Mzee Kikwete, dunia ni ya utandawazi kila jambo litajieleza. Legacy yako ipo tu

Mzee Kikwete, dunia ni ya utandawazi kila jambo litajieleza. Legacy yako ipo tu

Hili suala la legacy mbona linakua mjadala kila kukicha? JPM yapo amelifanyia Taifa na watanzania wanajua!! So sioni mantiki ya kuipagania legacy wakat kila awamu inajulikana nn ilifanya!!
Mkanye Jakaya Kikwete ambaye hakuwa kwenye ratiba ya kuongea leo,ikalazimishwa aongee,alichofanya ni kupambanua legacy yake kwa kueleza mambo ya UDOM na Kuala Lumpur,usiichezee legacy maazee
 
Jakaya mwambieni,anachemka sana kutaka makamera kila muda, watanzania werevu kwa sasa,hawadanganyiki tena,akubali muda wake wa uongozi umepita
Wewe ndo unamuona kwenye makamera. Wewe ndo mwenye kipimo kuwa amezidisha kuonekana.

Nadhani wewe ni mtu sahihi wa kufikisha huo ujumbe kwake. Mzee atatabasamu na kuupokea ujumbe wako.
 
Alikuwa anadeshi tu ,halafu mpoto inaonekana wimbo ulihaririwa,yaani kwa Magufuli kapita kama mwewe,ila kwa Jakaya alipiga kambi,yaani watu wako hai ila wanaendelea kumfanyia dhulma hayati Magufuli,dhambi sana hii
Kumbe nawewe umeona eeehhh hahaa! Mi mwenyewe alipoanza kuflow sifa za wa awali nikasubiria sifa kemkem za jiwe yani kwa nature ya mjomba nilijua kwa Mwamba angeuaaaaaaa haaaa dakika Mbili nyingi ni shwaaaa kahamia kwa mama 😂😂!
 
JK alikuwa ni mtandao, yeye na Lowassa walianzisha hii tabia ya kubagua watu kwa urafiki wao. JPM akaja na tabia ya kutazama mtu anatoka sehemu ipi ya TZ.

Huko katika vikao vya halmashauri walipageuza kuwa ni nyumbani kwao, wakitaka kumteta mtu wanaanza kuongea kisukuma, kibaya zaidi hawakujiweka katika kundi la binadamu.
Thetallest kuna eneo kwakwambia unaupande wako kuhusu huu mtifuano ispokuwa unajifichia kwenye ilani
 
Kuna watu wana ideology za kipuuzi sana. Hawawezi kusifia kazi nzuri za JPM bila kushambulia wengine.

Kusema awamu zilizopita hazikufanya kitu na bila awamu ya 5 pasingekwa na kitu ni UPOTOSHAJI wa kijinga.

JPM ameingia ikulu baada ya kazi nzuri ya uwaziri chini ya maraisi watangulizi. Sasa kama hakuna kilichofanyika ni kazi zipi alikuwa anafanya akiwa waziri mpaka CV ikaonekana?

NYERERE ANA SEHEMU YAKE, MWINYI ANA SEHEMU YAKE, MKAPA ANA SEHEMU YAKE, KIKWETE ANA SEHEMU YAKE, MAGUFULI ANA SEHEMU YAKE NA SAMIA ATAKUWA NA SEHEMU YAKE.
Hao dawa yao ni kikwete na samia tu; hao watu ni lions ambao hawajiconcern themselves with the opinions of the sheep! Wanapiga makelele yao ya kijinga weee, wao wanawapuuza na kuendelea tu na shughuli zao huku wakiwa na tabasamu zao murua kabisa bila chuki na mtu.
 
Ule ujumbe wa mstaafu kuwashwa uliekezwa kwake ila huwa hajitambui huyo
🤣🤣🤣🤣
Pole sana, poleni sana!!

