkwere hana soni!![emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957] mkwere kaingiza mambo ya UDOM utafikri na yenyewe ni ikulu
Kwani ikulu na Chuo Kikuu, ni kipi chenye faida kubwa kwa umma?Ila tuache kumsakama,jamaa ni fresh sana,sema ndio hivyo tabia haina dawa
Kusema kuwa mmoja alibakia nchini akijikiitila kujenga nchi kwa mapato ya ndani ni uwongo mkubwa. Afadhali ungesema kuwa mmoja aliamua kutosafiri, akianzisha miradi mbalimbali iliyokuwa ikijengwa kwa pesa za mikopo, kuwapora matajiri, na kodi halali kutoka kwa wannachi, lakini wananchi wakidanganywa kuwa miradi yote inajengwa kwa pesa za ndani.Kazi kwelikweli,mmoja yeye alikuwa bingwa wa trip, mwingine alijikita kuijenga nchi yake kwa mapato ya ndani
Kusema kuwa mmoja alibakia nchini akijikiitila kujenga nchi kwa mapato ya ndani ni uwongo mkubwa. Afadhali ungesema kuwa mmoja aliamua kutosafiri, akianzisha miradi mbalimbali iliyokuwa ikijengwa kwa pesa za mikopo, kuwapora matajiri, na kodi halali kutoka kwa wannachi, lakini wananchi wakidanganywa kuwa miradi yote inajengwa kwa pesa za ndani.