thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,271
- 9,113
- Thread starter
-
- #101
Makini sana mkuu,umenena vyema sana,na ndio uhalisia wenyeweKatika hali ya kawaida ukisema sehemu iliyopangwa kwaajili ya ikulu ikajengewa chuo kikuu maana yake nini kama siyo kuzika wazo la kuhamia Dodoma. Chuo kiku hakiwezi kuwa na hadhi kubwa kuliko ikulu
Yani ni alikua kanuna hadi sio poa na kamera ilivomkomslia kumzoom 😠😠 sasa 😂😂😂😂😁!Tumeona wengi naona alikuwa anaangalia upepo Ila walichofanya sio kizuri halafu Kwa jakaya kasifia jakaya mwenyewe alikuwa kakunja USO😁
jakaya kauma na kupuliza kidogo lakini kachemka na story zake za Kuala lumpar wazo la kujenga Ikulu alikuwa hanaNaunga mkono hoja yako kwa asilimia mia moja
Ndio maana nawaambia vijana wawe makini sana na kinachoendelea nchini,hasa utulivu katika kupambanua kauli za hawa viongozi wetu.
Ndio maana thetallest,anamuomba Mzee Jakaya awe mtulivu,kujitutumua anazidi kuharibu tu, badala ya kutengeneza
yule mzee mtu mbaya sana pamoja na kwamba anajifanya anapenda kuchekaYani ni alikua kanuna hadi sio poa na kamera ilivomkomslia kumzoom 😠😠 sasa 😂😂😂😂😁!
Jamaa waovu sanaKumbe nawewe umeona eeehhh hahaa! Mi mwenyewe alipoanza kuflow sifa za wa awali nikasubiria sifa kemkem za jiwe yani kwa nature ya mjomba nilijua kwa Mwamba angeuaaaaaaa haaaa dakika Mbili nyingi ni shwaaaa kahamia kwa mama [emoji23][emoji23]!
Una matatizo ya moyo.Nilikuwa nafuatilia sherehe au hafla ya kuzinduliwa Ikulu, chamwino Dodoma.
Kwa jinsi ratiba ilivyopangwa Mzee Jakaya haukuwemo kwenye list ya wazungumzaji kabisa, nafsi yangu inaniambia hivyo.
Alianza Hussein Mwinyi, akafuata Dr Mpango, kisha rais Samia.
Cha kushangaza katikati rais Samia akiwa anaongea, aidha akakumbuka au akapewa kimemo cha wewe kutakiwa kutoa salamu nikaona kwenye uzinduzi wa hiyo Ikulu wewe unaweka mambo ya Kuala Lumpur na UDOM ,du!
Ukweli lazima usemwe, wazo lilikuwa awamu ya kwanza, awamu zilizofuta mliijikita kwenye priority's zingine za kulijenga taifa, na si vibaya hata kidogo.
Hili la kuhamia Dodoma kwa serikali, hakikuwa kipa umbele chenu.
Awamu ya tano ndio kazi hii illiifanya kwa nguvu zote, na Rais Samia kakuta kitonga na kumalizia, hivyo mtekelezaji wa wazo anabaki kuwa Magufuli pekee.na pengine bila nguvu yake tusingekuwa tnazungumzia uzinduzi leo hii, Magufuli alipingwa sana na wanasiasa na makundi mbalimbali,lakini hakujali
Kama kuna anaebisha, tuanzie kuzichambua juhudi za awamu ya pili, tatu,na nne nini zilichofanya kuhusu Ikulu ya Dodoma,. , kila kitu kipo rekodedi.
Nikuombe mzee wangu Jakaya, hebu jaribu kutulia, usilazimishe mambo, mema yako yapo wazi. Jaribu kuwa kama kina Dr sheiin, Mzee Mwinyi, ni watulivu sana, hili la ujenzi wa Ikulu ya Dodoma hauhusiki kabisa ulilipa kisogo.
