Intelligence Justice
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 3,443
- 4,006
Nguvu za asili zinawachachafya hamlali wezi nyieSukuma gang katika ubora wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nguvu za asili zinawachachafya hamlali wezi nyieSukuma gang katika ubora wako
Yeye akiamua kwenda kunywa kahawa Uingereza anaondoka muda wowote na anaenda kulala kwenye Five star hotel atajuaje ugumu wa maisha? majangili yote yapo kwenye system lazima ashangilieHali za maisha za uingereza na huku bara jeusi zipo sawa .....uchumi upo sawa?
We ajuza ni mdini sn, bara hatuna huo ujinga lazima ujitegemee, wavivu huko Pwani ndiyo mnahizo tabia za kijingaHazipo sawa, hapa unaweza kwenda kwa shangazi ukala ukalala, Uingereza hiyo ni ndoto.
Utadhani na Uingereza inakuja kuomba misaada TzSerikali kwasasa ikikabwa utasikia mbona nchi flani... yaani tunaongozwa kwa kufuata mgongo wa nchi flani bila kuangalia hali halisi ya uchumi wetu
Familia nzima ipo bungeni na marafiki zake(mafisadi) yote yamerudi kwenye system ndiyo maana anatetea uovuWewe Kikwete kwa vile unalipiwa kila kitu endelea tu kutukejeli, Acholile kachora .
SureKwa kauli hii kumbe Yanga mwenye akili ni Sunday Manara tu
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
80 % ya mshahara wake na mengine mengiNani anawezakutuwekea beneficiaries anazopokea raisi mstaaf atuwekee hapa
Ameona mafisadi yameguswa, majangili yote yamerudi kwenye systemMshika remote amepanic kwelikweli
Huyu mzee anatakiwa kuwa gerezani kwa wizi wa mali za ummaMmiliki wa vituo vya mafuta Nchi nzima na mwagiza mafuta anatuchora Bei za Dunia zimeshuka wakati huku Bei ndo zinapaa.
Anamjibu Kitwanga kiaina.
Bado nyumba, magari, walinzi, wapishi na mengine mengi, inabidi tuamke haraka80 % ya mshahara wake na mengine mengi
vipi wale walioficha hela za plea bargain Uchina?!Nguvu za asili zinawachachafya hamlali wezi nyie
Akina nani walificha? Kinachofichwa huwa kinaonekana? Wakati wanaficha aliyefichua alikuwa wapi kufichua? Zilifichwa shilingi ngapi? Zilifichwa kwa jina gani? Je walioficha wamekamatwa na wamechukuliwa hatua gani? Kwanini waziri wa fedha, katibu mkuu wake na gavana wa benki kipindi hicho bado wapo wanadunda tu mitaani halafu mnamsingizia mfu ambaye hata huko mnakodai alificha hiyo hela hakuwahi kwenda? Huyo balozi katika nchi zilikofichwa hizo hela kwanini bado yupo huko huko mpaka leo kama sio yeye alihusika halafu mnamsingia mfu ambaye hayupo kujitetea?vipi wale walioficha hela za plea bargain Uchina?!
Mstaafu Jakaya Kikwete ameingilia kati mjadala wa kupanda kwa gharama za maisha kunakolalamikiwa na wananchi wengi na hii ni moja ya nukuu yake kupitia clip moja hivi inayosambaa sana kwenye mitandao.
'Bei imepanda sasa mtu ndio wanatunga na nyimbo, mafuta yamepanda bei ni unafiki mkubwa kwa kweli
'..eeeh unajua wakati mwingine offcourse ndio unasema adui yako muombee njaa wale wasiombea heri Serikali wanadhani lakini wakati mwingine ni lazima wawe wakweli tu haya mazingira wangekuwa wao ndio wako kwenye uongozi wana majawabu gani ndio bei ya mafuta ingeshuka?
Bei ya mafuta imepanda Uingereza penyewe'
Angethubutu kuongea pumba hizo wakati mwamba huyu yupo
Mstaafu Jakaya Kikwete ameingilia kati mjadala wa kupanda kwa gharama za maisha kunakolalamikiwa na wananchi wengi na hii ni moja ya nukuu yake kupitia clip moja hivi inayosambaa sana kwenye mitandao.
'Bei imepanda sasa mtu ndio wanatunga na nyimbo, mafuta yamepanda bei ni unafiki mkubwa kwa kweli
'..eeeh unajua wakati mwingine offcourse ndio unasema adui yako muombee njaa wale wasiombea heri Serikali wanadhani lakini wakati mwingine ni lazima wawe wakweli tu haya mazingira wangekuwa wao ndio wako kwenye uongozi wana majawabu gani ndio bei ya mafuta ingeshuka?
Bei ya mafuta imepanda Uingereza penyewe'
Daah, Kwa haya MAHELAAA lazima JIZI KIKWETE LIFURUKUTE na KUFOKA.
MAHELA MENGI KWELI KWELII, PENSION, MARUPURUPU, NYUMBA BURE, GARI BURE!!
UKIJUMLISHA NA MAHELA ALIYOTUIBIA AKIWA RAIS!
NA MIGODI ALIYOIPORA, NA MADINII, NA PEMBE ZA NDOVUU ALIZOJITWALIAAA!!!
JAMENIIII, THE TRILLIONAIREE!!!
Ameanza kujimambafy na yeye. Kwanini hakujitutumua enzi za huyu mwamba? RIPKwa mlo huo lazima itakuwa kashiba sana , lazima atakuwa anajamba isivyo kawaida
Nnauhakika hili hulielewi.Ameanza kujimambafy na yeye. Kwanini hakujitutumua enzi za huyu mwamba? RIP
View attachment 2555225