Mzee Kikwete: Wanaolalamikia kupanda kwa bidhaa ni unafiki mkubwa

Mzee Kikwete: Wanaolalamikia kupanda kwa bidhaa ni unafiki mkubwa

Kasema ukweli. Hebu nyie mnaolalamika vitu kupanda bei mna majawabu gani?
1. Je ungefanya nini bei ya mafuta isipande?
2..Je ungefanya nini bei ya vyakula isipinde ikiwa mvua hazikunyesha vizuri
3. Je ungefanya nini umeme usikatike kama mabwawa ya kuzalisha umeme yana maji kidogo.
4. Ungefanya nini nauli zisipande ikiwa mafuta yameoanda bei.
5. Ungefanya nini...
Serikalin makini hupunguz matumizi yake kipindi kama hiki ili kuwapunguzia wanachi mzigo .sasa hapa kwetu ndo kwanza bi tozo anazidisha manunuzi ya V8
 
View attachment 2555763

Mstaafu Jakaya Kikwete ameingilia kati mjadala wa kupanda kwa gharama za maisha kunakolalamikiwa na wananchi wengi na hii ni moja ya nukuu yake kupitia clip moja hivi inayosambaa sana kwenye mitandao.

'Bei imepanda sasa mtu ndio wanatunga na nyimbo, mafuta yamepanda bei ni unafiki mkubwa kwa kweli

'..eeeh unajua wakati mwingine offcourse ndio unasema adui yako muombee njaa wale wasiombea heri Serikali wanadhani lakini wakati mwingine ni lazima wawe wakweli tu haya mazingira wangekuwa wao ndio wako kwenye uongozi wana majawabu gani ndio bei ya mafuta ingeshuka?

Bei ya mafuta imepanda Uingereza penyewe'
Huyo analipwa 80% ya mshahara wa Rais aliye madarakani. Mwenye shibe hajui mwenye njaa.

Pumzika kwa amani JPM hakika tutakumbuka baba. Wakati wa uongozi wako mchele kg 1 ulikuwa tsh. 1200 leo kg 1 hiyo inanunuliwa kwa tsh. 3500/=.


" Najua siku moja mtanikumbuka na mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya". Hatari Daktari John Pombe Joseph Magufuli enzi za uhai wake. Ni miaka miwili tangu ulipotutoka baba na leo ni kumbukizi yako. Tutaendelea kukuenzi kwa kufanya kazi kwa bidii bila kuchoka.
 
Bei ya mafuta Tanzania haipaswi kuwa kubwa kuliko Zambia na Burundi ambao hawana bandari
 
View attachment 2555763

Mstaafu Jakaya Kikwete ameingilia kati mjadala wa kupanda kwa gharama za maisha kunakolalamikiwa na wananchi wengi na hii ni moja ya nukuu yake kupitia clip moja hivi inayosambaa sana kwenye mitandao.

'Bei imepanda sasa mtu ndio wanatunga na nyimbo, mafuta yamepanda bei ni unafiki mkubwa kwa kweli

'..eeeh unajua wakati mwingine offcourse ndio unasema adui yako muombee njaa wale wasiombea heri Serikali wanadhani lakini wakati mwingine ni lazima wawe wakweli tu haya mazingira wangekuwa wao ndio wako kwenye uongozi wana majawabu gani ndio bei ya mafuta ingeshuka?

Bei ya mafuta imepanda Uingereza penyewe'
Tanzanians were very Unlucky to be led by him for those ten years. To me he was and he is a Failure and the only thing he is blessed with is to be a Liar, Corrupt and very Hypocrite in life and actions.
 
Back
Top Bottom