Air time aliyokupa Mama Samia, umeitumia kujipigia promo tu, kwenye hamna.
Khatariii sanayule mzee mtu mbaya sana pamoja na kwamba anajifanya anapenda kucheka
Una matatizo ya moyo.
Mmezoea kubembelezwa,shauri yenuUna matatizo ya moyo.
Ikiwa chadema mnalamba asali kimyakimya na mmejisalimisha mleta uzi afanyaje?Yaaaaaani kweli tunashindwa kujadili namna ya kudhibiti wahuni wasiendelee kuamua chaguzi za viongozi na kukomesha wizi wa kodi zetu halafu tunajadili ni kwa namna Kikwete alivyo na mamlaka kumuamuru Rais eti ili asukume kete zake huku akiwa amamshikiria mikono marehemu?
Athari za tukio hilo kiuchumi ni zipi?
Kwa hiyo Raisi naye kabembelezwa ama kalazimishwa kumkaribisha Kikwete?Mmezoea kubembelezwa,shauri yenu
Unaona ulivyo na ulemavu wa kufikiria.Ikiwa chadema mnalamba asali kimyakimya na mmejisalimisha mleta uzi afanyaje?
Vumilia tu tukitoa mrejesho wa dhalimu, au unakonda?Umebakiza hili neno kwenye bongo yako kiduchu uliyobarikiwa na mungu
Aisee We jamaa umesema Bonge La point Mimi kila siku nawaambiaga Watu yani hakuna Chuo kikuu kibaya Duniani kama UDOM kina mpangilio wa Hovyo unawez sema ni Nyumba za kupangisha kumbe ndo Chuo kikuu eti Pumbavu kabisa.UDOM ulikuwa mradi wa upigaji wa fedha Za serikali.
Hakuna chuo kikuu duniani kisicho na mpangilio kama UDOM
Ukilinganisha na chuo gani?Aisee We jamaa umesema Bonge La point Mimi kila siku nawaambiaga Watu yani hakuna Chuo kikuu kibaya Duniani kama UDOM kina mpangilio wa Hovyo unawez sema ni Nyumba za kupangisha kumbe ndo Chuo kikuu eti Pumbavu kabisa.
UDOM ulikuwa mradi wa upigaji wa fedha Za serikali.
Hakuna chuo kikuu duniani kisicho na mpangilio kama UDOM
Hii nchi awamu ya nne ilikuwa kombakomba hatari,hivi watazikwa nazo?,au ni ubazazi tuI second you, jamaa aliamua kujiwekea upigaji awamu yake ya pili ya uongozi
Anaishi maisha yake, hamfuatilii mtu ye ndo anafuatiliwa. Kwenye sherehe yenu ameitwa kama mstaafu na wala hakujipeleka....msingemwita angekuwa zake Paris huko anakofanyia kazi organs za kimataifa. Jk anahitaji sifa za nini sasa hv kwa mfano?!!!!!!!!!Endelea kumpa sifa za kijinga,kila raia kaamka kwa sasa,na uhuni unamwisho wake
Umegeuka kuwa wakili wake? fisi maji weweAnaishi maisha yake, hamfuatilii mtu ye ndo anafuatiliwa. Kwenye sherehe yenu ameitwa kama mstaafu na wala hakujipeleka....msingemwita angekuwa zake Paris huko anakofanyia kazi organs za kimataifa. Jk anahitaji sifa za nini sasa hv kwa mfano?!!!!!!!!!
Kiufupi nyie ndo mnahangaika nae na roho mbaya zenu hizo mlizotengenezewa katika kipindi chenu. Yeye wala hana time na nyie wachimba chumvi.
Eti 'kila raia kaamka', kuamka katika lipi?!!!! Walinda legacy mmeambiwa jk anataka kugombea urais tena kwani?!!! Maana si kwa fadhaa na uoga huu. Nyie pambaneni na nape huyo! Kikwete analelea wajukuu zake huko msoga.