Uchaguzi 2020 Mzee Kikwete: Ninakopanga sijafukuzwa

Ccm mama yenu ni mmoja naye ni IBILISI SHETANI.
Mmeinyonya nchi hii na bado hamridhiki

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Nadhani ni wakati muafaka sasa wa kuwaondoa ccm madarakani maana wanatumia vibaya hela zetu za kodi, hizo hela walizotumia kujenga nyumba zingetumika kusomesha watanzania wasio na uwezo.
 
Tatizo lake anakula mwenyewe ndo ugomvi na wananchi ulipo
 
Ile ilikuwa joke tu ili achomekee ujumbe wake bila kumkwaza au kuonekana anapingana na JPM. Yeye kusema ni kuwa wasiharakishe saaana ujenzi na kuharibu quality maana Rais aliagiza nyumba iishe by Jan 2021.

Tukichukulia kila kauli seriously, tutakufa kwa BP mapema sana

Pamoja na hayo, hii kufuru ya kuwajengea hawa watu mahekalu inatia ukakasi kidogo.
 
Point kubwa Sana hii. Kuna watu wagumu kuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ndio amepanga sasa unataka akakae Msoga wakat anahitaji kuishi Dar
huo ni unafiki na roho ya kimaskin.
Wangap wana majumba yao mazuri mikoani kwao ila Dar wanapanga?
Akisema anapanga ni kweli ana nyumba ila kwa mahali anapopenda kuishi hajapata sasa ulitaka aseme ana nyumba Msoga?? kwan nan hajui kama ana nyumba Msoga??
toa roho yako ya husda wewe utaishia hivyo hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyekosa mikopo ni wewe au unawasemea? mbona watu wamepata mikopo ila kama alikosa labda kuna sababu.usiwe kwa vile unawesa kuandika tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo unataka kusema nini?
Wote nyie ni CCM mnashirikiana kula hii nchi.
Sasa umeingia wivu baada ya mwenzako kula zaidi.
Dawa yenu tarehe 28.
Imenibidi nirudie kuisoma ID ya mleta uzi huu kama mara nne hivi, kuthibitisha kama NI YEYE. Kwani, sio kawaida kuto kuunga mkono au kusifia kwa lolote litalofanywa na Serikali au CCM!
Leo DISHI limekaa sawa, tena nadhani ni kwa muda tu!
 
Hahaha msidanganyike, Makonda alikuwa mkuu wa wilaya na Mkoa kwa miaka 4tu, kajenga maghorofa.

Kikwete kawa rais kwa miaka 10, waziri miaka 15, kanali wa jeshi, halafu akwambie kapanga nawe masikio yakusimame, hizo akili au matope?!
 
Kaamua tu kupanga.
Nenda kaangalie kule Msoga kajenga nini.
Huyo mzee ana hela chafu.
 
Wacha nirudie tena. Hekima ni jambo la mbolea sana kwa binadamu yoyote anayeishi chini ya jua.
Na ni jambo tena la msingi sana kwa kiongozi yoyote aliyewahi kutokea kushika nyadhifa mbalimbali za uongozi huku chini ya jua.
Ni hayo tu
 
Upo sahihi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…