Mimi natafuta fedha zaidi ili kukidhi mahitaji. Sasa hivi nafanya kazi 3
2025 kachukue fomu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi natafuta fedha zaidi ili kukidhi mahitaji. Sasa hivi nafanya kazi 3
Mungu amzidishie yeye tu , AminaVideo ya Mstaafu Kikwete kuhusu kupanda kwa mafuta ni unafiki mkubwa.
View attachment 2555575
Hivi huyo maf**iii watu wanapoteza muda wao kumsikiliza[emoji849][emoji849][emoji849]Video ya Mstaafu Kikwete kuhusu kupanda kwa mafuta ni unafiki mkubwa.
View attachment 2555575
Serikalin makini hupunguz matumizi yake kipindi kama hiki ili kuwapunguzia wanachi mzigo .sasa hapa kwetu ndo kwanza bi tozo anazidisha manunuzi ya V8Kasema ukweli. Hebu nyie mnaolalamika vitu kupanda bei mna majawabu gani?
1. Je ungefanya nini bei ya mafuta isipande?
2..Je ungefanya nini bei ya vyakula isipinde ikiwa mvua hazikunyesha vizuri
3. Je ungefanya nini umeme usikatike kama mabwawa ya kuzalisha umeme yana maji kidogo.
4. Ungefanya nini nauli zisipande ikiwa mafuta yameoanda bei.
5. Ungefanya nini...
Huyo analipwa 80% ya mshahara wa Rais aliye madarakani. Mwenye shibe hajui mwenye njaa.View attachment 2555763
Mstaafu Jakaya Kikwete ameingilia kati mjadala wa kupanda kwa gharama za maisha kunakolalamikiwa na wananchi wengi na hii ni moja ya nukuu yake kupitia clip moja hivi inayosambaa sana kwenye mitandao.
'Bei imepanda sasa mtu ndio wanatunga na nyimbo, mafuta yamepanda bei ni unafiki mkubwa kwa kweli
'..eeeh unajua wakati mwingine offcourse ndio unasema adui yako muombee njaa wale wasiombea heri Serikali wanadhani lakini wakati mwingine ni lazima wawe wakweli tu haya mazingira wangekuwa wao ndio wako kwenye uongozi wana majawabu gani ndio bei ya mafuta ingeshuka?
Bei ya mafuta imepanda Uingereza penyewe'
Amekua wa hovyo kwani ashawahi kuwa wa maana huyo fisadi?Mzee amekuwa wa hovyo namna hii? Anataka wananchi wakamlalamikie nani wakati serikali haitimizi majukumu yake ipasavyo?
Mafuta tuayotumia yanazalishwa UK!?Bei ya mafuta imepanda Uingereza penyewe
Kwani ukitumia kiswahili utakosa heshima? Sasa hapa ulitaka kutuambia nini kwa kiswahili?Nani anawezakutuwekea beneficiaries anazopokea raisi mstaaf atuwekee hapa
Wakikosa jezi mpya za Simba utakiona cha mtema kuni.Hilo kweli watz hawana umoja wapo tiyari kuandamana kisa Simba na Yanga na sio bei ya unga
Aisee!Wazazi wa hawa ndiyo ujimwagia kabisa Ugimbi wa kienyeji,yaani ni usiku kucha.[emoji16][emoji16][emoji16]
Tanzanians were very Unlucky to be led by him for those ten years. To me he was and he is a Failure and the only thing he is blessed with is to be a Liar, Corrupt and very Hypocrite in life and actions.View attachment 2555763
Mstaafu Jakaya Kikwete ameingilia kati mjadala wa kupanda kwa gharama za maisha kunakolalamikiwa na wananchi wengi na hii ni moja ya nukuu yake kupitia clip moja hivi inayosambaa sana kwenye mitandao.
'Bei imepanda sasa mtu ndio wanatunga na nyimbo, mafuta yamepanda bei ni unafiki mkubwa kwa kweli
'..eeeh unajua wakati mwingine offcourse ndio unasema adui yako muombee njaa wale wasiombea heri Serikali wanadhani lakini wakati mwingine ni lazima wawe wakweli tu haya mazingira wangekuwa wao ndio wako kwenye uongozi wana majawabu gani ndio bei ya mafuta ingeshuka?
Bei ya mafuta imepanda Uingereza penyewe'
na Gharib Sande Manara (GSM)Kwa kauli hii kumbe Yanga mwenye akili ni Sunday Manara tu
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app