Humjui kikwete, hiyo ndo namna yake ya kudeal na wapumbavu, washamba na wakuja. Unatupa kitu chako cha kishamba anakiepuka kimtindo wa kimjini kama hivyo na kukuachieni washamba wenyewe mkiteswa/ kuhangaishwa na ushamba wenu wenyewe huku yeye akitabasamu bila stress yoyote. One unavyoteswa na fikra hizo sasa, uliza ye yupo wapi baada ya hapo; unaweza kuta ametulia zake kijiweni anapiga stories na kina mpoki au konde boy!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole sana, poleni sana!!

Humjui kikwete, hiyo ndo namna yake ya kudeal na wapumbavu, washamba na wakuja. Unatupa kitu chako cha kishamba anakiepuka kimtindo wa kimjini kama hivyo na kukuachieni washamba wenyewe mkiteswa/ kuhangaishwa na ushamba wenu wenyewe huku yeye akitabasamu bila stress yoyote. One unavyoteswa na fikra hizo sasa, uliza ye yupo wapi baada ya hapo; unaweza kuta ametulia zake kijiweni anapiga stories na kina mpoki au konde boy!
Endelea kumpa sifa za kijinga,kila raia kaamka kwa sasa,na uhuni unamwisho wake
 
Kumbe nawewe umeona eeehhh hahaa! Mi mwenyewe alipoanza kuflow sifa za wa awali nikasubiria sifa kemkem za jiwe yani kwa nature ya Mpoto nilikua kwa Mwamba angeuaaaaaaa haaaa dakika Mbili nyingi ni shwaaaa kahamia kwa mama 😂😂!
Tumeona wengi naona alikuwa anaangalia upepo Ila walichofanya sio kizuri halafu Kwa jakaya kasifia jakaya mwenyewe alikuwa kakunja USO😁
 
Alikuwa anadeshi tu ,halafu mpoto inaonekana wimbo ulihaririwa,yaani kwa Magufuli kapita kama mwewe,ila kwa Jakaya alipiga kambi,yaani watu wako hai ila wanaendelea kumfanyia dhulma hayati Magufuli,dhambi sana hii
Umeona eeh hata mimi nimeshangaa mpoto kupita kama mwewe fasta mno sijui alikatazwa au aliangalia mazingira mana nchi hii ina unafiki wa kiwango cha lami
 
Katika hali ya kawaida ukisema sehemu iliyopangwa kwaajili ya ikulu ikajengewa chuo kikuu maana yake nini kama siyo kuzika wazo la kuhamia Dodoma. Chuo kiku hakiwezi kuwa na hadhi kubwa kuliko ikulu
Naunga mkono hoja yako kwa asilimia mia moja
Ndio maana nawaambia vijana wawe makini sana na kinachoendelea nchini,hasa utulivu katika kupambanua kauli za hawa viongozi wetu.

Ndio maana thetallest,anamuomba Mzee Jakaya awe mtulivu,kujitutumua anazidi kuharibu tu, badala ya kutengeneza
 
Katika hali ya kawaida ukisema sehemu iliyopangwa kwaajili ya ikulu ikajengewa chuo kikuu maana yake nini kama siyo kuzika wazo la kuhamia Dodoma. Chuo kiku hakiwezi kuwa na hadhi kubwa kuliko ikulu
Na hiyo ndio maana yake mpango wa kuhamishia serikali Dodoma sifa zitabaki kwa JPM aliedhubutu kufanya hivyo ukitoa awamu ya kwanza iliyokuja na wazo zingine zote zilizofata mpango ulikuwa haupo.... hamna cha kwenda kuangalia mfano Kuala Lumpur au sijui wapi.

Na ndio maana tuzo zimetolewa kwa wahusika.Periodt
 
Umeona eeh hata mimi nimeshangaa mpoto kupita kama mwewe fasta mno sijui alikatazwa au aliangalia mazingira mana nchi hii ina unafiki wa kiwango cha lami
Aibu sana,ila wajifunze kwamba kila wanachofanya kinafuatiliwa kwa makini
 
Back
Top Bottom